Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kweli hajabuNa ni wanafunzi wa chuo Kikuu hapa Tanzania, hajabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli hajabuNa ni wanafunzi wa chuo Kikuu hapa Tanzania, hajabu sana.
😂😂😂😂😂 Course ya GPA !wale wa ustawi ambao ukiwauliza walikuwa wanasema wanasoma course ya GPA bado wapo? kumbe wazaramo tu wametoka zao ambianse hapo wanajipanga mstari wakijifanya wanachuo. mtakufa kwa ngoma hadi mkome.
kufa sio shida, cha muhimu ni ukifa unaenda wapi, motoni au uzimani. basi. hilo ndo la muhimu.SwaLa la kufa lipo tu unaweza ukawa mtakatifu ukawahi kufa kabla hata ya mzinzi
Naona panakufaa huku ndio maanaDah kwenye thread ya wadangaji... Hahaha
Heeeee ndio umekuja kusema huku mbele ya watuIla uache kuringa...
Nimekuona mahali leo nikakupigia honi kama zote rafiki yako wa kike wa kiarabu aligeuka lakini wewe hata kugeuza shingo...
Miss you too Darlin
Nimekuelezea tu, hata kama unajijua mzuri sawa, punguza na kuringa... Hehehe...Heeeee ndio umekuja kusema huku mbele ya watu
Embu njoo piemuni tumalizane na wewe
Usije mikono mikavu lakini
😆😆😆😆😆nimecheka kwa nguvuNimekuelezea tu, hata kama unajijua mzuri sawa, punguza na kuringa... Hehehe...
Nakuja na movies...
Ila ulipendeza mwenyewe...
Haki ulipendeza mwenyewe...😆😆😆😆😆nimecheka kwa nguvu
Utakua umetumwa wew sio bure
Uje na zawadi uache maneno maneno
Kheeeee
Usiniachie mambo yangu mwenywe banaHaki ulipendeza mwenyewe...
Leo mambo yake nimekuachia mwenyewe...
Next time nakubeba juu juu...
Zawadi zipo za kumwaga...
Unaanda kipensi na kitopu kama upo mamtoni vile alafu huna habari...Usiniachie mambo yangu mwenywe bana
Sitayaweza naomba nikupe na wew kidogo
Jumapili fanya kweli bas
Naandaa nguo hapa
Kipensi jaman hapana najua hutaniacha salama😆😆😆unikomeUnaanda kipensi na kitopu kama upo mamtoni vile alafu huna habari...
Maua na vinginevyo...
Kwarezma hii lakini... Dada ata mind...
Kesho yake akitoa mbunye anaonekana cheapKesho yake mchana akitoa mbunye atasifiwa sana
Dah sasa anatakiwa afanyejeKesho yake akitoa mbunye anaonekana cheap
Ndio nilimuuliza mleta mada atoe muongozoDah sasa anatakiwa afanyeje