Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

nimejitahidi kusoma mara mbilimbili lakini wapi, sijaelewa.
 
nimejitahidi kusoma mara mbilimbili lakini wapi, sijaelewa.
Mkuu inahitaji umakini kidogo.

Alafu pia kama sio muislamu kuna vitu unaweza usielewe kiurahisi mpaka ufafanuliwe zaidi.

Ndio maana hili andiko watu wengi hawajalielewa...
 
Watu Wame funga kwa resma hakuna kelele laakin Ramadhan mambo meng Sana kwann?
 
Waislam mnapaswa kujitafakari na hii mifungo yenu, mwaka huu hizi sikukuu za mifungo ya Ramadhan imenikuta Tanga, hapa unakuta watu wengi wamefunga ajabu wanakuwa na hasira sana, wamekata tamaa na wala hawana nuru usoni mwao, kama wamelazimishwa. Mfungo unapaswa kuwa kiroho, sio ufunge alafu ukiulizwa swali hata kama upo kweny biashara basi ujibu hovyo, au ukiona chakula basi umkasirikie aliye na chakula. Acheni kupumbazwa na hizi dini za waarabu
 
Waislam mnapaswa kujitafakari na hii mifungo yenu, mwaka huu hizi sikukuu za mifungo ya Ramadhan imenikuta Tanga, hapa unakuta watu wengi wamefunga ajabu wanakuwa na hasira sana, wamekata tamaa na wala hawana nuru usoni mwao, kama wamelazimishwa. Mfungo unapaswa kuwa kiroho, sio ufunge alafu ukiulizwa swali hata kama upo kweny biashara basi ujibu hovyo, au ukiona chakula basi umkasirikie aliye na chakula. Acheni kupumbazwa na hizi dini za waarabu
[emoji23][emoji23][emoji23] hasira Tena?
 
Back
Top Bottom