UDART kama mna nia ya kutoa huduma toeni hizi nauli ni upokaji

UDART kama mna nia ya kutoa huduma toeni hizi nauli ni upokaji

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
Unavailable wazungu si ndio badi kuweni na utu. Jambo moja msilolijua nchi za mabepali, wanatufanyia ubepali wageni. Lkn kwa raia wao wanafanya welfare huduma kwa wananchi. Istoshe hata sie wageni tunapoingia mataifa haya tunaona.

Tiketi ya mkato mmoja itumike kwa masaa kwann nikate kila mara??

Kwa mfano nimetoka posta hadi mbezi nakata tena, kimara mbez nakata tena, mbezi kibaha nakata tena hell no. Huu sio utu. Haipe dez ni upokaji wa fedha za raia
 
hapana hiyo itakuwa sio biashara.

la sivyo kuwe na bei ya promotion,kwamba ukilipa elfu 5 utafanya safari 10.badala ya kulipa 6500 kwa safari 10 bei ya kawaida.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Huo utaratibu unatumika nch gani?
 
Back
Top Bottom