Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

Kibongo bongo

Uislamu ni Dini inayoshurutisha sijapata kuona yaani kila kitu nguvu tu

Yaani ukitaka mke wa kiislamu,we jifanye tu umebadili Dini Basi ni wepesi mno kukubali,

Na vile walilegezewa masharti kwa kula kitu Cha kafiri hakuna taabu ,ni Kama wanafuturu vyakula vyetu tu *****

Dini ambayo ukiitwa jina la kiaarabu tu Basi we muisilamu.

Halafu Wana tabia moja, pale mtu atakapo fanya Jambo nzuri iwe msaada fulani,utasikia

Yule jamaa ni muisilam sana,kana kwamba watu wa side nyingine wana roho mbaya ajabu na pengine kasaidiwa na mgalatia

Wanaongozwa kukaririshwa vitu vingi,e.g mtu akijua tu kusoma na kutafsiri Quran, Basi wanamuona Nani sijui

Kumbe ni lugha tu masikini.

Dini iliyojikita zaidi kwenye mahitaji ya kimwili kuliko kiroho.

Cha ajabu waumini wenyewe wanaongoza kula mchana Nina ushahidi kwa 80%ulipinga tafiti, fanya tafiti zaidi ya miaka mitano

Hebu fikiria,

Mtu anafunga lakini kutwa ananuna Haina mfano ,kistaarabu mtu unatoka zako kwenda kupata lunch ,Basi akigundua sura inabadilika Kama nini

Msibishe tunao humu maofisini.

Poleni sana,

Anyway tunawatakia mfungo mwema
Wanakuwambia ndugu wa Muislam ni muislam tu.
 
Ushawahi kwenda zanzibar au unasikiliza story za vijiweni sasa zanzibar unafananisha na huku kule mtu wa kawaida kuwa na gari washazoea kiufupi vitu bei chee na wangekuwa mbali zaidi kama wangejitenga wakabaki wenyewe kula hakuna mambo yenu ya vitu kupanda bei wala hakuna mafisadi yanayokula hela za wananchi huku yanachekelea.
Kwa Taarifa yako mie ni mzenj na idadi yetu hatuzidi 1.5M na ratio kati ya dar na sisi ni 1:8. Nimepata kufanikiwa baada ya kuishi Bara na kiuhalisia zaidi ya watu wetu ni masikini Sana na wengi wetu tunategemea ndugu ambao wanafanya kazi Ulaya pia Oman.
U napongelea magari kama kipimo cha maendekeo nakuona huna ilimu juu ya uchumi na maendeleo. U naongelea mafanikio ya mtu mmoja mmoja alie na Gari au Piki Piki unakuja kwa wanaume unatuambia eti hayo ndio mafanikio.
Napoteza muda wangu kukufahamisha usiyoyajua kuhusu kwetu. Bila Bara Hakuna maendeleo kwetu. Huku tunaoa, tunamiliki assets na tunaishi pasipo ubaguzi wowote tofauti na nyumbani znbr. Hujui chochote nyamaza.


Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Mwislamu anayejitambua haitaji kuona Migahawa imefungwa ili funga yake itimie.

Chalii yangu Side tulikuwa tunaenda naye mahali sisi tunagonga msosi wetu yeye anatulia zake pembeni. Tukimaliza tunaendelea na Ratiba nyingine bila yeyote kukwazika. Kuna nyakati mpaka yeye ndo anawakumbusha mida ya lunch ikifika ilhali yeye kafunga...
 
Alichaguliwa kwasababu alikidhi vigezo vilivyokuwa vinatakiwa kwa wakati ule sasa mzungu wa kipindi hicho ampe uongozi muislamu atamuendesha vipi waislam walikuwa matajiri toka zamani na mpaka leo matajiri wakubwa nchini ni waislamu hao waendelee kuhudhuria ndoa za jinsia moja kanisani na kuoa mke mmoja mpaka unakufa maana ndo ujanja waliobaki nao kiufupi wakristo waliigeuza nchi ya kwao ngoja siku waingie anga zetu kwenye mitihani walikuwa wanakata jina la mwamedi wanaweka Johnson na Jacob sema waislam tumetoka mbali pongezi kwa kigoma malima kwa kutupigania vijana wake sasa kuna waislam wasomi.
Kwa nini hakukuwa na waislamu ambao walikidhi vigezo badala yake akachaguliwa huyo ?
 
