Mdogo wangu PNC yan pamoj na kukaa dsm miaka zaidi ya sita bado uko mshamb kama vile umetoka mwanza juz kwenda dar???.kwa nn unakubali kuyumbishwa na watu wasiokutaki mema??,kwa nn udhalilishwe tz nzima sabBu y pesa.hujajipNga mpaka leo unMpigia mgoti mwanaume mwenzako/?. Najua wewe ni yatima sawa,na umetoka familia duni kama niliyotoka mimi,lakini sio sababu ya kudharirishwa kiasi kile,kwa kipi hasa alichonacho juma?? Umeshindwa kabisa kujiamini pamoja na kuwa kwenye mziki miaka yote hiyo??,kwan lazima uwe na meneja??kama hukuona faida ya kuwa na meneja miaka yote ulokuwa nae juma hadi ukaamua kuondoka,leo hiii amebadilika n kuwa mtu mwema,.unasaut nzur kijana,kila mtu anajua,nakbuka wakati unatoa wimbo wako wa kwanza wa mama,nilikuwa kidato cha pili kama sikosei,moyoni nilitabili utakuja kufanya vizur sna katika muziki.lakini utabili wangu ulitimia miaka iliyofauata maana vibao kama mbona na mammy vilikufanya kufika mahala flani pazuri.,,,,,, kinachonishangaza ni nn kilichokufika mpaka umekuwa hivo.naamini sasa maneno ya meneja wako wa kwanza kidbway kwamba hubebeki,PNC,nakufaham vizur sana mdogo wangu japo sikuzid sana umri.tatizo lako kubwa ni washaur wako na elim yako ni mdogo.darasa la saba lisikufanye usijiamini kiasi cha kuutoa utu wako sababu ya laki sana ama milioni tatu,maana sidhan kama ulishawahi kulipwa zaidi ya milion tatu katika show moja yoyote.polesana kwayaliyo kufika lakini kama uko humu naomba uni pm nikufahamishe nn cha kufanya.