Udhaifu wa Ripoti ya CAG 2021/2022

Udhaifu wa Ripoti ya CAG 2021/2022

Ripoti ya CAG inaongelea ufisadi na wizi wa mali za umma pamoja na hasara za mashirika kama ATCL au TTCL kwa ujumla wake. Inaonyesha ufisadi umefanyika katika shirika au ofisi fulani tu bila kuonyesha au kupendekeza mtu halisi anayepaswa kuwajibika au kuwajibishwa katika dai husika.

Ripoti zijazo za CAG zikionyesha ufisadi au wizi zitaje kabisa na mtu au watu halisi wanaopaswa kuwajibika. Iseme wazi kama ni mkurugenzi, katibu mkuu, waziri, afisa masuhuli, mwenyekiti wa bodi n.k wanaohusika katika wizi husika.

Isiache uwajibikaji hewani tu bila kuonyesha mhusika wa kubebeshwa kesi husika na kuchukuliwa hatua.
Ww unowasema ccm hivi hao chadomo wakipewa Nchi hawawezi lolote na wizi utazidi maradufu
 
Unatokwa povu bure tu, relax. Wizi au ufisadi wowote lazima uwe na wahusika au watuhumiwa walioiba na waliofanikisha, haiwezi kuwa ofisi nzima au yeyote tu.
CAG bila kupendekeza wahusika wa kuwajibishwa kwa kuhusika moja moja katika wizi au kushindwa kutimiza wajibu haisaidii kitu, zinakuwa kelele tu na mashindano ya kuonyesha nani anazo hasira zaidi.
Ignorant mwingine huyu hapa. Kwani tafsiri ya fictitious receivables ni nini? Umewahi kusikia kuhusu manipulation of financial accounts by overstating assets?! Kama wanafoji madeni hewa kwa nini washindwe madai hewa? Kama ni hewa nani mwenye wajibu wa kuthibitisha kama ni halisi? Kama responsible party wameshindwa kuthibitisha ulitaka CAG asemeje zaidi ya kusema fictitious debtors. Acha porojo broo
 
Kuwataja majina wahusika inaweza kuwa walihusika katika wizi moja kwa moja au walishindwa kuwajibika katika nafasi zao husika hadi wizi husika ukafanyika.
Kama sio part ya ToR yao inabidi iwe huko mbeleni. Wizi ukitokea lazima kuna wahusika mahususi au watu wanaopaswa kuwajibishwa . Ukaguzi lazima uwataje na usema bayana ni kina nani ili mamlaka za uteuzi, TAKUKURU na Polisi waendelee nao.
Wawataje kwa majina? Report? Sidhani kama ni part of ToR yao! Hio nadhani inaenda kwa TAKUKURU na Polisi, Wale sidhani kama Wana investigate.

Sometimes wanachoonyesha ni ile Hali ya watumishi kutokufuata taratibu sahihi za manunuzi
 
Sio lazima awe mtuhumiwa, mfano CAG anafanya ukaguzi na anagundua mhasibu wa taasisi husika sio competent au mkurugenzi ni mtupu kichwani katika mifumo ya pesa na kwa udhaifu huo unachangia wizi lazima awake bayana hilo katika ripoti kwa kuwataja ili kusaidia mamlaka za uteuzi na uajiri.
CAG ametaja alipo kagua akakuta mambo yameenda mrama, kwahivyo sio kazi CAG kufanya upelelezi ili kubaini mtuhumiwa ni nani.
Kwahivyo alipo ishia yeye basi mamlaka inayo fuata itekeleze wajibu wake.
 
Watajwe kwa majina kabisa au ofisi/cheo husika. Ripoti iseme Mkurugenzi Mtendaji, Katibu mkuu au afisa fulani ndio wanawajibika kwa wizi wa kiasi fulani.
Unataka watajwe kwa majina ama??

Sikutegemea kama uzi wako utaandika kiwepesi hivi wakati tittle yake ni heavy namna hiyo.
 
Sio lazima awe mtuhumiwa, mfano CAG anafanya ukaguzi na anagundua mhasibu wa taasisi husika sio competent au mkurugenzi ni mtupu kichwani katika mifumo ya pesa na kwa udhaifu huo unachangia wizi lazima awake bayana hilo katika ripoti kwa kuwataja ili kusaidia mamlaka za uteuzi na uajiri.
Sio lazima amtaje mtu kwasababu muongozo wake wa kazi haujamuelekeza ķufanya hivyo.
Labda sasa tupaze sauti ili bunge lifanye marekebisho ya sheria zinazo muongoza CAG
 
Ripoti ya CAG inaongelea ufisadi na wizi wa mali za umma pamoja na hasara za mashirika kama ATCL au TTCL kwa ujumla wake. Inaonyesha ufisadi umefanyika katika shirika au ofisi fulani tu bila kuonyesha au kupendekeza mtu halisi anayepaswa kuwajibika au kuwajibishwa katika dai husika.

