Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....

Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....

Tized unamsikiliza huyo mchafuzi Ntuzu
yeye kashamaliza JF nzima sasa anaona wewe kupata barafu wa moyo wako ni issue ndo maana anakuharibia
We fanya tathmini yako bana uweke kifaa n.dani achana na huyu mchafuzi na anakuonea wivu maana kule kwa ladyfurahia bado kunasuasua hakujakaa njema bado hajakubaliwa kwa hiyo hataki aone mtu mwenye furaha
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kiwatengu asante sana kwa gazeti, nami nimeshajipatia kopi yangu matata apa.

Toleo lijalo usisau MTOSO aliopigwa shemeji yangu Ntuzu na yule miss wa kichagga baada ya Mr Rocky kuhonga sana mashemeji (hizi bado ni fununu, nafuatilia kwa ukaribu nipate ukweli wake). kwa kuwa nasikia na wewe ni sehemu ya mashemeji sitegemei uzito wa kutosha kwenye huu mnyetisho.

Kuna habari nyingi SISIMSHI sana za akina sungura1980, Mentor, Karucee (huyu nakudokeza tu.. shemeji yetu kampiga ban kuja jukwaani.. more to come), lara 1 kuonekana sana akikatiza sana barabara ya Tabata, hashindi tena kwa lile li-botique lake pale nanii... (more details to follow) Kasinde kaonekana feri akinunua samaki jana akiwa amejitanda baibui na mawani meuzi.. ila watoto wa mjini tumemshtukia. Pia vimbwanga vilivyotokea kwenye BD party ya kabanga na muuza ubuyu etc.

Nitakupelekea maelezo zaidi PM.

ooh! uko vizuri sana kwenye uandishi mkuu
ur among the good resources we have here...
 
Last edited by a moderator:
Tized unamsikiliza huyo mchafuzi Ntuzu
yeye kashamaliza JF nzima sasa anaona wewe kupata barafu wa moyo wako ni issue ndo maana anakuharibia
We fanya tathmini yako bana uweke kifaa n.dani achana na huyu mchafuzi na anakuonea wivu maana kule kwa ladyfurahia bado kunasuasua hakujakaa njema bado hajakubaliwa kwa hiyo hataki aone mtu mwenye furaha

ha ha ha .... love is kind
 
Last edited by a moderator:
kwani si,kunakuhusika kwa aina nyingi..
kama uliona na ukaupinga ndiyo kuhusika kwenyewe huko...
kumbuka kuna uhusika positive na negative...
measure ur self from there...



Waooh nimekuelewa mwandishi wetu hapo sina kesi na wewe umejieleza vizuriiiii...
 
Hahahaaaa... amna kitu kaka, nimejaribu tu kukuiga apo, Uandishi wako ni sisimshi na chekeshi sana, and inteligently presented. Ngoja nikafanye reference check ya Dena Amsi kwanza.

ooh! uko vizuri sana kwenye uandishi mkuu
ur among the good resources we have here...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom