Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....


hahahahah
haya mkuu men's ego ni mbaya sana na ndio inatufanya kuw ana kiburi muda wote
Kujiona tupo sahihi muda wote hata pale tunapoenda au kufanya wrong always tunajiona tupo sahihi
Mkuu changamkia fursa hiyo ais e

Naona leo umekuwa mpoooleee!!!

OMG Mamndenyi toka lini ukamuona mwanaume anakuwa mpole
Ushawahi kumuona mwanaume anakiri kuwa amefumaniwa hata akikutwa mtupu na mwanamke kitandani anasema nilikuwa namfanyia massage na sio sex
hapa hakunaga cha upole ni mwendo mdundo na niko na miss chagga nampenda sana
 
Last edited by a moderator:

nakupenda Mr Rocky
 
teh teh leo naona cheaf bazazi Mentor ametoka mafichoni hivi ndoa yenu lini na mwallu? mtoto wa watu angalia uchumba sugu usije ukakuvizia hizo ndo genuine characteristics za bazazi cc Kaizer na Nicas Mtei
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…