Ripoti zijazo za CAG zikionyesha ufisadi au wizi zitaje kabisa na mtu au watu halisi wanaopaswa kuwajibika. Iseme wazi kama ni mkurugenzi, katibu mkuu, waziri, afisa masuhuli, mwenyekiti wa bodi n.k wanaohusika katika wizi husika.

Isiache uwajibikaji hewani tu bila kuonyesha mhusika wa kubebeshwa kesi husika na kuchukuliwa hatua.
Siyo kazi ya Audit hiyo bali ni ya vyombo vya uchunguzi
 
Auditor hazuiwi kuonyesha mahali pesa zimepotelea, aliyemtuma anaweza kumuelekeza kufanya hivyo pia.
Siyo kazi ya Audit hiyo bali ni ya vyombo vya uchunguzi
 
Unatokwa povu bure tu, relax. Wizi au ufisadi wowote lazima uwe na wahusika au watuhumiwa walioiba na waliofanikisha, haiwezi kuwa ofisi nzima au yeyote tu.
CAG bila kupendekeza wahusika wa kuwajibishwa kwa kuhusika moja moja katika wizi au kushindwa kutimiza wajibu haisaidii kitu, zinakuwa kelele tu na mashindano ya kuonyesha nani anazo hasira zaidi.
Ignorance sio povu, hata wewe ni ignorant mwingine! Suala la CAG kutaja wahusika inategemea anafanya aina gani ya ukaguzi. Kama ni uchinguzi/investigation hapo ni lazima ataje wahusika kwa sababu amethibitisha hio wizi. Ila kama ni ukaguzi wa kawaida utaonyesha viashairia na kuwasilisha ripoti pccb wafanye uchunguzi.

Fahamu kwamba ripoti zilizo public ni general au summary kitu ambacho hazina details including majina. Nenda kasome kitu kinaitwa Management Letter ndio utakuta hayo majina kama alikuwa anafanya uchunguzi.

Kwa hiyo sio kosa lako ila ni ignorance tu..Shida ni ujuaji badala ya kuuliza unajifanya eti lazima, lazima.kwa standards zako au za tasnia?
 
Inawezekana kusiwe na tofauti kama mifumo na taasisi vitakuwa havijaboreshwa.
Ww unowasema ccm hivi hao chadomo wakipewa Nchi hawawezi lolote na wizi utazidi maradufu
 
Ripoti ina makosa mengi Sana
Mfano huwezi sema Taasisi inadai bilioni kadhaa lakini mdaiwa hajulikani .. seriously?
Ukaguzi gani usijue source ya deni?..

Halafu CAG lazima ajifunze kusema waziwazi bilioni zilizoibiwa ni zipi na hasara ni ipi...kuna hasara ambayo Haina wizi na kuna wizi hata kama Taasisi haina hasara .....lazima CAG asaidie serikali kuona wapi kuna "criminal activity" na wapi kuna "uzembe"...
Ss mtu kawaambia kakagua na hajaona source ya deni mnamlaumu? Ukute kuna block figure limepostiwa sehemu halina maelezo mtajuaje?

Kama TTCL ama wakaguliwa wengine wote wanasingiziwa si wajitokeze kukanusha walichoandikiwa kwani kuna anaye wazuia?
Mbona hakuna ambaye huwa anasema kasingiziwa?
 
Ripoti ya CAG haionyeshi viashiria vya wizi bali imethibitisha kabisa wizi kutokea na kiasi cha pesa kilichoibiwa au kupotea. Wewe ndio unabumba vi-theory vyako uchwara hapa visivyo na mbele wala nyuma.
Ignorance sio povu, hata wewe ni ignorant mwingine! Suala la CAG kutaja wahusika inategemea anafanya aina gani ya ukaguzi. Kama ni uchinguzi/investigation hapo ni lazima ataje wahusika kwa sababu amethibitisha hio wizi. Ila kama ni ukaguzi wa kawaida utaonyesha viashairia na kuwasilisha ripoti pccb wafanye uchunguzi.

