Udaku Special!! 3rd Edition... Full Nondo!!!

Kuanzia leo wewe ni adui yangu namba1 baada ya kuushinda ujinga, maradhi na umaskini.
Thus; ama zangu ama zako. Over

ishakuwa noma sasa.
kaka mkubwa. punguza hasira.
mwanamke asitugombanishe, tumetoka mbali mkubwa.
 
Mkuu nimeona JAMBO jipya chini ya JUA.
kiwatengu ndoa yangu na Dena Amsi iko imara huyo miss chagga alitikisa tuqu kiberiti hapo akakuta kimejaa. Nampenda sana Dena Amsi bana huyo miss chagga ni mchepuko tuu aise
Cc Ntuzu, Tized, mwallu

Kaka kiwatengu ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Mr Rocky we mwaache tu... mapenzi kiti cha basi... Ntuzu we endelea tu kuvunja shingo.
aisee! yamekuwa haya tena?
kuna mambo utakumbushwa hapa na Tized pamoja na Ntuzu,
binafsi nilijua lazma urudi kulidai penzi la dena
kwa nguvu zote!!

ikumbukwe ulikaribia kumgawa.

Yamekua hayo tena? miss chagga sema NENO na nafsi yangu itapona. Ila ya Ntuzu sijui itakuaje.
kiwatengu na mwallu nilijua toka mwanzo miss chagga hafai ni kimeo ndo maana nikawa mguu mmoja ndani mmoja nje. Ntuzu ruksa kwenda kwa miss chagga.
Kasinde mamito Tized is here waiting.... Only worrying namna ya kukunasua kwangu... maana GLUE yangu sio mchezo... am just strategizing on how to unglue you... Bodaboda man isnt a joke oooh!!! Ila mrejesho to JF ni marufuku usije njazia ma PM buuureeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!

 
Last edited by a moderator:

Aisee yan nikisikia jina la Ntuzu limehusishwa na miss chagga roho inatamani kutoka
 
Last edited by a moderator:

hahahahhaa Tized, u r inviting me looh!! utanifanya nirudi Dar kabla vacation yangu haijaisha looh!!! Un glue me from u.... after the crush.....??? Unanifanya niingie msituni maana sitakubali kushindwa game, Kasinde is a silly girl hutakaa uamini, wacha nijikoki kuanzia sasa kisha u will be the one unajifikiria ntajinasuaje kwa Kasinde coz she is soo hot and sweet...
 
Tized uwe na amani hakuna kipya chini ya jua hili kila kitu kilikuwepo na kitaendelea kuwepo
Kumpenda miss chagga na yeye kujielewa kuwa ni nyumba ndogo hakuna kipya anajua kuwa Dena Amsi yupo na ni ni mke halali na mkubwa sasa yeye anajielewa kuwa hapa anaiba
Wakati ukifika anaweza panda cheo kuwa nyumba kubwa kwa hiyo Ntuzu asitarajie chochote aendelee kuwa na huyo Khantwe wake mwallu hujambo wewe msalimie kaka yako Ntuzu
 
Last edited by a moderator:

Nishaamini ulozi upo hakyamama
 
Last edited by a moderator:

Hata bila ushauri huu asingerudi kamwe
 
Last edited by a moderator:

Duh kumbe missChagga ni bi mdogo?Makubwaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Honey Faith kipi usichoelewa hapo yaani ina maana hata picha huoni aise



Bora asirudi kabisa miss chagga hapa ametulia kabisa hana wasi wasi na hana shida na huyo Ntuzu wako


mwallu dah ulozi hakuna bana ni kawaida tuu

Hata Ngosha wangu hapa hana shida na huo mchepuko wako hata kidogo....ametulizwa akatulia
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…