Udaku Special!! 3rd Edition... Full Nondo!!!


Mr Rocky mpenzi leo unakula nini? naomba leo usiseme nikuandalie ile kitu yetu
 

Umekwishapotea hakika
 
Last edited by a moderator:
Hakuna msukuma ambaye ahudumii mali yake sema wewe ulizidisha kwa tetesi tulizonazo kumbe na wewe ulikuwa unamuonga huyo laaziz wako.Ila Ntuzu anahudumia sana yani hapishani na shemeji yake Rogie

Kwa taaria nilizopata ni kwamba Ntuzu alikuwa so loyal kwa miss chagga


Just like the old days
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahhaahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wifi jamani
ila umekosea kuachana na kaka yangu bhana msamehe kama amekukosea na mrudie tena kwani yule ndo chaguo lako

halafu nzutu kaka yako ana mikwara kama nini amesema eti atanipiga ngumi 10 sijui hajui kuwa mm ni KOMANDOO WA VITA NA NI JEMEDARI
 
kama ulikuwa unakuja kumshikia mguu hapo unaweza toaa taarifa hizo ....Ntuzu ni kitenesi na ni mchoyo sana ooh nimeshakulipia mahari nani kamtuma

We bidada ulitaka kaka yangu akupendeje?Kila kitu alikuwa anakuhudumia sasa wewe ulitakaje?Na kudhihirisha na mahari akataka akulipie sasa wewe ulitaka nini zaidi ya hilo?Au ndo njama zako za kumchuna na kumpa nanihiiii wako?
 
kiwatengu mke wangu charty yupo salama kwenye himaya yangu Rich Pol alitaka kuleta fitna tukamstukia
Chombo nina kimiliki mimi na kimekuri hamna mwingine zaidi yangu!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…