Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Wewe unajua maana ya kufunga??Unafunga like unachokipenda,maji unakunywa,ndiyo umefunga nini!!?...na Nani kafunga akamwambia anatamani au anajionesha!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua maana ya kufunga??Unafunga like unachokipenda,maji unakunywa,ndiyo umefunga nini!!?...na Nani kafunga akamwambia anatamani au anajionesha!?
Wanakuwambia ndugu wa Muislam ni muislam tu.Kibongo bongo
Uislamu ni Dini inayoshurutisha sijapata kuona yaani kila kitu nguvu tu
Yaani ukitaka mke wa kiislamu,we jifanye tu umebadili Dini Basi ni wepesi mno kukubali,
Na vile walilegezewa masharti kwa kula kitu Cha kafiri hakuna taabu ,ni Kama wanafuturu vyakula vyetu tu *****
Dini ambayo ukiitwa jina la kiaarabu tu Basi we muisilamu.
Halafu Wana tabia moja, pale mtu atakapo fanya Jambo nzuri iwe msaada fulani,utasikia
Yule jamaa ni muisilam sana,kana kwamba watu wa side nyingine wana roho mbaya ajabu na pengine kasaidiwa na mgalatia
Wanaongozwa kukaririshwa vitu vingi,e.g mtu akijua tu kusoma na kutafsiri Quran, Basi wanamuona Nani sijui
Kumbe ni lugha tu masikini.
Dini iliyojikita zaidi kwenye mahitaji ya kimwili kuliko kiroho.
Cha ajabu waumini wenyewe wanaongoza kula mchana Nina ushahidi kwa 80%ulipinga tafiti, fanya tafiti zaidi ya miaka mitano
Hebu fikiria,
Mtu anafunga lakini kutwa ananuna Haina mfano ,kistaarabu mtu unatoka zako kwenda kupata lunch ,Basi akigundua sura inabadilika Kama nini
Msibishe tunao humu maofisini.
Poleni sana,
Anyway tunawatakia mfungo mwema
Kwa Taarifa yako mie ni mzenj na idadi yetu hatuzidi 1.5M na ratio kati ya dar na sisi ni 1:8. Nimepata kufanikiwa baada ya kuishi Bara na kiuhalisia zaidi ya watu wetu ni masikini Sana na wengi wetu tunategemea ndugu ambao wanafanya kazi Ulaya pia Oman.Ushawahi kwenda zanzibar au unasikiliza story za vijiweni sasa zanzibar unafananisha na huku kule mtu wa kawaida kuwa na gari washazoea kiufupi vitu bei chee na wangekuwa mbali zaidi kama wangejitenga wakabaki wenyewe kula hakuna mambo yenu ya vitu kupanda bei wala hakuna mafisadi yanayokula hela za wananchi huku yanachekelea.
Kwa nini hakukuwa na waislamu ambao walikidhi vigezo badala yake akachaguliwa huyo ?Alichaguliwa kwasababu alikidhi vigezo vilivyokuwa vinatakiwa kwa wakati ule sasa mzungu wa kipindi hicho ampe uongozi muislamu atamuendesha vipi waislam walikuwa matajiri toka zamani na mpaka leo matajiri wakubwa nchini ni waislamu hao waendelee kuhudhuria ndoa za jinsia moja kanisani na kuoa mke mmoja mpaka unakufa maana ndo ujanja waliobaki nao kiufupi wakristo waliigeuza nchi ya kwao ngoja siku waingie anga zetu kwenye mitihani walikuwa wanakata jina la mwamedi wanaweka Johnson na Jacob sema waislam tumetoka mbali pongezi kwa kigoma malima kwa kutupigania vijana wake sasa kuna waislam wasomi.
Kigezo cha dini kilikuwa tatizo ndo tukampa yule jamaa wa butiama akaja akatugeuka.Kwa nini hakukuwa na waislamu ambao walikidhi vigezo badala yake akachaguliwa huyo ?
Kwa hyo kujua idadi ya wazenji na wazanzibar kutoka zanzibar kuja bara ndo sababu ya ww kutaka kuonekana mzanzibar kiufupi ww ni Joseph usinichanganye hapa kwani hakuna wa bara waliokwenda zanzibar kutafuta maisha.Kwa Taarifa yako mie ni mzenj na idadi yetu hatuzidi 1.5M na ratio kati ya dar na sisi ni 1:8. Nimepata kufanikiwa baada ya kuishi Bara na kiuhalisia zaidi ya watu wetu ni masikini Sana na wengi wetu tunategemea ndugu ambao wanafanya kazi Ulaya pia Oman.
U napongelea magari kama kipimo cha maendekeo nakuona huna ilimu juu ya uchumi na maendeleo. U naongelea mafanikio ya mtu mmoja mmoja alie na Gari au Piki Piki unakuja kwa wanaume unatuambia eti hayo ndio mafanikio.
Napoteza muda wangu kukufahamisha usiyoyajua kuhusu kwetu. Bila Bara Hakuna maendeleo kwetu. Huku tunaoa, tunamiliki assets na tunaishi pasipo ubaguzi wowote tofauti na nyumbani znbr. Hujui chochote nyamaza.
Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
Nadhani kuna makafiri wengi zaidi ndani ya uislamu na ndio maana kuna hizi vurugu za kutaka migahawa ifungwe ili kujaribu kuwadhibiti hao watu wasile kipindi hiki. How about this?Hizi nyuzi za namna hii huu mwezi Wa Ramadan ni nyingi sana
Uislamu upo katika vita kubwa sana dhidi ya makafiri
Soma Tena uzi wangu. Una mapepe na mchecheto pasipo kuelewa andiko langu.Kwa hyo kujua idadi ya wazenji na wazanzibar kutoka zanzibar kuja bara ndo sababu ya ww kutaka kuonekana mzanzibar kiufupi ww ni Joseph usinichanganye hapa kwani hakuna wa bara waliokwenda zanzibar kutafuta maisha.
Sisi makafiri ni lazima tuupige vita uislam Africa kwa sababu uislam ni utamaduni wa mwarabu angalia lugha, mavazi na itikadi ni uarabu mtupu sasa hapo mwafrika una nini?Hizi nyuzi za namna hii huu mwezi Wa Ramadan ni nyingi sana
Uislamu upo katika vita kubwa sana dhidi ya makafiri
Jamaa gani aliwageuka. Na je kwani saiv hampo mbali.Bila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.
Du! Sijawahi kuwa Mkristo wala dini yoyoteBila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.
Tena hao hao waliofunga ndo wanazitengenezaMbona ice cream za Azam zinauzwa muda woote!
By the way, wapi huko, pemba, au?
Oooh! Sasa naanza kuelewa umuhimu wa katiba mpya......itabidi mchakato uende harakaSisi makafiri ni lazima tuupige vita uislam Africa kwa sababu uislam ni utamaduni wa mwarabu angalia lugha, mavazi na itikadi ni uarabu mtupu sasa hapo mwafrika una nini?
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Maana ya kufunga kwa muongozo upi!?Wewe unajua maana ya kufunga??