Udhaifu wa hoja kwamba Hamza alitekeleza mauaji kwa sababu alidhulumiwa na polisi

Udhaifu wa hoja kwamba Hamza alitekeleza mauaji kwa sababu alidhulumiwa na polisi

Mkuu hakuna ushahidi kua hamza alidhulumiwa madini na polisi.

Walioanzisha hii kampeni ni washirika wa hamza ama magaidi wenzake ambao walijaribu ku divert attention kutoka kwa ugaidi wa hamza kwenda polisi, inaitwa blame shifting.

Hii ni kampeni mahausi iliyopangwa na magaidi wenzake na hamza ili kuondoa ama ku divert ile gravity ya ugaidi.

Nakuhakikishia tukio kama la hamza litatokea iwapo polisi hawatawadhibiti hawa wafuasi wa hamza gaidi.

Hamza ni gaidi na ameonekana kwenye clip akisema mwenyewe anampigania allah. Sasa nadhani atakua amezungukwa na mabikra 72 anawapelekea moto tu bila kuchoka kama alivyoahidiwa.
Kama Hamza ni gaidi kwanini hakuua raia wa pale kwenye daladala na waenda kwa miguu ?
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Unapotuletea udhaifu wa hoja pia,utuletee na uimara wa hoja yenyewe,au umesha jipa upande uliouchagua.
 
Kama Hamza ni gaidi kwanini hakuua raia wa pale kwenye daladala na waenda kwa miguu ?
Hii sio hoja. Kutokuua raia hakunfanyi asiwe gaidi. Ama ugaidi ni kuua raia tu ila ukiua raia walioko kwenye uniform sio ugaidi?

Jambo la pili, huyu jamaa amesema mwenyewe anampigania allah, unahitaji nini tena kujua kama hakua gaidi?
 
Hii sio hoja. Kutokuua raia hakunfanyi asiwe gaidi. Ama ugaidi ni kuua raia tu ila ukiua raia walioko kwenye uniform sio ugaidi?

Jambo la pili, huyu jamaa amesema mwenyewe anampigania allah, unahitaji nini tena kujua kama hakua gaidi?
Kwani huyo Allah ana ugomvi na Polisi ndio asaidiwe kupigana nao?
 
Hio ilikuwa ni vita kati ya Hamza na jeshi la polisi... Huwezi kuita Ugaidi huo..

Una hakika kuwa ile video ni kweli na sio kwamba imeeditiwa ? Yaani ni propaganda iliyoletwa na watu wanaomsingizia yeye gaidi !!
Wewe ushahidi kwamba kulikua na majibizano ya risasi kati ya polisi na hamza uliupata wapi?
 
Hujajibu swali langu mkuu !!

Majibizano ya risasi kila mtu ameona... Je, Wewe una ushahidi unaoonesha dhahiri Hamza akiongea hayo maneno ?

Kama unayo tuma hapa tuichambue.
Hamza alikuwa Gaidi kwa viwango vyote.Suala la kudhulumiwa fedha na Polisi ni Janja ya Magaidi wenzake kukwepesha mjadala kwani hakuna mtu hata mmoja aliyethibitisha hilo.
Pili uwezo wake Mkubwa wa kutumia AK-47 wakati hakupitia JKT unatoa ushahidi mwingine wa mafunzo ya siri aliyokuwa nayo.
Wito wangu ni kwa Jeshi la Polisi kuusaka Mtandao wa Hamza na kuutokomeza.
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Cc: chura aka Behaviourist
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.

Wale wafanyabiashara wa mahenge waliokuja kuuza Madini yao dsm na kisha baadae kutekwa na kina Afande bageni na kina zombe kisha wakawaua.
Wale wafanyabiashara walikuwa heavily guarded?
Nakubaliana na nadharia kwamba yule jamaa kuna dhulumati alifanyiwa na Polisi ndio maana akawa anachuki nao.
Na kwataarifa yako Polisi ni watu wazulumati sana Kati ya kila watu 5 kuna mmoja amedhulumiwa au kuonewa na polisi
Shukrani kwa Rais Kikwete kuamua kuunda tume ya kijaji kuchunguza na ukweli ukajulikana. Manake Polisi walishasema eti wale ni majambazi kumbe sio.

Hili jambo Rais Samia aliundie tume ya kijaji ichunguze ukweli ujulikane
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Mbona umekuja na hamaki kubwa wewe ni mzaliwa wa polisi baraksi? Yaani wewe ndiye kiwango cha juu kabisa cha watu wenye akili!
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Hamza alikuwa Gaidi kwa viwango vyote.Suala la kudhulumiwa fedha na Polisi ni Janja ya Magaidi wenzake kukwepesha mjadala kwani hakuna mtu hata mmoja aliyethibitisha hilo.
Pili uwezo wake Mkubwa wa kutumia AK-47 wakati hakupitia JKT unatoa ushahidi mwingine wa mafunzo ya siri aliyokuwa nayo.
Wito wangu ni kwa Jeshi la Polisi kuusaka Mtandao wa Hamza na kuutokomeza.
Waanzie huko kwenye chama chake
 
Hamza alikuwa Gaidi kwa viwango vyote.Suala la kudhulumiwa fedha na Polisi ni Janja ya Magaidi wenzake kukwepesha mjadala kwani hakuna mtu hata mmoja aliyethibitisha hilo.
Hii sio hoja mkuu,, kwani kuna aliyeweza kuthibitisha kwamba ni hapana hakudhulumiwa ?
Pili uwezo wake Mkubwa wa kutumia AK-47 wakati hakupitia JKT unatoa ushahidi mwingine wa mafunzo ya siri aliyokuwa nayo.
Wito wangu ni kwa Jeshi la Polisi kuusaka Mtandao wa Hamza na kuutokomeza.
Una hakika gani kama hakupitia JKT ?
 
Hujajibu swali langu mkuu !!

Majibizano ya risasi kila mtu ameona... Je, Wewe una ushahidi unaoonesha dhahiri Hamza akiongea hayo maneno ?

Kama unayo tuma hapa tuichambue.
 

Attachments

  • 2900983_Maneno_aliyoongea_Hamza_kwa_IGP_Sirro.__600_X_480_.mp4
    3.7 MB
Haya mmeshamuua. Inatosha! Ila mkae mkijua watanzania sio wajinga, wanaona na wanaelewa Kila mnalofanya ni vile tu Kama Bwana samaki, anamengi yakuongea tatizo maji yanayomzunguka!

Upelelezi wa mtu aliyekufa haujachukua siku kumi, upelelezi wa mtu aliyeshonwa risasi za kutosha toka 2017 mpaka leo September 2021 haujakamilika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya na Hamza ameanza kuua askari kwa jina la Allah, na wewe ukae kimya
 
Back
Top Bottom