Hata si kujitapa, huyo kapewa tu jibu la hapana kwa njia nyingine. 🤣🤣 anajua tu kwa bomu hili huyu harudi.Inategemea umemuonyesha wewe ni mtu wa aina gani, kama umejitapa una pesa nyingi, gari kali aah anaona kwako simu it's a minor thing. So Be a gentleman acha masifa sifa.😀
[emoji23][emoji23][emoji23] huyo nii mwanafunzi wa mchongo kweliUsije ukawa umekutana na mwanafunzi wa mchongo, kwanza hakuna hiyo kozi hapo Ardhi University [emoji16]
nimeshamlima BLOCK, akaombe maprofesa huko huko chuoFrom what i know about women, mara nyingi ndani ya dakika 3 za kuongea na wewe lazima unakuta ashajua kabisa wewe ni mwanaume wa aina gani na lengo lako ni nini.
So, kama ndani ya 24hrs ashakupiga mzinga mrefu hivyo, just know pale ulipoongea nae mpaka ukaomba namba, alishajua waziwazi kua ile sehem kwenye kichwa chako ambapo ubongo ulitakiwa ukae, imekaa mbegu ya parachichi.!
Acha makasiriko mkuu, pambana tafuta hela na uwe na sera zinazovutia,. Ukifika hapo wala hutahangaika kula tunda kimasihara
[emoji57]Si anakuona we pimbi tu mkulima wa magimbi kutoka kijijini sigimbi, unategemea akufanyeje sasa
Ardhi University wana kozi inaitwa "Bachelor of Architecture" sio "BSc Architecture", professionally hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa, mtu aliyesoma BSc. Architecture hawezi kuwa registered na kuitwa Architect. Kama mwanafunzi ameshindwa hata kujielezea anasoma kozi ipi kiufasihi tayari inaleta utata, naelewa jinsi wanavyokuwa busy na Studio na sheria zao ngumu "ukifeli semester 1 basi semester 2 husomi Studio na kwa kuwa hujasoma semester 2 basi mwaka ujao husomi ya semester 1", mwanafunzi anaweza kujikuta hajui amecarry studio ipi na asome ipi halafu mwisho wa siku wanakula kichwa. Wapo kina dada wengi tu wanajifanya wanasomea program fulani kumbe ni kujiongezea pointi tu mezani.Mkuu hio Cozi Ardhi ipo kabisa na ndo cozi yenye watu wako busy 24/7. Sasa huyo cijui alipata mda wapi au walikutana kipindi cha likizo
Mdogo wangu hiyo ni mbinu ya kuwakimbiza wanaume tusiowapenda. Yaani ulishaachwa kabla hujamblocknimeshamlima BLOCK, akaombe maprofesa huko huko chuo
Mie nashangaa sana kama unauza mbususu sii useme tuu bwana mbususu bao kadha elfu kadhaa sio mmbonya sijui nadaiwa mara simu basi tabu tupuUnakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Kesho yake mchana akitoa mbunye atasifiwa sanaHebu wape mtiririko wa vile mambo yanatakiwa kwenda
Enhe,ukichukua namba kesho yake mchana afanyaje?
Mbinu tu hizo jamani ,wanaume tunaowapenda hatuwafanyii hivi..huyo dada hana mpango na jamaa, naamini kabisa ni mbinu ya kumfukuzaMie nashangaa sana kama unauza mbususu sii useme tuu bwana mbususu bao kadha elfu kadhaa sio mmbonya sijui nadaiwa mara simu basi tabu tupu
Ama kweli hamna maana nyie viumbe. Sii ukatae tuu kutoa namba kama humtaki jamaa why mnawapa vijana false hope?Mdogo wangu hiyo ni mbinu ya kuwakimbiza wanaume tusiowapenda. Yaani ulishaachwa kabla hujamblock
Ujinga tuu...mwanmke mwenye utu anakataa tuu mapema ata namba hatoiMbinu tu hizo jamani ,wanaume tunaowapenda hatuwafanyii hivi..huyo dada hana mpango na jamaa, naamini kabisa ni mbinu ya kumfukuza
Nyie ving'ang'anizi namba mnapewa na kesho yake unaombwa kodi ya nyumba lazima ukimbie.Ama kweli hamna maana nyie viumbe. Sii ukatae tuu kutoa namba kama humtaki jamaa why mnawapa vijana false hope?
Utu gani mmekutana bar huko wote vicheche tu. Na wewe nia yako si ni mbunye tu au nini zaidi unataka kutoka kwa mwanamke mliyekutana bar?Ujinga tuu...mwanmke mwenye utu anakataa tuu mapema ata namba hatoi
Point ya gu ni kwamba mwanamke anayejitambua kamwe hawezi kufanya huo ujinga. Kama hampendi jamaa ata namba ya simu hatoi.Nyie ving'ang'anizi namba mnapewa na kesho yake unaombwa kodi ya nyumba lazima ukimbie.
Mwanaume unayempenda huwezi mfanyia hivi maana unajua kabisa atakimbia so unatest zali...either umpe hiyo hela ili aendelee kukuchuna au usepe.
Kwani mwanamke wa bar pekee ndio anaombwa mbunye....ata wa jf pia tunawaomba mbunye au wee hujaombwa mbunye humu ndani na magreat thinker?Utu gani mmekutana bar huko wote vicheche tu. Na wewe nia yako si ni mbunye tu au nini zaidi unataka kutoka kwa mwanamke mliyekutana bar?
Sasa si unampiga sound tu kuwa kuna pesa unategemea muda wowote ule,huku ukiendelea kula Mzigo Kama kawa! Mabaharia muda mwingine mnaniangushaga, Mademu wanapenda sound kuliko kuwaambia ukweli!!Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Hatujui mazingira waliyopeana namba ukute walikuwa pombe mbaya, mambo ya bar si unayajua?Point ya gu ni kwamba mwanamke anayejitambua kamwe hawezi kufanya huo ujinga. Kama hampendi jamaa ata namba ya simu hatoi.
Ebu wee tumikisha mayele yako kweli mwanaume humpendi namba yako unampa ya nini? Mie demu ng'ong'ozo akiniomba namba yangu namkwepa kama ukoma
Na wewe unatakaje mbunye bure jamani? Wote hao wamefanana kitabia...dada mdangaji , kaka kiwembe asiyekuwa na helaKwani mwanamke wa bar pekee ndio anaombwa mbunye....ata wa jf pia tunawaomba mbunye au wee hujaombwa mbunye humu ndani na magreat thinker?
Kama mbunnye watoa kwa hela sii useme tuu bwana ukitaka kuipelekea moto mbusus nipe laki zangu mbili
Sasa kwani mwanamke unataka uombwe nini kama sio mbususu?Hatujui mazingira waliyopeana namba ukute walikuwa pombe mbaya, mambo ya bar si unayajua?
Tumuulize mtoa mada nia ya kuomba namba ni kwamba aliona dada ni wife material au alimtamani tu. Naamini angechelewa kidogo tu kuombwa hela yeye alishapanga kumuomba uchi. Aje akane hapa
Hakuna mbususu ya bure. Ila mihangaiko yote ya ni i wewe sema mapema tuu bwana mbususu yangu million basi. Mambo ya simu sijui kodi hayatuhusu. Kinachotuhisu sisi ni mbususu na bei yake....wacha badoo na tinder ziedelee kuwepo. Watu strait to the pointNa wewe unatakaje mbunye bure jamani? Wote hao wamefanana kitabia...dada mdangaji , kaka kiwembe asiyekuwa na hela