Udaktari umekuwa kazi nyepesi sasa hivi

Udaktari umekuwa kazi nyepesi sasa hivi

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana

Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu vyenyewe kwa mfano CT scan, X - ray, Ultra sound na vingine vingi

Daktari wa sasa sio watu wa kuumiza vichwa sana na ndomana muda mwingi hawatulii makazini kwakuwa kila kitu ni simple and clear, uwezo, utambuzi na ubunifu wa vitu mbalimbali katika afya umekuwa mdogo sana mbali na uwepo wa hii teknolojia

Daktari wa sasa mbali na kusaidiwa vitu vingi na teknolojia ila bado wamekuwa wazembe katika kutoa majibu sahihi na katika wakati sahihi, ukitaka kuamini hili nenda katika haya mahospitali utafahamu

Daktari wa sasa wamekuwa watu wa maelezo mengi yasiyohusiana na matokeo husika ya vipimo, mfano hapa karibuni kuna moja ya hospital nilifika na mgojwa wangu ambaye aliingizwa kwenye vipimo vikubwa mpaka ile CT scan lakini bado madaktari wa sasa walishindwa kutoa majibu yanayoeleweka huku mgongwa akiwa bado anateseka na ugonjwa wake

Niseme tu hata Mimi na Degree yangu ya ualimu wa masomo ya kingereza na kiswahili, naweza kwenda kusoma udaktari wa sasa na nikahitimu vizuri yani nianze huo mwaka wa kwanza mpaka wa 5 au 7 nikitoka hapo nitakuwa daktari mzuri bila kujali Combination yangu ya HKL advance, I promise you guys naweza kuwa doctor kama huamini nilipie ada uone
 
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana

Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu vyenyewe kwa mfano CT scan, X - ray, Ultra sound na vingine vingi

Daktari wa sasa sio watu wa kuumiza vichwa sana na ndomana muda mwingi hawatulii makazini kwakuwa kila kitu ni simple and clear, uwezo, utambuzi na ubunifu wa vitu mbalimbali katika afya umekuwa mdogo sana mbali na uwepo wa hii teknolojia

Daktari wa sasa mbali na kusaidiwa vitu vingi na teknolojia ila bado wamekuwa wazembe katika kutoa majibu sahihi na katika wakati sahihi, ukitaka kuamini hili nenda katika haya mahospitali utafahamu

Daktari wa sasa wamekuwa watu wa maelezo mengi yasiyohusiana na matokeo husika ya vipimo, mfano hapa karibuni kuna moja ya hospital nilifika na mgojwa wangu ambaye aliingizwa kwenye vipimo vikubwa mpaka ile CT scan lakini bado madaktari wa sasa walishindwa kutoa majibu yanayoeleweka huku mgongwa akiwa bado anateseka na ugonjwa wake

Niseme tu hata Mimi na Degree yangu ya ualimu wa masomo ya kingereza na kiswahili, naweza kwenda kusoma udaktari wa sasa na nikahitimu vizuri yani nianze huo mwaka wa kwanza mpaka wa 5 au 7 nikitoka hapo nitakuwa daktari mzuri bila kujali Combination yangu ya HKL advance, I promise you guys naweza kuwa doctor kama huamini nilipie ada uone
Mkuu, ridhika na ulichonacho. Umri wako na masomo uliyosoma A-level kwa sasa havikubaliki kusoma hiyo fani.
 
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana

Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu vyenyewe kwa mfano CT scan, X - ray, Ultra sound na vingine vingi

Daktari wa sasa sio watu wa kuumiza vichwa sana na ndomana muda mwingi hawatulii makazini kwakuwa kila kitu ni simple and clear, uwezo, utambuzi na ubunifu wa vitu mbalimbali katika afya umekuwa mdogo sana mbali na uwepo wa hii teknolojia

Daktari wa sasa mbali na kusaidiwa vitu vingi na teknolojia ila bado wamekuwa wazembe katika kutoa majibu sahihi na katika wakati sahihi, ukitaka kuamini hili nenda katika haya mahospitali utafahamu

Daktari wa sasa wamekuwa watu wa maelezo mengi yasiyohusiana na matokeo husika ya vipimo, mfano hapa karibuni kuna moja ya hospital nilifika na mgojwa wangu ambaye aliingizwa kwenye vipimo vikubwa mpaka ile CT scan lakini bado madaktari wa sasa walishindwa kutoa majibu yanayoeleweka huku mgongwa akiwa bado anateseka na ugonjwa wake

Niseme tu hata Mimi na Degree yangu ya ualimu wa masomo ya kingereza na kiswahili, naweza kwenda kusoma udaktari wa sasa na nikahitimu vizuri yani nianze huo mwaka wa kwanza mpaka wa 5 au 7 nikitoka hapo nitakuwa daktari mzuri bila kujali Combination yangu ya HKL advance, I promise you guys naweza kuwa doctor kama huamini nilipie ada uone
kwaiyo ww unapenda vitu vigumu sio?.....acha kutumia JF rudi kwa tuma vitu kwa posta.....tumia philps kama sm yako zile za mkonga na upande juu ya mti kutafuta network......
 
