Uchunguzi kashfa ya upangaji matokeo FDL

kwanza mnajaza server za JF kwa vipost vyenu vya kipumbavu pumbavu na kutunga tunga tuuu, umbea umbea tuu, kwa kweli mnastahili kuitwa mashoga....., nyambaf kabisa!
 
...wacha hizi mambo bana;mbona nyie mmesahau Muro alivyomtolea maneno ya kashfa Manara, toka mwaka jana mpaka leo kimyaaaa...labda hiyo kamati ya maadili itakaa Dec mwaka huu,tusubiri..!!
 
kama habari zako ni za huongo na uchochezi kwanini nisikuambie kuwa ni pumba tu?

swissme
Tatizo lako wewe ni bwana shamba na unataka kukosoa hata masuala ya mpira/ soka
 
Hatimaye Haki imetendeka wamezishusha timu za Geita FC, Polisi Tabora JKT Oljoro hadi daraja la pili, na sababu JKT Kanembwa ilkuwa ishashuka imeshushwa hadi ligi ya Mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…