KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,518
Kwa mtizamo kama huu napata shida sana kujua hatma ya soka letu. Huyu bwana anataka kuleta mahaba ya Simba na Yanga katika mambo ya kitaifa. Hapa hakuna suala la mahaba niue, kuna watu wakiongozwa na Viongozi waandamizi wa soka wamebaka kanuni na taratibu za soka, sasa unataka tumuangalikie kwa kuwa ni mtu wa Yanga, mbona Tarimba ni Yanga damu lakini ameweka mahaba kando amesimamia ukiukwaji wa taratibu na sheria.Wamsimbazi mna matatizo kweli kweli, yaani ni fitina, majungu, longo longo ili mrafi mumchomoe malinzi!