DOKEZO Uchunguzi: 'Makanisa ya Kiroho' na shuhuda FEKI kuwahadaa watanzania

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Heshimuni imani za watu

Makanisa ya ufufuo yana haki kama imani na madhehebu mengine
 
Hehehehe heiya hao wahuni Mungu anawaona wanakera sana na mazingaombwe yao
 
 
Kule kwa Papa, waamini wameambiwa wapeleke shuhuda zao kwa kulipa zaka, halafu eti hizo shuhuda zinapitiwa/ hakikiwa kwanza na kamati ya zaka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Acha magugu na ngano vimee pamoja,huwa wakishatapeliwa urudi walipozaliwa.
Huwezi jifunza pasipo kuanguka
 
Haijalishi hata kama ni matapeli maadamu wanaifanya kazi ya Mungu wanaokoa wengine pia.
Acha magugu na ngano vimee pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…