Udangaji kwa wanachuo umezidi

Udangaji kwa wanachuo umezidi

Una-uhakika ni wanachuo mkuu?

unawatambuaje huwa wana ID za vyuo vyao huko club?

Let's share uzoefu mkuuj
Sehemu zote karibu na vyuo.vikuu malaya wote wa jiji huenda huko ukiwauliza hata kiingereza wanajibu vizuri tu wamesoma English course mitaani na kujifanya wanachuo cha hapo jirani mfano limalaya laweza toka Buguruni kwa mfuga mbwa lokaja mlimani City limejipodoa hilo ukiliona unasema mwanachuo ndio huyu kumbe patupu

Visichana vingi vya chuo huwezi kuvikuta mlimani City vinaogopa kukutana na walimu wao kwani nao hupenda kushinda hapo
 
Hata nyanya masalo.... unaweza kuikuta supamarket... Hiyo haibadilishi uhalisia kuwa ni nyanya masalo....!!!..

Wanajua kucheza na akili zenu... Eti wa chuo!!!

Chuo cha nyo.ko!!...

Anajua akijiita wa chuo...

Lazima umuingie kimatawi flani...yenye hadhi yake......asikuone boya... Ukijiliganisha na la saba lako....hutaki uonekane boya...

Unajiona umepaaata! kumbe umepatikana!!! Kama sio kupakatwa...


Neno binti wa chuo... (Hosteli)... Halijawahi kumwaacha mlugaluga... Mshamba wa K...! Salama!!!...

🎶AY & FA-----Usije mjini!!!
 
Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.

Hivi mnawazaga nini?
Ndio hao wakiferi wanataka tume
 
From what i know about women, mara nyingi ndani ya dakika 3 za kuongea na wewe lazima unakuta ashajua kabisa wewe ni mwanaume wa aina gani na lengo lako ni nini...
Haiombwi hivyoo[emoji1787]
 
Back
Top Bottom