Udaktari umekuwa kazi nyepesi sasa hivi

Udaktari umekuwa kazi nyepesi sasa hivi

mwalimu wa kiswahili ulipata ile ajira?

1. Anatomy
2. Physiology
3. Biochemistry
4. Microbiology
5. Pathology
6. Pharmacology
7. Community Medicine
8. Internal Medicine
9. Surgery
10. Pediatrics
11. Obstetrics and Gynecology
12. Psychiatry
13. Radiology
14. Emergency Medicine
15. Medical Ethics
16. Epidemiology
 
mwalimu wa kiswahili ulipata ile ajira?

1. Anatomy
2. Physiology
3. Biochemistry
4. Microbiology
5. Pathology
6. Pharmacology
7. Community Medicine
8. Internal Medicine
9. Surgery
10. Pediatrics
11. Obstetrics and Gynecology
12. Psychiatry
13. Radiology
14. Emergency Medicine
15. Medical Ethics
16. Epidemiology
Nadhani baada ya kuziona hizo 👆 👆 ameingia mitini mazima.
 
kumbe degree ya HKL it means ulikimbia Phys,chemstry kwa hy huna vigezo ila ulipofikia sio pazuri yaan unakosoa kazi za watu😡😡😡
Nanukuu: "ulipofikia sio pazuri yaan unakosoa kazi za watu"
Ilhali hao watu wanaokosolewa kwa kebehi wala hawaja idharau na kuihafifisha kazi yake ya ualimu.
 
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana

Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu vyenyewe kwa mfano CT scan, X - ray, Ultra sound na vingine vingi

Daktari wa sasa sio watu wa kuumiza vichwa sana na ndomana muda mwingi hawatulii makazini kwakuwa kila kitu ni simple and clear, uwezo, utambuzi na ubunifu wa vitu mbalimbali katika afya umekuwa mdogo sana mbali na uwepo wa hii teknolojia

Daktari wa sasa mbali na kusaidiwa vitu vingi na teknolojia ila bado wamekuwa wazembe katika kutoa majibu sahihi na katika wakati sahihi, ukitaka kuamini hili nenda katika haya mahospitali utafahamu

Daktari wa sasa wamekuwa watu wa maelezo mengi yasiyohusiana na matokeo husika ya vipimo, mfano hapa karibuni kuna moja ya hospital nilifika na mgojwa wangu ambaye aliingizwa kwenye vipimo vikubwa mpaka ile CT scan lakini bado madaktari wa sasa walishindwa kutoa majibu yanayoeleweka huku mgongwa akiwa bado anateseka na ugonjwa wake

Niseme tu hata Mimi na Degree yangu ya ualimu wa masomo ya kingereza na kiswahili, naweza kwenda kusoma udaktari wa sasa na nikahitimu vizuri yani nianze huo mwaka wa kwanza mpaka wa 5 au 7 nikitoka hapo nitakuwa daktari mzuri bila kujali Combination yangu ya HKL advance, I promise you guys naweza kuwa doctor kama huamini nilipie ada uone

Mimi ni Tabibu / Natural health Practitioner kutoka kampuni moja ya Kimarekani lakini asili yake ni China .
Nilisoma treatment formulas zao , kisha kufanya mitihani yao ya Kiafya , mara ya kwanza matokeo hayakuridhisha , nikasima tema online , nikafanya mtihani wao , nikafaulu , na kupatiwa Certificate kutoka USA [emoji631], Sasa hivi nafanya matibabu hapa nyumbani kupitia dawa asili zao !

KISA :
Baba yangu mdogo alipata shida ya upumuaji , so wakamkimbiza Muhimbili JAKAYA KIKWETE ; na kuwekewa Oxygen , nikiwa kama Tabibu , nilienda kumuona , so pia nikajadiliana na madaktari kwenye chumba cha ICU
Nikawauliza shida yake mzee wangu ni nini haswa ?
Wale madaktari wakaniambia ni Oxygen ndogo mwilini

So kwa elimu yangu asili nikashirikiana nao mawazo , nikawaambia kuwa Kama Oxygen ni ndogo mwilini maana yake Mzunguko wa Damu ni mdogo , kwa maana nyingine mishipa imeziba / Blood stuck or blockage

Kwa hiyo shida ni mzunguko wa damu hauko sawa mwilini mwake , na kupelekea tatizo la Oxygen

Then kwa sababu walikuwa wanampatia huduma yao , nikawaomba mimi nimfanyie FOOT MASSAGE/ REFLEXOLOGY, kwa ajili ya Kuzibua mishipa na kuwezesha Oxygen kupatikana kwa haraka ,
Nikawapa business card yangu , na kwa maelezo yangu , walistaajabu kidogo hii Plan , so wakaniruhusu .

