Udanganyifu NHIF, Ndugu Waoana Wapate Kadi ya Bima

Hata majina yakifanana kwa 100% kwenye NIDA hiyo haiwezi kuzuia watu 'kuoana' na kupata cheti cha ndoa.
NHIF wao wanataka uambatanishe cheti cha ndoa tu, na hawawajibi kujua nyinyi wahusika mlioana katika misingi ipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…