Acha ujinga kudharau taaluma za wenzako

Miaka 5 kukaa chuo unadhani mchezo bila disco wala repeat tena Sayansi
Suala wala sio kukaa chuo miaka mingapi, hapa ndio mnako kosea. Ujuzi sio umekaa miaka mingap darasan, ndio maana akina bill gates waliacha shule, wote akina zuckerbeg akina Hp.
Sasa bongo mnapenda sana kutumia kigezo cha muda badala ya effect .

U get paid and become succesful not for the time u spend but for value u bring/create
 
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana

Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu vyenyewe kwa mfano CT scan, X - ray, Ultra sound na vingine vingi

Daktari wa sasa sio watu wa kuumiza vichwa sana na ndomana muda mwingi hawatulii makazini kwakuwa kila kitu ni simple and clear, uwezo, utambuzi na ubunifu wa vitu mbalimbali katika afya umekuwa mdogo sana mbali na uwepo wa hii teknolojia

Daktari wa sasa mbali na kusaidiwa vitu vingi na teknolojia ila bado wamekuwa wazembe katika kutoa majibu sahihi na katika wakati sahihi, ukitaka kuamini hili nenda katika haya mahospitali utafahamu

Daktari wa sasa wamekuwa watu wa maelezo mengi yasiyohusiana na matokeo husika ya vipimo, mfano hapa karibuni kuna moja ya hospital nilifika na mgojwa wangu ambaye aliingizwa kwenye vipimo vikubwa mpaka ile CT scan lakini bado madaktari wa sasa walishindwa kutoa majibu yanayoeleweka huku mgongwa akiwa bado anateseka na ugonjwa wake

Niseme tu hata Mimi na Degree yangu ya ualimu wa masomo ya kingereza na kiswahili, naweza kwenda kusoma udaktari wa sasa na nikahitimu vizuri yani nianze huo mwaka wa kwanza mpaka wa 5 au 7 nikitoka hapo nitakuwa daktari mzuri bila kujali Combination yangu ya HKL advance, I promise you guys naweza kuwa doctor kama huamini nilipie ada uone
Udaktari ungekuwa rahisi hivyo, tungepanga mashine toka Bagamoyo hadi Dar, mtu awe anapita kila mashine, halafu wewe mwalimu ukae kule mwisho usubiri kusoma majibu.
 
Nafikiri na kudhani pia wengi wao hawana taaluma na ufahamu wa kutosha juu ya hizo mashine zile sio fesibuku akaunti,,instagramu,,mtandao X au tikitoku
Hata wewe ukute huna unalojua kuhusu Facebook na Instagram... Unaona ni simple haya nambie umetengeneza shingapi kule kama ni simple ukweli ni kwamba Sasa hivi technolojia ndo mpango mzima mi naona ni sawa tu muhimu hajafanmtu.

Kuna Dr anatibu watu kwenye frame kama vile anauza Michele na sukari na watu wanajaa na wanapata tiba sema hauzi dawa ana vifaa vya utra sound, na majitu mengine anapiga pesa kwa mwezi analaza milioni 6 na hajawahi kuua mtu huu mwaka wa 5
 
Mleta mada kama hajazaliwa miaka ya 80' basi amerithi roho za hiki kizazi cha 80' ndo wana roho za hivi hivi walio wengi yani wewe kufanya kitu kwa urahisi hapendi anataka uhangaike ndo wanafurahi.
Wanakunja roho kila sehemu sio biashara hata michongo tu ya kawaida wanawaza ugumu ugumu na kuteseka.
 
Haya
Hata wewe ukute huna unalojua kuhusu Facebook na Instagram... Unaona ni simple haya nambie umetengeneza shingapi kule kama ni simple ukweli ni kwamba Sasa hivi technolojia ndo mpango mzima mi naona ni sawa tu muhimu hajafanmtu.