Hivi nyie kumbe ni wapumbavu kiasi hiki!? Yaani imani na matambiko ya Kikuraish ndio yanakuja kukutesa kiasi hiko wewe Mmatumbi!? Hebu toeni hizo kamasi zenu vichwani.
 
Kwa nini hakukuwa na waislamu ambao walikidhi vigezo badala yake akachaguliwa huyo ?
Kigezo cha dini kilikuwa tatizo ndo tukampa yule jamaa wa butiama akaja akatugeuka.
 
Kwa Taarifa yako mie ni mzenj na idadi yetu hatuzidi 1.5M na ratio kati ya dar na sisi ni 1:8. Nimepata kufanikiwa baada ya kuishi Bara na kiuhalisia zaidi ya watu wetu ni masikini Sana na wengi wetu tunategemea ndugu ambao wanafanya kazi Ulaya pia Oman.
U napongelea magari kama kipimo cha maendekeo nakuona huna ilimu juu ya uchumi na maendeleo. U naongelea mafanikio ya mtu mmoja mmoja alie na Gari au Piki Piki unakuja kwa wanaume unatuambia eti hayo ndio mafanikio.
Napoteza muda wangu kukufahamisha usiyoyajua kuhusu kwetu. Bila Bara Hakuna maendeleo kwetu. Huku tunaoa, tunamiliki assets na tunaishi pasipo ubaguzi wowote tofauti na nyumbani znbr. Hujui chochote nyamaza.


Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwa hyo kujua idadi ya wazenji na wazanzibar kutoka zanzibar kuja bara ndo sababu ya ww kutaka kuonekana mzanzibar kiufupi ww ni Joseph usinichanganye hapa kwani hakuna wa bara waliokwenda zanzibar kutafuta maisha.
 
Hizi nyuzi za namna hii huu mwezi Wa Ramadan ni nyingi sana

Uislamu upo katika vita kubwa sana dhidi ya makafiri
Nadhani kuna makafiri wengi zaidi ndani ya uislamu na ndio maana kuna hizi vurugu za kutaka migahawa ifungwe ili kujaribu kuwadhibiti hao watu wasile kipindi hiki. How about this?
 
Kwa hyo kujua idadi ya wazenji na wazanzibar kutoka zanzibar kuja bara ndo sababu ya ww kutaka kuonekana mzanzibar kiufupi ww ni Joseph usinichanganye hapa kwani hakuna wa bara waliokwenda zanzibar kutafuta maisha.
Soma Tena uzi wangu. Una mapepe na mchecheto pasipo kuelewa andiko langu.

Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza Hujitambui
Alafu hii nchi si ya kiarabu/muslim
Ukikua utaacha
 
Hizi nyuzi za namna hii huu mwezi Wa Ramadan ni nyingi sana

Uislamu upo katika vita kubwa sana dhidi ya makafiri
Sisi makafiri ni lazima tuupige vita uislam Africa kwa sababu uislam ni utamaduni wa mwarabu angalia lugha, mavazi na itikadi ni uarabu mtupu sasa hapo mwafrika una nini?

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Bila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.
Jamaa gani aliwageuka. Na je kwani saiv hampo mbali.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Bila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.
Du! Sijawahi kuwa Mkristo wala dini yoyote
 
Hawa jamaa wanapenda kuonekana wao ni spesho sana yaani si tuache kupiga misosi,tusipige gambe kisa nyie mmefunge,nendeni omani kwenye hayo mambo hii nchi haiendeshwi kidini msituchoshe
 
Sisi makafiri ni lazima tuupige vita uislam Africa kwa sababu uislam ni utamaduni wa mwarabu angalia lugha, mavazi na itikadi ni uarabu mtupu sasa hapo mwafrika una nini?

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Oooh! Sasa naanza kuelewa umuhimu wa katiba mpya......itabidi mchakato uende haraka
 
Back
Top Bottom