Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Kasinde kaonekana feri akinunua samaki jana akiwa amejitanda baibui na mawani meuzi.. ila watoto wa mjini tumemshtukia.
Dawa yako ni kukutokea kwenye crash na pikipiki yako ya miguu 3 na helmet, this time I'll be a police traffic, we unanichokoza kuwa mie niko ferry, Kaizer kaniambia kanihifadhi kigamboni 4 days, ngoja niingie msituni nikiibuka hatapona mtu humu MMU. Mie niko kwa Obama state nabundi na kupopo nakula life na kuinjoy ujana u said what!! just wait and stay tuned,
Halafu nahisi kuna mtu atakuwa amekutuma wewe sio bure, maana najua ulivo mpole how come unichokoze hivi???!!! ntamjua tuu huyo aliyekutuma unichokozee