Uchunguzi: Jinsi watu wanavyoporwa mali zao baada ya mechi kumalizika Uwanja wa Taifa, huku Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikitumbua macho

wizi hauishi
 
Naunga mkono hoja upuuzi unaofanyika baada ya mechi kuisha nashindwa kuelewa vyonbo vyetu vya ulinzi na usalama vina kazi gani? Mbaya zaidi ni sehemu ambayo ndio kuna askari wengi kama polisi wameshindwa na Wakuu wa vikosi wa kambi zile wameshindwa pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahuni Watoto wa keko kesho watamka na faida
Kutoka kwa walonyalonya

Ova
 
dahhh, tulipofika ni pabaya sana asee
 
Mheshimiwa John Pombe Magufuli hapa ndio unaona jinsi gani kuna wahusika hawatimizi wavivu wao hasa hasa wenye vyeo vikubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…