Tetesi: Uchumi wa Tozo sasa wananchi UKEREWE waanza kutozwa kodi ya mifugo tena

Tetesi: Uchumi wa Tozo sasa wananchi UKEREWE waanza kutozwa kodi ya mifugo tena

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Nasema kodi tena kwa sababu tulikuwa na kodi ya kichwa, ikaitwa kodi ya maendeleo baadaye Utawala wa Mkapa ukaifuta. Mifugo pia ililipiwa kodi na kwa wale wakongwe, kulikuwa na kodi ya baiskeli mitaani.

Taarifa niliyorushiwa, kuna zoezi la kodi ya mifugo inaendelea wilayani Ukerewe. Mbuzi na Ng'ombe sasa wanalipiwa kodi. Yaonekana, kuna kodi nyingi zinarudishwa lakini kwa ujumla ni ukosefu wa akili kwa wachumi wetu na hasa kipindi hiki ambacho wananchi wanastahili kupunguziwa ugumu wa maisha.

Au ni wizi wa wazi kwa viongozi wa halmashauri wanaojiamulia bila kujali huko juu watasemaje. Aliye na taarifa za wilaya zingine pia tunaomba atuletee taarifa za kadi hizi mpya zilizoanza nchini.
 
Acha kuwa mbuzi
Mifugo yote pamoja na wewe inatakiwa kuwekewa hereni ya utambulisho
Hereni husika haitolewi bure
This is another nonsensical response from the government official. very big and huge fallacy! Unavyoona muda huu ambao wananchi wanalia na maisha magumu, mifugo inakufa kwa ukame ni muda muafaka wa kumfuata akupe pesa za hiyo heleni? Kwa hiyo mulikubaliana na hao wafugaji juu ya hizo heleni? Nchi hii wase**ge ni wengi!
 
Nasema kodi tena kwa sababu tulikuwa na kodi ya kichwa, ikaitwa kodi ya maendeleo baadaye Utawala wa Mkapa ukaifuta. Mifugo pia ililipiwa kodi na kwa wale wakongwe, kulikuwa na kodi ya baiskeli mitaani.

Taarifa niliyorushiwa, kuna zoezi la kodi ya mifugo inaendelea wilayani Ukerewe. Mbuzi na Ng'ombe sasa wanalipiwa kodi. Yaonekana, kuna kodi nyingi zinarudishwa lakini kwa ujumla ni ukosefu wa akili kwa wachumi wetu na hasa kipindi hiki ambacho wananchi wanastahili kupunguziwa ugumu wa maisha.

Au ni wizi wa wazi kwa viongozi wa halmashauri wanaojiamulia bila kujali huko juu watasemaje. Aliye na taarifa za wilaya zingine pia tunaomba atuletee taarifa za kadi hizi mpya zilizoanza nchini.
CCM MBELE KWA MBELE
 
Nasema kodi tena kwa sababu tulikuwa na kodi ya kichwa, ikaitwa kodi ya maendeleo baadaye Utawala wa Mkapa ukaifuta. Mifugo pia ililipiwa kodi na kwa wale wakongwe, kulikuwa na kodi ya baiskeli mitaani.

Taarifa niliyorushiwa, kuna zoezi la kodi ya mifugo inaendelea wilayani Ukerewe. Mbuzi na Ng'ombe sasa wanalipiwa kodi. Yaonekana, kuna kodi nyingi zinarudishwa lakini kwa ujumla ni ukosefu wa akili kwa wachumi wetu na hasa kipindi hiki ambacho wananchi wanastahili kupunguziwa ugumu wa maisha.