Baba yangu mwili wote ulikuwa unamuuma , na ndio dalili kuwa mzunguko wa damu hauko sawa !

Therapy ilinichukua 3 days , Oxygen ilirudi na akapona faster , akatolewa ICU na kupelekwa Ward ya kawaida bila Oxygen, mbali na kumkuta kwenye hali mbaya sana !

So nashauri madaktari wetu ni vyema washirikiane nasi watu wa Natural Katika Critical health issues kama hizi

Maana wao hutoa dawa peke yake , na watu wengi hupoteza maisha kulinga na miili kuwa dhaifu sana na kushindwa kuhimili nguvu za dawa na kuzalisha sumu zaidi mwilini hivyo Mifumo kukwama na watu kupoteza maisha !
[emoji120][emoji120][emoji120]
IMG_2362.jpg
 
Mimi ni Tabibu / Natural health Practitioner kutoka kampuni moja ya Kimarekani lakini asili yake ni China .
Nilisoma treatment formulas zao , kisha kufanya mitihani yao ya Kiafya , mara ya kwanza matokeo hayakuridhisha , nikasima tema online , nikafanya mtihani wao , nikafaulu , na kupatiwa Certificate kutoka USA [emoji631], Sasa hivi nafanya matibabu hapa nyumbani kupitia dawa asili zao !

KISA :
Baba yangu mdogo alipata shida ya upumuaji , so wakamkimbiza Muhimbili JAKAYA KIKWETE ; na kuwekewa Oxygen , nikiwa kama Tabibu , nilienda kumuona , so pia nikajadiliana na madaktari kwenye chumba cha ICU
Nikawauliza shida yake mzee wangu ni nini haswa ?
Wale madaktari wakaniambia ni Oxygen ndogo mwilini

So kwa elimu yangu asili nikashirikiana nao mawazo , nikawaambia kuwa Kama Oxygen ni ndogo mwilini maana yake Mzunguko wa Damu ni mdogo , kwa maana nyingine mishipa imeziba / Blood stuck or blockage

Kwa hiyo shida ni mzunguko wa damu hauko sawa mwilini mwake , na kupelekea tatizo la Oxygen

Then kwa sababu walikuwa wanampatia huduma yao , nikawaomba mimi nimfanyie FOOT MASSAGE/ REFLEXOLOGY, kwa ajili ya Kuzibua mishipa na kuwezesha Oxygen kupatikana kwa haraka ,
Nikawapa business card yangu , na kwa maelezo yangu , walistaajabu kidogo hii Plan , so wakaniruhusu .

Baba yangu mwili wote ulikuwa unamuuma , na ndio dalili kuwa mzunguko wa damu hauko sawa !

Therapy ilinichukua 3 days , Oxygen ilirudi na akapona faster , akatolewa ICU na kupelekwa Ward ya kawaida bila Oxygen, mbali na kumkuta kwenye hali mbaya sana !

So nashauri madaktari wetu ni vyema washirikiane nasi watu wa Natural Katika Critical health issues kama hizi

Maana wao hutoa dawa peke yake , na watu wengi hupoteza maisha kulinga na miili kuwa dhaifu sana na kushindwa kuhimili nguvu za dawa na kuzalisha sumu zaidi mwilini hivyo Mifumo kukwama na watu kupoteza maisha !
[emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 3030742
Ndo nyie mnatuambia ajira zipo tukifika ofisini kwenu mnasema leta wenzako watatu ili upate kamisheni......
Ahahahaha
Sema mkuu salout kwako aisee umetisha sana an
 
mwalimu wa kiswahili ulipata ile ajira?

1. Anatomy
2. Physiology
3. Biochemistry
4. Microbiology
5. Pathology
6. Pharmacology
7. Community Medicine
8. Internal Medicine
9. Surgery
10. Pediatrics
11. Obstetrics and Gynecology
12. Psychiatry
13. Radiology
14. Emergency Medicine
15. Medical Ethics
16. Epidemiology
So powaaa mkuu
 
Yani sasa hivi kutokana na haya mapinduzi ya teknolojia imefanya kazi ya udaktari ionekane ni rahisi sana

Daktari wa sasa kila kitu wanaletewa yani vipimo vyote vinapimwa na vinatoa majibu vyenyewe kwa mfano CT scan, X - ray, Ultra sound na vingine vingi

