Udhaifu huu wa Ali Kiba unamfanya Diamond ang'are

Acha ujinga wewe nyie ndio mnapoteza huyo msanii wa kariakoo mpaka anajiona mkubwa kuliko wizkid
 
usifosi wafanane hapo alikiba kashagota hapandi juu tena labda apande ndege ndio afike juu
 
Msimponde mfalme jamani!!
wakati mnampond diamond anapita nyuma yake..
" HAILETI PICHA NZURI"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ujinga wewe nyie ndio mnapoteza huyo msanii wa kariakoo mpaka anajiona mkubwa kuliko wizkid
Ata mm nimeshangaa sasa.....utamlinganishaje mtu anaefanya show karibia tatu kila mwezi na mtu anaefanya show moja baada ya miezi miwili achen ujinga bhana
 
kwani hili jukwaa lilianzishwa kwa waliohama nyumbani kwa wazazi wao au waliofanikiwa tu?
samahani nimeuliza tu
 
safi sana kiba, piga kazi mtaani wanyooke
 
nakuona team Kiba unatoka povu,
 
vanessa Mdee
 
Kitu hasa kinacho mfanya Kiba kutokufanya media tour ni kwamba Lugha haipandi, na njia pekee ni kukubali ukweli huo na kuanza kuhudhuria course ya Kiingereza pale British Counsel. Mziki na network ni mawasiliano. Kama mawasiliano ni duni basi ajue kua hata fika mbali.
 
Tatizo la kibalaza nikua anasubilia fiesta hadi fiesta tu.
Pesa aliyopata kiba shows mbili za kenya Plus MTV ukoo wenu wote amjaingiza mwaka wote 2016 na mwaka ndio unaisha hivyo
 
Umesema wote ni lulu hasa katika kuitangaza nchi kimataifa......Halafu unakuja tena kumponda kiba na visababu uchwara....kumbuka kila mtu amepita njia yake kufikia huo ululu..mwingine kwa kolabo mwingine bila kolabo..na maisha yanaenda
 
Mtoa post anakubaki afu anakataa,unasema wanawakilsha wote kimataifa halafu unarudi kinafiki sijui imeenda imerudi ,ukiona mtu anazngumziwa hivo ujue huyo ana nafas ,mbona hukumtaj Shetta umemtaj Kiba,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…