Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....

Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....

hii nayo ndoa ama ndoana...........? ukistaajabu ya flora mbasha utayaona ya mwallu na Mentor

hebu mtuache tulale na bebito wangu charminglady leo anaifanyia usafi bunduki yangu imeanza kupata kutu

Masikini weeeee....!(kweli jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza)

Haya endeleeni kulala...na kusafishana kutu. Yangu yang'aa wakti wote...
 
Last edited by a moderator:
hivi huyu mtoto me naweza kumkimbia kweli? mwandishi amedanganya hapo ila.... anachelewa sana huko shuleni nahisi anatakiwa kuja walau likizo aje kumwona mumewe!

mama mkwe lifanyie kazi hilo.

nakuaminia shem komaa vitu vizuri haviitaji haraka.
 
hapana si anatulizwa kwa mda kusubiri kaupepo katulie huku mtaani...

Unadhani nina haja ya kutuliza chochote?

Sina haja hiyo kwasababu sina sababu ya kuficha wala kuituliza chochote!
 
Back
Top Bottom