dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
Kwa sababu ni siku ya ibada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
si mlisema mmegomea sensa?? Mbona kwenye mkwanja mmo??
Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
Ritz mkuu
Nan alipanga siku ya ijumaa kuwa ya kazi?
Kama nitakosea nisahihishe japokuwa sitarajii.
Siku ya kuabudu wakristo katika biblia wanaambiwa wasifanye kazi wapumzike kwa maana ya kuomba tu.
Hebu tuambie kwa mujibu wa mafudisho ya mtume SAW, au kutoka kitabu kitukufu cha koraan, baada ya swala tunatakiwa kupumzika au kuenda kufanya kazi na kutafuta rizki?
Ni hayo mkuu wangu Ritz.
Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
Inferiority complex brings irrelevant complaints from such foolishness of thinking inhumiliation even for irrelevant issues as such! This has something to do with "uchochezi". This kind of posts should be removed immediately!
nigeria [like] is close to our country.
news alert...wanataka wahesabiwe peke yao...
Kwani waisilamu wanashiriki sensa? Au semina wanaruhusiwa?
Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
Ni kitu muhimu cha kupendekeza kwenye Katiba Mpya! Ijumaa iwe kwa waislamu; Jumamosi iwe kwa Sabato; Jumapili iwe Waristo madhehebu mengine; Jumatatu iwe kwa wasio na dini yeyote; Jumanne iwe kwa Mabhudha; Jumatano iwe kwa wenye dini za matambiko!Hivi kwa nini serikali walipanga jumapili iwe siku ya mapumziko kitaifa.
Hao waliopo kwenye semina ya sensa ni waislam wa iraq au waislam wa palestina?
Katika hali isiyokua ya kawaida baadhi ya watendaji wa serikali wamewalazimisha waaislam kuhudhuria semina za sensa na uku wakijua ni sikukuu kwao na pia niwajibu ktk imani yao kuhudhuria ibada ya idd ktk misikiti yao...Haya ndo mambo wenzetu waaislam wanaona hawatendewi haki ktk nchi yao, vipi ingekua ni pasaka au X-MASS je isingekua ni mapunziko kwa wote? serikali ni lazima iwachukulie hatua watendaji wote waliojifanya hawajui nini kinachoendelea la sivyo NIGERIA like is very close to our country
Ni kitu muhimu cha kupendekeza kwenye Katiba Mpya! Ijumaa iwe kwa waislamu; Jumamosi iwe kwa Sabato; Jumapili iwe Waristo madhehebu mengine; Jumatatu iwe kwa wasio na dini yeyote; Jumanne iwe kwa Mabhudha; Jumatano iwe kwa wenye dini za matambiko!