Au ni wizi wa wazi kwa viongozi wa halmashauri wanaojiamulia bila kujali huko juu watasemaje. Aliye na taarifa za wilaya zingine pia tunaomba atuletee taarifa za kadi hizi mpya zilizoanza nchini.
Wakongwe tunakumbuka watu walivyokuwa wanafuatiliwa kama ng'ombe watoe kodi ya kichwa, na jinsi tulivyokuwa tunawekewa kamba barabarani kukamata baiskeli zisizokuwa na stika ya kodi. Sasa anachofanya madelu na hangaya ni kilekile alichofuta Mkapa ila sasa wameileta kwa stahili nyingine na kuipa jina la tozo. Tofauti na kodi ya kichwa iliyokuwa inalipwa mara moja kwa mwaka, hii tozo unalimwa mara nyingi zaidi. Kwa siku mtu huwezi kukoswakoswa na tozo moja au mbili. Sasa huko halmashauri heleni zinalazimishwa kwenye ngo'ombe ambao hawana malisho wala maji kutokana na ukame na serikali kutoweka miundombinu bora kwa ajili ya wafugaji, huyu mtanganyika sijui atakuja kupata ahueni lini.​
 
This is another nonsensical response from the government official. very big and huge fallacy! Unavyoona muda huu ambao wananchi wanalia na maisha magumu, mifugo inakufa kwa ukame ni muda muafaka wa kumfuata akupe pesa za hiyo heleni? Kwa hiyo mulikubaliana na hao wafugaji juu ya hizo heleni? Nchi hii wase**ge ni wengi!
Bei ya hereni ni 1700 kwa Ngombe
1000 kwa Mbuzi na Kondoo

Haiwezekani mfugaji akakosa hiyo hela

Swala la malisho ya mifugo si jukumu la serikali
 
Bei ya hereni ni 1700 kwa Ngombe
1000 kwa Mbuzi na Kondoo

Haiwezekani mfugaji akakosa hiyo hela

Swala la malisho ya mifugo si jukumu la serikali
That's the stupidity in you! Unaona hali ya ukame ilivyo sasa hivi? Unajua bei ya ng'ombe ni kiasi gani kwa sasa? Unajua hasara anayopata sasa hivi mfugaji? Au wewe unawaza heleni tu ziuzwe kwa kuwa umeambiwa na serikali. Watendaji wa aina yako ni shida tu. Una ajira isiyo tija.
 
Ungemwelewesha bila kumuita "mbuzi" ungepungukiwa nini?
Huyu ni mpuuzi tu! yeye anaamini wafugaji ni watu wa kukamuliwa tu. Hataelewa na mara nyingi binafsi nimeona mkwamo wa wananchi uko kwa watu wa aina hii huko wilayani. Unawakuta hawana la maana, hawana ubunifu, hawana majibu, yaani ni kuamrishwa tu ili watekeleze.
 
That's the stupidity in you! Unaona hali ya ukame ilivyo sasa hivi? Unajua bei ya ng'ombe ni kiasi gani kwa sasa? Unajua hasara anayopata sasa hivi mfugaji? Au wewe unawaza heleni tu ziuzwe kwa kuwa umeambiwa na serikali. Watendaji wa aina yako ni shida tu. Una ajira isiyo tija.
Hasara hata wafanyabiashara wengine wanapata Ila wanalipa Kodi TRA
 
Huyu ni mpuuzi tu! yeye anaamini wafugaji ni watu wa kukamuliwa tu. Hataelewa na mara nyingi binafsi nimeona mkwamo wa wananchi uko kwa watu wa aina hii huko wilayani. Unawakuta hawana la maana, hawana ubunifu, hawana majibu, yaani ni kuamrishwa tu ili watekeleze.
Mfugaji kakamuliwa kitu gani nchi hii!?..lipa Kodi na ukome kurundika mifugo
 
Kwa hiyo watendaji kutokuwa na fikra ni sawa tu kwa kuwa inafanyika kwa wengine? Mbona elimu haitusaidii?
We unaona fikra ni kutotozwa Kodi!?..unataka wamtoze nani!?..wewe Kama msomi hebu pendekeza njia mbadala za mapato
 
Bei ya hereni ni 1700 kwa Ngombe
1000 kwa Mbuzi na Kondoo

Haiwezekani mfugaji akakosa hiyo hela

Swala la malisho ya mifugo si jukumu la serikali
Kama mwenye mifugo, hana haja mifugo yake ivalishwe heleni, inakuwaje?
 
We unaona fikra ni kutotozwa Kodi!?..unataka wamtoze nani!?..wewe Kama msomi hebu pendekeza njia mbadala za mapato
Unaandika kama waziri tuliyenaye. Kama unataka kusaidiwa fikra, why don't you request for that instead of grappling with your ignorance?
 
Back
Top Bottom