Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Nimekumiss we mremboKwa hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumiss we mremboKwa hiyo?
Nimekumiss pia dear, hujambo?Nimekumiss we mrembo
ndiyo upendo wenyewe..Ana wivu wa kijinga ah. Ila ntavumilia
Jambo sana mama[emoji7]Nimekumiss pia dear, hujambo?
Ndo mana nkasema navumilia mana kupata perfect hakunandiyo upendo wenyewe..
Ni bora uvumilie maana ukiachana naye kupata wa kufanana naye ni ishu mno.Ndo mana nkasema navumilia mana kupata perfect hakuna
Huyo ni kikojozi usinidanganyeAnasquirt Sana,
Mechi ikikolea Sana kitanda kinageuka stendi kuu ya mwendo Kasi msimu wa masika pale jangwani.
Kila mwaka nna bajeti ya godoro jipya,
Kipind tunapanga na hatuna mtoto ilkua tabu Sana kuanika godoro.
Nowdays tuko kwetu, tuna watoto na godoro tunaanika nje Kama kawaida na Hakuna wa kutuuliza
Hotel/lodge,
Tukiwa vacation au Mechi za dharura sn inabd tupige tumesimama, na sio kitandani.
Kwenye gar,
Ilnibidi nishone seatcover za leather.
(Kuna sikU gari ililowa wkt tunaagana nikaifunga na nkasafir bila KUiSAFISHA, nlivorud harufu kali nlokuta niliizira gari mwezi mzima)
Bedroom,
Ilinibidi kununua sofa maalum la leather kuhimili starehe yake.
Sema Nini[emoji2]
Mwanamke anaesquirt Ni Raha Sana wazee [emoji39]
Ule umoto Moto wakati bao linatoka, unahamasisha Sana.
Hasa akiwa analia uku miguu na joint ZOTE zikivibrate[emoji39]
Basi tutahamia yangaUdhaifu mkubwa sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi tutahamia yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatuwataki mamluki.
He can't do sex kabisa amepata sukari tukiwa kwenye mahusiano but nimeamua kuwa nae Kama jinsi alivyo ,Ana vitu vingi Sana ninavopenda toka kwake zaidi ya sexNi kweli hakuna aliekamilika, kwa upande wa kitabia wapo wenye hasira za karibu, kuongea sana, wavivu, na mengine mengi.
Wa kwangu ana tabia ya kudanganya, nampenda ila naona ntashindwa kulivumilia.
Kwa upande wenu, ni udhaifu gani wa mwenza wako umeamua kuvumilia?
Je mimi nitakua nakosea nikimuacha huyu cha uongo?
Wacha niku-add kwenye list ya maombi asubuhi,Mungu akutie nguvu katika hilo mkuu...He can't do sex kabisa amepata sukari tukiwa kwenye mahusiano but nimeamua kuwa nae Kama jinsi alivyo ,Ana vitu vingi Sana ninavopenda toka kwake zaidi ya sex
Mke anatakiwa awe shabiki wa timu ambayo mumewe anashabikia, sasa ikiwa tofauti hapo inahitaji uvumilivu sanaNitafanyaje sasa[emoji2297][emoji2297][emoji2297]