Udhalilishaji kwa wanaume mbona haupigiwi kelele?

Udhalilishaji kwa wanaume mbona haupigiwi kelele?

Son of Gamba

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2012
Posts
4,720
Reaction score
6,957
Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.

Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.

Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.

Soma Pia:

Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?

Kwanini tunakuwa na double standards ?

Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
 
TLS na LHRC ni Taasisi Double Standard wapo kama vyama vya siasa kuangalia ruzuku na kucheza mdundo uliopo wakati huo

Hawa ndio wakuongoza mapambano ya haki na sheria lakini wanasikitisha kwa kuwa wana ongozwa na Sisi tusiojua ata hizo sheria

Wasomi, wabobezi, nguli nk lakini unabakia kukumbuka sera ya Mh Rungwe...!
 
Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.

Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.

Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.

Soma Pia:

Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?

Kwanini tunakuwa na double standards ?

Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Wanaume wakiweza kujitambua watasaidia taifa kufika mbali lakini siku hizi wanaume wamegeuka walalamishi kama mademu tu no wonder wanashindwa kusapoti hata hussle za wanaume wenzao wanabaki kusimp na madwmu sababu ya nyege za kipuuzi tu. Mwanaume atafanyiwa ukatili hautasikia dume linasaidia au kupuga kelele wanaume wamegeuka fwminists hili ni tatizo.
 
Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.

Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.

Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.

Soma Pia:

Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?

Kwanini tunakuwa na double standards ?

Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.

Wakibainika sheria itachukua mkondo wake. Huyu hapa alifungwa kwa kumdhalilisha mwanaume
 
Hii issue nahisi imekuwa kubwa

1. Mwanamke ndiye victim dhidi ya wanaume watano

2. Uanajeshi wa waliofanya na aliyewatuma umefanya kuwa interesting issue kwa activists na wanasiasa yaani sehemu ya kuibania jeshi la polisi na serikali. Of course siku zote wakipata hiyo angle huwa hawaiachii

Kuhusu kudhalilisha wanaume ni system iliyokubalika kwa sababu tunaamini mwanaume ameingilia himaya ya mwanaume mwenzake. Na kwa sababu mfumo wa jamii zetu ni wa kulinda manhood. Hivyo huwa tunachukulia kumuadhibu mtu wa hivyo ni sawa kaisa

Mwanamke huwa anahurumiwa kwa concept ya kutongozwa
 
Acheni upotoshaji mbona huyu jamaa alitetewa sana hadi haki ikapatikana? Au nyie ni ndugu wa hao wabakaji?
 
Wanaume tumetekwa sana na mfumo jike unaoendelea sasa hivi hata bila sisi kutambua;
hata mwanamke akikamatwa kaiba hawezi pigwa kama mwanaume. Na cha kushangaza wanaume walioingilia mwanamke huyo asipigwe na kudhalilishwa ndio watampiga mwanaume mwenzie mpaka kumchoma moto. Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom