Uchunguzi wangu: Matumizi ya fedha za Umma

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
After a long time of usage and public checkability! I have noted that:
1. Rais anaweza kutumia kiasi chochote cha fedha za Umma as long as zinamwelekeo wa kumpigia kampeni za uchaguzi 2025.
Na "wahuni" wameshamsoma, ndiyo maana wasanii by 99,99999% wako upande wake kwa vile watachota pesa za bure


kuringe sawere Timbiri
Hawa viongozi hawana tena Vision na nchi hii,Kwao kilichobaki ni kuiba mali za umma na kujilimbikizia mali tu !!
 
Ni muda wa kuangazia matumizi ya

1. MamaNtilie

2. Machinga

3. Wamiliki wa Hotel

Watumishi wa Umma hawana hela
 
Hivi CCM wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwezi?
 
Hivi CCM wanaingiza mapato ya shilingi ngapi kwa mwezi?
zote ni fedha za umma...walijimilikisha maeneo na viteg ucumi vilivyokuwa mali ya umma enzi za chama kimoja chama dol...it was fully funded by government
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…