Udhalilishaji: Video ya PNC akimuomba msamaha Ostaz Juma na Musoma

mweeee yan kaomba msamaha had huruma
Unajua ni upuuzi tu mtu anaependa kuabudiwa namna hii huwa kichwa chake kina tatizo kidogo. Kulikua na haja gani kuchukua video na mapicha , hii kitu iko kwa ajili ya kudhalilishana. Najua kuomba msamaha sio jambo baya lkn ikiwekwa namna hii inakua haikai vizuri..
 
Kwanza huyo ustadh juma boya tu eti kuombwa msamaha mpaka atangazwe kwenye media
 

Its okay,Uo ni mtazamo wako Kijana, maana hata kwenye maelezo yako unajichanganya!
Vizuri, ila Mimi nawewe tu tofauti kimitazamo
 
Its okay,Uo ni mtazamo wako Kijana, maana hata kwenye maelezo yako unajichanganya!
Vizuri, ila Mimi nawewe tu tofauti kimitazamo

Nakiri hapo nimejichanganya, coz nilikuwa fasta fasta, na nilikuwa nahangaika ku summarise.

Ila ninachopinga hapa, ni hoja ya kuona suala la kuomba msamaha ni udhalili....na pia sijafahamu lengo la aliyepachika video hiyo......alifanya stunt au alidhamiria kudhalilisha ?.....

Na kwa vile tofauti na mie, wengi wenu mnaona hiyo video ni udhalili....ndio then nikahoji kuwa sasa bila ya hiyo video mngejua vipi hayo ya kuombana misamaha kwa kupiga magoti ? (jambo ambalo kwa mtazamo wenu ni udhalili) ndio yanayoendelea kati ya wasanii na mameneja wao ?

Nikimaanisha kuwa ni vipi kama kuna wengi ambao tunawaona ni bora kwa kuwa tu wanayoyafanya hatujawahi kuyaona na yanaishia nyuma ya pazia, na yawezekana ni udhalili uliopindukia badala ya kuona tu hili la kuomba msamaha ?
 
Huyo PIENITHI wakati hii video inarekodiwa alijua ama hakujua?Kama alijua na akaendelea kufanya hivyo ni mjinga!Kama hakujua kuwa anarekodiwa anaweza kufungua mashtaka ya kudhalilishwa na kuingiliwa faragha yake!
 
Huyu ngedere Ostaz Juma na Musoma kwa hili anataka Watu wote, haswa Wanaume, wajue kwamba yeye ni "dume la mbegu" aka "Alpha Male" or "Silver Back". Hapo anataka kuonyesha yeye ni dominant male au kidume mbabe, na hii siyo tofauti na Nyani dume au Gorilla dume wanavyofanya msituni. Hii ni ni sawa na unyama, lakini siyo ajabu kwa jamii ya binadamu, sababu binadamu nao essentially ni Wanyama.
 
Halafu wanaume dizaini hii ndiyo huwa wanakufa mapema kwa pressure, na wengi wanaacha utajiri mkubwa, lakini wanaofaidi ni wengine.
 
Andiko please! Sio kuniandikia utumbo mkavu.
Nipa andiko wapi watu waliambiwa wakasijudie mawe huko mecca

Anae sujudia jiwe au sanamu ya mzungu aliovaa nepi wote hao ni watu wa jahanamu ya moto!


Do you mean that for the naked and obvious ones to be true they should be in writing ?
 
Watu wana midomo mibaya sana. Mshikaji kasharost
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…