UCL: Unampa nani nafasi ya kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali

1. Manchester City
2. Bayern Munchen
3. Atletico
4. Liverpool
5. Juventus
6. Barcelona
7. Dortmund
8. Real Madrid
 
On papers

Kwa uingereza hapo atapita City, Liverpool kupita labda kama majeruhi wawe wamesharejea, Chelsea hata goli tu hapati dhidi ya Atletico Madrid.

Spain kule Barcelona na Sevilla kupita nawapa 30%, Real na Atletico tuwakute robo fainali.

Ujerumani, Babalao Bayern mpaka Sasa amepita bila kupingwa, wengine ndio wanamtihani.

Italy, Juventus kapita bila kupingwa.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wanaopita ni kama ifuatavyo:;
*sevila vs B Dortmund _Sevila
*Porto fc vs juventus_juventus (kwa tofauti ndogo sana)
*barca vs paris_barca wananafasi kubwa (neymar majeruhi)
*bayern Munich vs lazio_bayern Munich
*Rb reipzig vs Liverpool _Rb reipzig (kwa kishindo)
*man city vs borusia moncheladbach_man city
*atalanta vs real madrid (atalanta ananafasi hapa, Duvani zapata,ilisic ..wako vizuri in short)
*atletico vs Chelsea _atletico kapita bila kupingwa hapa😂
..

Yote kwa yote tusubiri dk 180' zitaamua zaidi..lakini huo ndo ukwelii


#Nasikia sikia man u kapangiwa Gwambina😂😂😂😂
 
Nmeiona chuki yako dhidi ya Liverpool.
 
Mkuu Atletico hapiti kwa Chelsea tukutane February
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…