Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
red kweli? duh.. we mrembo noma! hutaki msaidizi hata kidogo?hahaha huyo mtu angejua ukioa mke wa pili nakupa red card
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
red kweli? duh.. we mrembo noma! hutaki msaidizi hata kidogo?hahaha huyo mtu angejua ukioa mke wa pili nakupa red card
nimekuchukulia in private! n'tafute!hivi nimechelewa kupata Copy yangu
red kweli? duh.. we mrembo noma! hutaki msaidizi hata kidogo?
sasa nini maana ya utaalamu wako joh!! we sema chochote mi nitalipa
Mapi kwa kuwa ni wewe, Niletee tu mkojo wa ''kakakuona'' pamoja na mkia wake, Jino la mamba la chichi (liwe la upande wa kulia) Kuku mweusi wa kienyeji (jogoo alienona), Unga wa donna uliochanganywa na unga wa mhogo debe moja na Tshs 50 tu. mambo yako yatakua mswaaaaaaaano!!!!!!!
Halafu kuna siku nilisikia kuna mtu anaenda kutambulishwa ukweni mbona sijauona huo udaku? Cc kiwatengu
Au we ndio kuhadi wa First Born maana cjakuelewa kabisa embu tiririka mkuu uckute umetumwa
acha utani asee we unaona kuchepuka ni deal sana?
mhhh acha basi kuvunga..nini ambacho hujakiona?
sijawahi kuchepuka hata mara moja!!
hivi ni wewe ulikuwa pale saloon leo?
mbona umekausha hivyo?