Udangaji kwa wanachuo umezidi

Udangaji kwa wanachuo umezidi

Heeeee ndio umekuja kusema huku mbele ya watu
Embu njoo piemuni tumalizane na wewe
Usije mikono mikavu lakini
Nimekuelezea tu, hata kama unajijua mzuri sawa, punguza na kuringa... Hehehe...

Nakuja na movies...
Ila ulipendeza mwenyewe...
 
😆😆😆😆😆nimecheka kwa nguvu
Utakua umetumwa wew sio bure
Uje na zawadi uache maneno maneno
Kheeeee
Haki ulipendeza mwenyewe...

Leo mambo yako nimekuachia mwenyewe...

Next time nakubeba juu juu...
Zawadi zipo za kumwaga...
 
Usiniachie mambo yangu mwenywe bana
Sitayaweza naomba nikupe na wew kidogo
Jumapili fanya kweli bas
Naandaa nguo hapa
Unaanda kipensi na kitopu kama upo mamtoni vile alafu huna habari...

Maua na vinginevyo...
Kwarezma hii lakini... Dada ata mind...
 
Unaanda kipensi na kitopu kama upo mamtoni vile alafu huna habari...

Maua na vinginevyo...
Kwarezma hii lakini... Dada ata mind...
Kipensi jaman hapana najua hutaniacha salama😆😆😆unikome

Wewe fanya kweli jumapili
Dada tutamuelewesha tu hilo usijali
 
Back
Top Bottom