DOKEZO Uchunguzi: 'Makanisa ya Kiroho' na shuhuda FEKI kuwahadaa watanzania

DOKEZO Uchunguzi: 'Makanisa ya Kiroho' na shuhuda FEKI kuwahadaa watanzania

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Heshimuni imani za watu

Makanisa ya ufufuo yana haki kama imani na madhehebu mengine
 
Hehehehe heiya hao wahuni Mungu anawaona wanakera sana na mazingaombwe yao
 
Sample yk iko na wa2 wangapi na amefikia aje saturation point
Kwa hii story imeshonwa shonwa na mhuni anajiita mtafiti.
Icheki uone inconsistency zimeshikana.
Na hi sio dokezo bali umeokoteza vya humu na vijiweni ndo uje udokeze vitu vyasemwa miaka humu
 
Kule kwa Papa, waamini wameambiwa wapeleke shuhuda zao kwa kulipa zaka, halafu eti hizo shuhuda zinapitiwa/ hakikiwa kwanza na kamati ya zaka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ili hoja yako iwe na nguvu kuhusu shuhuda za uongo inabidi usimame neutral, usioneshe unaamini madhehebu gani. Vinginevyo hoja hii itaonekana ni propaganda kuzuwia waumini wenu wasiwakimbie baada ya kuwachosha na mafundisho yaleyale kila wakati. Tatueni shida za waumini wenu, fundisheni kweli neno la Mungu. Waumini wenu wamechoshwa na liturujia zenu wanawakimbieni kwenda kutafuta malisho bora kwingine. Njiani wanakutana na mbwa mwitu waliojivika ngozi ya kondoo wanawadaka na kuwararua vibaya, wanabebwa na shuhuda za uongo wakihangaika kutafuta sehemu zenye kufundisha ukweli. Usijumuishe makanisa ya kiroho na hao matapeli waliopata nguvu kwa kusaidiwa na media zao. Injili ya kweli haihubiriwi siku hizi, watu wanataka miujiza na ishara na hawaipati wanaishia kutapeliwa. Fahamu kwanza maisha ya wokovu ndio utaweza kuandika hoja yako vizuri maana utakuwa nuruni na kweli utaijua na itakuweka huru kuliko kuandika hoja hii ukiwa gizani utaonekana unafanya yaleyale unayoyaona si ya kweli. Fahamu makanisa ya kiroho
Acha magugu na ngano vimee pamoja,huwa wakishatapeliwa urudi walipozaliwa.
Huwezi jifunza pasipo kuanguka
 
Haijalishi hata kama ni matapeli maadamu wanaifanya kazi ya Mungu wanaokoa wengine pia.
Acha magugu na ngano vimee pamoja
 
Back
Top Bottom