KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
TafadhaliSerikali haina issue kwenye hili Yanga waoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TafadhaliSerikali haina issue kwenye hili Yanga waoga.
Wana ka msemo kao wanasema 'Tumpe Muda', wanasahau ya kuwa msingi mbovu huaribu nyumba nzimaSerikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Ndio maana Hayati aliwahi kumuambia kama unataka kuachia ngazi achia, mlango uko waziSSH ni failure from the beginning.
Toa mfano hata mmoja kama sio husdaMbona kuna mambo mengi tu yamewahi ahirishwa hatukusema serikali iliyopita ni dhaifu? Au sasa imegeuka ni hoja ya kumnanga mama?
Sasa Simba si wangepewa Point 3Match imehaitlrisha kwa sababu Yanga wamesusa sio Serikali.
Stay tuned.Sasa Simba si wangepewa Point 3
RubbishHata kurejea kwa uharifu wa vibaka mijini, hasa Dar, si dalili njema. Ni ishara kuna tatizo lakini linaongelewa na kushughulikiwa kisasa (km hotuba)
nikikutulana huna akili huwa unashangaa.Mambo ya Simba na Yanga yanakuaje ya kitaifa?
Umesauhau, imepangwa baada ya watu kufuturuSerikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
watu wanafanya mzaha,lakini ukweli ni kwamba mpaka vibaka na majambazi wana imani na mama[emoji1][emoji1].Hata kurejea kwa uharifu wa vibaka mijini, hasa Dar, si dalili njema. Ni ishara kuna tatizo lakini linaongelewa na kushughulikiwa kisasa (km hotuba)
We huoni hasara waliyopata watu au unaropoka tu.
Wewe unao uhakika alieahirisha mechi sio serikali, bali ni simba na yanga?Mnao uhakika wa hilo ama ni kulaumu tu kwa sababu ya mahaba kwa timu zetu
Yanga ni mashujaa kwa Leo. Ndio walioonesha kwamba kanuni na taratibu ni muhimu kuliko utashi wa mtu mmoja. Big up Yanga, nchi hii kwa miaka 6 imekosa watu wanaothubutu.Sijui nilaumu serikali au nilaumu Yanga. Nitarudi.