Daktari wa sasa sio watu wa kuumiza vichwa sana na ndomana muda mwingi hawatulii makazini kwakuwa kila kitu ni simple and clear, uwezo, utambuzi na ubunifu wa vitu mbalimbali katika afya umekuwa mdogo sana mbali na uwepo wa hii teknolojia

Daktari wa sasa mbali na kusaidiwa vitu vingi na teknolojia ila bado wamekuwa wazembe katika kutoa majibu sahihi na katika wakati sahihi, ukitaka kuamini hili nenda katika haya mahospitali utafahamu

Daktari wa sasa wamekuwa watu wa maelezo mengi yasiyohusiana na matokeo husika ya vipimo, mfano hapa karibuni kuna moja ya hospital nilifika na mgojwa wangu ambaye aliingizwa kwenye vipimo vikubwa mpaka ile CT scan lakini bado madaktari wa sasa walishindwa kutoa majibu yanayoeleweka huku mgongwa akiwa bado anateseka na ugonjwa wake

Niseme tu hata Mimi na Degree yangu ya ualimu wa masomo ya kingereza na kiswahili, naweza kwenda kusoma udaktari wa sasa na nikahitimu vizuri yani nianze huo mwaka wa kwanza mpaka wa 5 au 7 nikitoka hapo nitakuwa daktari mzuri bila kujali Combination yangu ya HKL advance, I promise you guys naweza kuwa doctor kama huamini nilipie ada uone
Kwa hiyo haya uliyoyaandika umeyajua Leo?
 
Hakuna kitu sikipendi kama Daktari kuniambia tu nenda kachukue hizi dawa!
Kasoma majibu ya maabara alafu anaandika tu dawa bila kukwambia unachoumwa!
Ukimuuliza anajibu "Niitie flani"
Japo ni haki yako kufahamu lakini wingi wa wagonjwa unachangia pia.
 
Unaenda hospital unaumwa unaandikiwa vipimo hivo mpk unashangaa vingine hata haviusiani na tatizo mtu una gastritis unaandikiwa X-ray,mara vipimo vya moyo hatar sana!
Kama unakuwa diagnosis ya ugonjwa wako hospitali umefuata nini?
 
Mimi ni Tabibu / Natural health Practitioner kutoka kampuni moja ya Kimarekani lakini asili yake ni China .
Nilisoma treatment formulas zao , kisha kufanya mitihani yao ya Kiafya , mara ya kwanza matokeo hayakuridhisha , nikasima tema online , nikafanya mtihani wao , nikafaulu , na kupatiwa Certificate kutoka USA [emoji631], Sasa hivi nafanya matibabu hapa nyumbani kupitia dawa asili zao !

KISA :
Baba yangu mdogo alipata shida ya upumuaji , so wakamkimbiza Muhimbili JAKAYA KIKWETE ; na kuwekewa Oxygen , nikiwa kama Tabibu , nilienda kumuona , so pia nikajadiliana na madaktari kwenye chumba cha ICU
Nikawauliza shida yake mzee wangu ni nini haswa ?
Wale madaktari wakaniambia ni Oxygen ndogo mwilini

So kwa elimu yangu asili nikashirikiana nao mawazo , nikawaambia kuwa Kama Oxygen ni ndogo mwilini maana yake Mzunguko wa Damu ni mdogo , kwa maana nyingine mishipa imeziba / Blood stuck or blockage

Kwa hiyo shida ni mzunguko wa damu hauko sawa mwilini mwake , na kupelekea tatizo la Oxygen

Then kwa sababu walikuwa wanampatia huduma yao , nikawaomba mimi nimfanyie FOOT MASSAGE/ REFLEXOLOGY, kwa ajili ya Kuzibua mishipa na kuwezesha Oxygen kupatikana kwa haraka ,
Nikawapa business card yangu , na kwa maelezo yangu , walistaajabu kidogo hii Plan , so wakaniruhusu .

Baba yangu mwili wote ulikuwa unamuuma , na ndio dalili kuwa mzunguko wa damu hauko sawa !

Therapy ilinichukua 3 days , Oxygen ilirudi na akapona faster , akatolewa ICU na kupelekwa Ward ya kawaida bila Oxygen, mbali na kumkuta kwenye hali mbaya sana !

So nashauri madaktari wetu ni vyema washirikiane nasi watu wa Natural Katika Critical health issues kama hizi

Maana wao hutoa dawa peke yake , na watu wengi hupoteza maisha kulinga na miili kuwa dhaifu sana na kushindwa kuhimili nguvu za dawa na kuzalisha sumu zaidi mwilini hivyo Mifumo kukwama na watu kupoteza maisha !
[emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 3030742
Lipia tangazo
 
Back
Top Bottom