Kuna Dr anatibu watu kwenye frame kama vile anauza Michele na sukari na watu wanajaa na wanapata tiba sema hauzi dawa ana vifaa vya utra sound, na majitu mengine anapiga pesa kwa mwezi analaza milioni 6 na hajawahi kuua mtu huu mwaka wa 5
 
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana

Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu vyenyewe kwa mfano CT scan, X - ray, Ultra sound na vingine vingi

Daktari wa sasa sio watu wa kuumiza vichwa sana na ndomana muda mwingi hawatulii makazini kwakuwa kila kitu ni simple and clear, uwezo, utambuzi na ubunifu wa vitu mbalimbali katika afya umekuwa mdogo sana mbali na uwepo wa hii teknolojia

Daktari wa sasa mbali na kusaidiwa vitu vingi na teknolojia ila bado wamekuwa wazembe katika kutoa majibu sahihi na katika wakati sahihi, ukitaka kuamini hili nenda katika haya mahospitali utafahamu

Daktari wa sasa wamekuwa watu wa maelezo mengi yasiyohusiana na matokeo husika ya vipimo, mfano hapa karibuni kuna moja ya hospital nilifika na mgojwa wangu ambaye aliingizwa kwenye vipimo vikubwa mpaka ile CT scan lakini bado madaktari wa sasa walishindwa kutoa majibu yanayoeleweka huku mgongwa akiwa bado anateseka na ugonjwa wake

Niseme tu hata Mimi na Degree yangu ya ualimu wa masomo ya kingereza na kiswahili, naweza kwenda kusoma udaktari wa sasa na nikahitimu vizuri yani nianze huo mwaka wa kwanza mpaka wa 5 au 7 nikitoka hapo nitakuwa daktari mzuri bila kujali Combination yangu ya HKL advance, I promise you guys naweza kuwa doctor kama huamini nilipie ada uone
Kukutana na madokta wa BRN ndio utajua hujui. Elimu kwa sasa imekuwa rahisi, hata paper za NECTA kwa sasa ni mchele.
 
Suala wala sio kukaa chuo miaka mingapi, hapa ndio mnako kosea. Ujuzi sio umekaa miaka mingap darasan, ndio maana akina bill gates waliacha shule, wote akina zuckerbeg akina Hp.
Sasa bongo mnapenda sana kutumia kigezo cha muda badala ya effect .

U get paid and succesful not for the time u spend but for value u bring/create
Hapana -Sio kweli. Huo muda wa masomo (Theory na Practicals) wataalam waliukokotoa (calculate) kutokana na wingi wa vitu (Mada/Topics) anavyotakiwa daktari avijue. Licha ya kwamba Teknolojia imerahisisha lakini bado huyo daktari mwanafunzi anapaswa aijue hiyo teknolojia ikiwa ni pamoja na jinsi ya kuitumia. Kwa mantiki hiyo Ujio wa New Technologies umemzidishia mwanafunzi huyo mzigo kwa namna fulani. Halafu ukizingatia kwamba huyo daktari mtarajiwa kama akifaulu atakwenda kutoa huduma kwa Jamii(Watu/Binadamu)kulinda na kuhifadhi mustakabali wa Afya zao. Kwa hiyo ni lazima aandaliwe vizuri asije akawa ni mmojawapo kwa mfano wa Izraeli.
 
Mkuu, Sikatai lakini naangalia pros & cons. Je, kama akimaliza kozi hiyo atakuwa na umri gani na ajira zenyewe ndo ivo. au Atajivunia kuwa ni daktari professional aliyefikia umri wa kustaafu siku anagraduate?
Na hiki ndio kikwazo, maana wemgi husoma kwa ajili ya ajira. Lakini kama unasoma for private practise wala huna haja ya kuhofu kuhusu umri
 
Hata wewe ukute huna unalojua kuhusu Facebook na Instagram... Unaona ni simple haya nambie umetengeneza shingapi kule kama ni simple ukweli ni kwamba Sasa hivi technolojia ndo mpango mzima mi naona ni sawa tu muhimu hajafanmtu.

Kuna Dr anatibu watu kwenye frame kama vile anauza Michele na sukari na watu wanajaa na wanapata tiba sema hauzi dawa ana vifaa vya utra sound, na majitu mengine anapiga pesa kwa mwezi analaza milioni 6 na hajawahi kuua mtu huu mwaka wa 5
Huyo ni Dokta au Lab technician au Pharmacist?
Hiyo frame ameiandika Jina i.e. Imesajiliwa au inafanya kazi kibubu-Bubu?
Kupata pesa ni hoja nyingine na swala la hajaua mtu lipo wazi kwani Hauzi/hatoi dawa lakini Ultar sound, X-ray n.k. haviui japo vina madhara yake pia.
Shida iliyopo hapo ni kule baadhi ya watu kudhani kwamba mtu yeyote anayetoa huduma ya kiafya huitwa Dokta.
 
Back
Top Bottom