Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utapata na vya kimwili pia..
Usijali miss chagga hana madhara. Kuna mmoja anachezewa kama lile joka la kwenye maonesho ila simtaji hapa.
Tized uwe na amani hakuna kipya chini ya jua hili kila kitu kilikuwepo na kitaendelea kuwepo
Kumpenda miss chagga na yeye kujielewa kuwa ni nyumba ndogo hakuna kipya anajua kuwa Dena Amsi yupo na ni ni mke halali na mkubwa sasa yeye anajielewa kuwa hapa anaiba
Wakati ukifika anaweza panda cheo kuwa nyumba kubwa kwa hiyo Ntuzu asitarajie chochote aendelee kuwa na huyo Khantwe wake mwallu hujambo wewe msalimie kaka yako Ntuzu
Unataka kusema nini miss chagga? Ntalia mimi mweh...
Nipate mara ngapi ndugu mwandishi
Dena karudi, miss chagga hana chake...
Kutwa MARA TATU. na alfajiri saaana wakati Kabla jogoo hajawika.
cc Ndugu mwandishi.
Dena karudi, miss chagga hana chake...
qudadadeq.....sitobanduka ubavuni kwa Ntuzu maana miss chagga si mtu salama tena
ha ha ha haha ukome nitamchukua ujue wewe... Ntuzu nakuja weekend kuchukua underware zangu na mafuta yangu... alfu ile kanga yangu i hope uendelei kuogea .... chanuo langu kama kuna mtu katumia naomba usafishe au nunu jipya kabisa..... ile saa niliyokupa ile siku ya kuzaliwa kwako nimekuachia tu...