Udanganyifu NHIF, Ndugu Waoana Wapate Kadi ya Bima

Udanganyifu NHIF, Ndugu Waoana Wapate Kadi ya Bima

Ni kweli kabisa utaratibu wa watu wa bima kupanga lazima umuweke mzazi wako ni wa kipuuzi kwa sababu kuna watumishi wengi hawajawahi kuwaona hao wazazi bali wamelewa na kusomeshwa na watu baki .Mfano wajomba shangazi au mama wakubwa au wadogo.Mara nafasi za wategemezi lazima awe mke wa ndoa mpaka uweke cheti hivi hawa mbwa hawajui kuna ndoa za kimila nazo ni halali ?Na watoto lazima uwe umewazaa mtumishi mwenyewe kama huna kizazi nafasi zinabaki huku unaendelea kukatwa mshahara wako.Ifike mahali sheria ibadilishwe Mwenye mshahara aweke watu anaotaka wanufaike kisheria pasipo kupangiwa na hao watu wa bima lasivyo kujiunga na bima ya afya kwa mtumishi iwe ni hiari.
Unaongea sababu ni mzima wa afya.
Ukiugua ndiyo utajua umuhimu wa bima
 
Na Bado watu watafoji sana maana wanawalazimisha nani aingie kwenye bima badala ya mtu kuachiwa amue nani anamuweka
Sasa utafoji vp wakati RITA, NIDA wanahusika?
Au hujui Family Tree inaanza tengenezwa ?
 
Huyo jamaa wa NHIF bado hajaeleweka vizuri.

Usajili wa bima ya mke unahitaji cheti cha ndoa, cheti cha kuzaliwa na namba ya NIDA. Sasa kama ni dada wa baba mmoja itagoma kwa sababu majina yatafanana, labda kama ni dada ndugu si wa damu.

Kile cheti cha kuzaliwa kinakuwa na majina ya baba na mama!
Hiyo ni kwa sasa, zamani haikuwa hivyo maana NIDA haikuwepo
 
Kwenye cheti cha ndoa NIDA haihusiki

Kwenye NHIF Principal pekee ndiye NIDA jnahitajika tena hii ni kwa waajiriwa wapya, wa zamani NIDA haikuwepo
kama unadanganya jina kwenye cheti cha ndoa mbona sasa unajisumbua maana kinachomatter ni jina la namba ya NIDA... wewe ukimuoaa mtoto wa mama mdogo wako NHIF watahitaji namba yake ya nida hata kama cheti cha ndoa mkidanganya means kiendane na nida huwezi pishanisha jina la nida na cheti cha ndoa.
 
Sio lazima, kuna mikoa mingi ambapo majina ya wazazi hayaendani na watoto na hili ni janga. Hasa mikoa ya kanda ziwa mfano Kagera!
Na hilo ndilo kosa ambalo watu hulifanya.

Kwa kawaida yatakiwa jina la mzazi liwe la kati, kisha la Mwanzilishi wa familia
 
Magufuli ndo aliondoa hyo fursa ya watu kuwaeka ndugu zao
Msitoe shutuma bila uthibitisho.

Lengo hilo lilikuwa la NHIF maana mfuko ulikuwa waelekea pabaya,
Na ndio maana wakaanzisha na ulazima kwa wamafunzi wote wa vyuo kujiunga
 
kama unadanganya jina kwenye cheti cha ndoa mbona sasa unajisumbua maana kinachomatter ni jina la namba ya NIDA... wewe ukimuoaa mtoto wa mama mdogo wako NHIF watahitaji namba yake ya nida hata kama cheti cha ndoa mkidanganya means kiendane na nida huwezi pishanisha jina la nida na cheti cha ndoa.
Nimesema kuwa hayo yalitokea zamani kabla ya NIDA na ndo maana kwenye gazeti aliyesema ni Shehe ma sio NHIF
 
Huna akili na huelewi chochote
Baba yako ndio hana akili kwa kuzaa mtoto shoga kama wewe, ni Heri angepiga punyeto tu au kutumia condom angeikowa dunia kujazwa na jitu jinga kama wewe.
 
Baba yako ndio hana akili kwa kuzaa mtoto shoga kama wewe, ni Heri angepiga punyeto tu au kutumia condom angeikowa dunia kujazwa na jitu jinga kama wewe.
Baba yako mwenyewe ni shoga

Hata hao watoto wako nao ni mashoga.
 
Back
Top Bottom