Udhaifu wa miili ya viongozi wa dini wasio ruhusiwa kuoa je vinahusiana na magonjwa

Udhaifu wa miili ya viongozi wa dini wasio ruhusiwa kuoa je vinahusiana na magonjwa

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Wadau naomba mnijuze, je wadhifa wa mtu unaweza kumfanya achoke mapema na kuanza kujisikia kuumwa sana hadi kufikia kuachia kiti. utakuta kiongozi wa dini haruhusiwi kuoa ila anapofikia umri wa 80 bas anakuwa mgonjwa na magonjwa makubwa ambayo humfanya aachie ngazi kuendelea na majukumu. Sisi huwa tunaumwa hayo magonjwa kutokana na stress labda za maisha au watoto...lakini hawa viongozi wa dini hawana stress Ya maisha na hawana watoto wanao wasumbua
Naomba nijuzww
 
Wadau naomba mnijuze, je wadhifa wa mtu unaweza kumfanya achoke mapema na kuanza kujisikia kuumwa sana hadi kufikia kuachia kiti. utakuta kiongozi wa dini haruhusiwi kuoa ila anapofikia umri wa 80 bas anakuwa mgonjwa na magonjwa makubwa ambayo humfanya aachie ngazi kuendelea na majukumu. Sisi huwa tunaumwa hayo magonjwa kutokana na stress labda za maisha au watoto...lakini hawa viongozi wa dini hawana stress Ya maisha na hawana watoto wanao wasumbua
Naomba nijuzww
Nature must be take it place

Sasa unakataa uhalisia alokuumbia Mungu unajitengenezea maisha uyatakayo
Hlf m nashangaa kma yy ni kiongozi muadilifu kwanini asiruhusiwe kuoa ili tupate uzao wake ambao ni waaminifu in nature?

Ukiangalia apo kwa jicho la kweli utajua tu kuna sehemu katika dini ileeee wamepigwaaaaa

Walichokitafuta wamekipata
 
Wadau naomba mnijuze, je wadhifa wa mtu unaweza kumfanya achoke mapema na kuanza kujisikia kuumwa sana hadi kufikia kuachia kiti. utakuta kiongozi wa dini haruhusiwi kuoa ila anapofikia umri wa 80 bas anakuwa mgonjwa na magonjwa makubwa ambayo humfanya aachie ngazi kuendelea na majukumu. Sisi huwa tunaumwa hayo magonjwa kutokana na stress labda za maisha au watoto...lakini hawa viongozi wa dini hawana stress Ya maisha na hawana watoto wanao wasumbua
Naomba nijuzww

Nadhani unashindwa kuelewa at age of 80 regardless uko position gani defence mwil wako unaanza ku fail taratibu.
Hiyo ni natural kwa wanadamu wote
 
Wadau naomba mnijuze, je wadhifa wa mtu unaweza kumfanya achoke mapema na kuanza kujisikia kuumwa sana hadi kufikia kuachia kiti. utakuta kiongozi wa dini haruhusiwi kuoa ila anapofikia umri wa 80 bas anakuwa mgonjwa na magonjwa makubwa ambayo humfanya aachie ngazi kuendelea na majukumu. Sisi huwa tunaumwa hayo magonjwa kutokana na stress labda za maisha au watoto...lakini hawa viongozi wa dini hawana stress Ya maisha na hawana watoto wanao wasumbua
Naomba nijuzww

Aliyekudanganya wasio na stress hawafi mapema ni nani?

Hivi miaka 80+ unaichukulia poa?

Kila mtu atakufa..... lini, vipi nature itafuata mkondo wake
 
Wao wana stress kuliko wewe uliyeoa, kitendo cha kunyimwa kuoa ni stress, kupita kandokando na wanawake kwa Siri ili usionekane ni stress, humo ndani nao wanafanyiziana mambo ya ajabu!
 
Wadau naomba mnijuze, je wadhifa wa mtu unaweza kumfanya achoke mapema na kuanza kujisikia kuumwa sana hadi kufikia kuachia kiti. utakuta kiongozi wa dini haruhusiwi kuoa ila anapofikia umri wa 80 bas anakuwa mgonjwa na magonjwa makubwa ambayo humfanya aachie ngazi kuendelea na majukumu. Sisi huwa tunaumwa hayo magonjwa kutokana na stress labda za maisha au watoto...lakini hawa viongozi wa dini hawana stress Ya maisha na hawana watoto wanao wasumbua
Naomba nijuzww
Twende taratibu, na uwe honest wewe babu zako wote wawili kuna aliyefikisha umri huo? Na walipofika umri huo walikuwa na hali gani?
 
Hao wanabeba siri nyingi Sana za waumini angalia wanaoenda ungama kwao Ili watue ya moyoni mwao siri ngapi wamebeba.
 
Miaka 80 kwako ni midogo?

Kwanza ni watu wachache Sana wenye Huwezo wa Kutoboa na kufika 80 kwa huku Tz
 
Back
Top Bottom