Fahamu kwamba ripoti zilizo public ni general au summary kitu ambacho hazina details including majina. Nenda kasome kitu kinaitwa Management Letter ndio utakuta hayo majina kama alikuwa anafanya uchunguzi.

Kwa hiyo sio kosa lako ila ni ignorance tu..Shida ni ujuaji badala ya kuuliza unajifanya eti lazima, lazima.kwa standards zako au za tasnia?
 
Unatokwa povu bure tu, relax. Wizi au ufisadi wowote lazima uwe na wahusika au watuhumiwa walioiba na waliofanikisha, haiwezi kuwa ofisi nzima au yeyote tu.
CAG bila kupendekeza wahusika wa kuwajibishwa kwa kuhusika moja moja katika wizi au kushindwa kutimiza wajibu haisaidii kitu, zinakuwa kelele tu na mashindano ya kuonyesha nani anazo hasira zaidi.

Unaelewa lakini maana ya ukaguzi wa mahesabu?

Mfano halmashauri imepata hati chafu, pengine pia imekutwa na upotevu wa pesa ama matumizi ambayo sio sahihi, wewe kwa akili yako hapo ni nani anayepaswa kuwajibika?

Kila unit inakiongozi wake, anything goes wrong anaanziwa yeye.

Sasa wewe ulitaka CAG aanze kukutajia majina kwenye ripoti.

Huo unakuwa tena sio ukaguzi wa hesabu, ni ukaguzi mwingine kbs.
 
Sio lazima awe mtuhumiwa, mfano CAG anafanya ukaguzi na anagundua mhasibu wa taasisi husika sio competent au mkurugenzi ni mtupu kichwani katika mifumo ya pesa na kwa udhaifu huo unachangia wizi lazima awake bayana hilo katika ripoti kwa kuwataja ili kusaidia mamlaka za uteuzi na uajiri.
Nalewa point yako lakini kama ni hivyo itabidi waanze na wale wanaowafanyia Performance Appraisal (sijui serikalini wanaitaje)
 
Ni vigumu mtu kujitokeza katika hizo ofisi kuzungumzia hizo hoja za CAG kwa sababu hakuna watu mahususi waliolengwa na hayo madai katika ripoti ya CAG na wanajua kelele zitapigwa baada ya muda mfupi kutatulia na mambo yataendelea kama kawaida. Kama majina au vyeo vya wahusika vingetajwa ungeona jinsi watu wanatoka mashimoni kama panya waliomwagiwa maji moto.
Ss mtu kawaambia kakagua na hajaona source ya deni mnamlaumu? Ukute kuna block figure limepostiwa sehemu halina maelezo mtajuaje?

Kama TTCL ama wakaguliwa wengine wote wanasingiziwa si wajitokeze kukanusha walichoandikiwa kwani kuna anaye wazuia?
Mbona hakuna ambaye huwa anasema kasingiziwa?
 
Ripoti ya CAG haionyeshi viashiria vya wizi bali imethibitisha kabisa wizi kutokea na kiasi cha pesa kilichoibiwa au kupotea. Wewe ndio unabumba vi-theory vyako uchwara hapa visivyo na mbele wala nyuma.
Itakuwa najadili na mtu asiye na taarifa rasmi. Tafuta ripoti kasome kisha uje tujadili. Nimeogopa uliposema ripoti nzima inazungumzia wizi.
 
Ripoti ina makosa mengi Sana
Mfano huwezi sema Taasisi inadai bilioni kadhaa lakini mdaiwa hajulikani .. seriously?
Ukaguzi gani usijue source ya deni?..

Halafu CAG lazima ajifunze kusema waziwazi bilioni zilizoibiwa ni zipi na hasara ni ipi...kuna hasara ambayo Haina wizi na kuna wizi hata kama Taasisi haina hasara .....lazima CAG asaidie serikali kuona wapi kuna "criminal activity" na wapi kuna "uzembe"...
Kwamba wewe unajua kuliko CAG?
CAG sio Mtu ni Ofisi kubwa yenye watu wengi wanaopitia, kuwauliza wahusika hadi wanakuja andika na kuileta hadharani washafatilia sana.

Swala la TTCL vitabu havifutiki, CAG yeye kafatilia vitabu, kawahoji hili deni litalipwaje, wao wakajibu hawajui wanamdai nani, na ndo maana TTCL wakatoa pendekezo la kufuta 7.5bil kama deni.
 
Back
Top Bottom