JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Hii Case nimeizoea kukutana nayo wa watu na huwa naichukulia kawaida ila leo nimeshangaa kuikuta kwenye moja wapo ya Showroom hapa Dar.
Kikawaida gari nyingi tukitaka kuangalia mwaka ambao gari hiyo imetengenezwa huwa tunaangalia lebo iliyopo kwenye mkanda (yaani seat belt).
Lakini it seems kumekuwa na mchezo wa gari kuwekwa mikanda ya gari ambayo ni ya generation moja ila miaka tofauti.
Mfano Toyota Premio generation ya kwanza zimeanzia 2001 mpaka 2007. Hivyo inaweza ikatolewa mikanda ya premio ya 2006 ikafungwa kwenye premio ya mwaka 2002.
Hapo utaambiwa hiyo gari ni ya mwaka 2006 halafu utapigwa hela. Kwa kulipa bei ya gari ya 2006 wakati ni gari ya 2002.
Bahati mbaya sana sikuipiga picha lebo ya mkanda wa hiyo gari. Ila wakati napima report ilikuja kwamba ni gari ya mwaka 2001 hivyo sikuwa na sababu ya kuangalia mkanda.
Tulikubaliana bei na mtu wa sales Fresh ila shida ikaja kujitokeza alipokuja Boss na akaclaim kwamba hiyo ni gari ya 2004. Na bei akapandisha for almost 1.5m zaidi.
Hapo tukawa tumeshindwana.
Kitu ambacho nimekizoea mara nyingi, mwaka uliondikwa kwenye mkanda huwa unapishana kwa mwaka mmoja tu na mwaka ambao unakuja kwenye Diagnostic report. Hiki ndio kitu ambacho ninakifahamu.
Ila miaka ikishakuwa mingi hapo kuna walakini. Na sielewi kama hii michezo inachezwa hapahapa mjini au huko gari zinakotoka.
Hapo sijagusia suala la Km, Maana Km nilizozikuta mpaka nimeona aibu.
Anyway ukiwa unanunua gari jitahidi kurukaruka na Chasis number ya gari hata mtandaoni labda unaweza kupata taarifa mbili tatu za hiyo gari.
Unaweza pia kusoma 👇🏾👇🏾👇🏾
Thread 'Car diagnostic solutions' Car diagnostic solutions
Alamsiki
Kikawaida gari nyingi tukitaka kuangalia mwaka ambao gari hiyo imetengenezwa huwa tunaangalia lebo iliyopo kwenye mkanda (yaani seat belt).
Lakini it seems kumekuwa na mchezo wa gari kuwekwa mikanda ya gari ambayo ni ya generation moja ila miaka tofauti.
Mfano Toyota Premio generation ya kwanza zimeanzia 2001 mpaka 2007. Hivyo inaweza ikatolewa mikanda ya premio ya 2006 ikafungwa kwenye premio ya mwaka 2002.
Hapo utaambiwa hiyo gari ni ya mwaka 2006 halafu utapigwa hela. Kwa kulipa bei ya gari ya 2006 wakati ni gari ya 2002.
Bahati mbaya sana sikuipiga picha lebo ya mkanda wa hiyo gari. Ila wakati napima report ilikuja kwamba ni gari ya mwaka 2001 hivyo sikuwa na sababu ya kuangalia mkanda.
Tulikubaliana bei na mtu wa sales Fresh ila shida ikaja kujitokeza alipokuja Boss na akaclaim kwamba hiyo ni gari ya 2004. Na bei akapandisha for almost 1.5m zaidi.
Hapo tukawa tumeshindwana.
Kitu ambacho nimekizoea mara nyingi, mwaka uliondikwa kwenye mkanda huwa unapishana kwa mwaka mmoja tu na mwaka ambao unakuja kwenye Diagnostic report. Hiki ndio kitu ambacho ninakifahamu.
Ila miaka ikishakuwa mingi hapo kuna walakini. Na sielewi kama hii michezo inachezwa hapahapa mjini au huko gari zinakotoka.
Hapo sijagusia suala la Km, Maana Km nilizozikuta mpaka nimeona aibu.
Anyway ukiwa unanunua gari jitahidi kurukaruka na Chasis number ya gari hata mtandaoni labda unaweza kupata taarifa mbili tatu za hiyo gari.
Unaweza pia kusoma 👇🏾👇🏾👇🏾
Thread 'Car diagnostic solutions' Car diagnostic solutions
Alamsiki