Udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola

Ustaadh Moh'd Said. Habari yko hii kuileta hapa JF ni vizuri sana ili wote tupate habari ya kinachojiri TZ na dunia kwa ujumla. Info is power.
Kinachonitatiza hasa ktkt habari yako ni ku asssociate tukio hilo lililokukuta weye na ukandamizwaji wa uislam. Kwanini akili zetu zinatuelekeza huko ktk uonevu wa uislam?
Kuna mchangia mada mmoja ametoa hadi data za uongozi ktk ngazi mbali mbali ikionyesha wakristo wanaongoza kwa wingi. Sasa kweli hiyo ni yard stick ya kuhitimisha kuwa waislam wanakandamizwa? Sitaki kusema kuwa elimu ni mojawapo ya kigezo cha wakristo kushika nyadhifa nyingi manake ndugu zangu mtasema shule nyingi ni za mission na tumebaguliwa.
Nakumbuka miaka ya 1980 shule kubwa ya kiislam iliyokuwa inawika ilikuwa ni 'Kinondoni Muslim' (nilikuwa naishi mitaa hiyo) lakini utashangaa wanafunzi waliokuwa wanaongoza kwa vurugu na mambo mengine ambayo siwezi kuyataja hapa, ni wa K'ndoni muslim. Shule ile hakuna mtu ambaye alikuwa hajui kuwa ilikuwa ni mojawapo ya shule iliyokuwa inafelisha vibaya sana.
Nadhani kuna haja ya kutafakari upya na kuja na takwimu sahihi ku justify hii allegation ya waislam kuonewa. Otherwise tutakuwa tunajirahisisha sana na kuonekana ni watu wa kutaka favour na kupenda malumbano.
 
tatizo lenu wakiristo mkipashwa ukweli mnakurupuka na kuhamaki. Nchi yetu ingalikuwa haina UDINI tz ingalikuwa mbali

Ukweli gani unaosema wewe? Hebu hoja hii: iweje kuwe na misikiti USA "kunakopigwa vita uislamu" lakini iwe haramu kukutwa na biblia (achilia mbali kujenga kanisa) kwenye nchi za kiislamu?
 
Zanzibar ni 99% Muslim lakini kuna ugomvi wa mikopo ya vipando utadhani wakatoliki ndo wanagawa.

Iweje ugomvi wa mikopo ya vipando uwepo hali katika watu 100 mtu 1 tu ndo mla nguruwe??

Ina maana Waislamu wanawafanyizia waislamu wenzao??

Au kuna Waisamu misukule wa wakristo huko Zanzibar??

mwenye kuelewa ameelewa ila mjinga ataendelea na ubishi.waislam wamezinduka kuonewa bac.
 
ukweli gani unaosema wewe? Hebu hoja hii: Iweje kuwe na misikiti usa "kunakopigwa vita uislamu" lakini iwe haramu kukutwa na biblia (achilia mbali kujenga kanisa) kwenye nchi za kiislamu?

nchi gani mkuu? Hii historia umesoma wapi? Au ndio unavyohubiriwa j2? Haya ndio yanayoturudisha nyuma nchi yetu. Sheikh akijipaka mafuta mazuri unaambiwa kajamba. Padri akijamba unaambiwa kapumua tu huyo. Tz
 

na huko MARA WANAKOCHINJANA KWA MAKABILA? TENA WOTE NI JOHN. MWAMBARI NA MKUNGWA
 

uKIONA WAISLAM WENGI KULIKO WAKIRISTO BASI UJUE TAASISI HIYO RUSHWA IPO CHINI SANA, NA MAENDELEO YAPO
 
ukimuona muislam anajipendekeza kwa kafiri huyo ni mnafiki

Naona unaongea zaidi kama mnafiki hebu angalia majirani wanaokuzunguka hakuna wakristo? Je katika wakristo hao hakuna hata mmoja aliye mwema kwako?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Matusi na kejeli hazijibiki.
Sio hazijibiki, huwezi kujibu hata hoja moja wewe! Kama nimetukana na nifungiwe!

Kwanza nunua kamusi, usitupotoshe na tafsiri za viingereza vibovu hapa, sio wewe peke yako "uliyefika chuo kikuu kutokea Kariakoo." Kazi kupandikiza chuki za kidini, hoja zenyewe nyepesi ka boya.


Ndipo ikatengenezwa hadithi ya kuku jike na ng’ombe dume (cock and bull story) kuwa Mohamed

 
mwenye kuelewa ameelewa ila mjinga ataendelea na ubishi.waislam wamezinduka kuonewa bac.
Hapana makwesa ... ni Watanzania ndio wamezinduka kuonewa bila kujali tofauti zao za kidini, rangi au jinsia. Mchochezi Mohamed Said hawezi kuzijibu hoja za Nguruvi3 wala chama kwa sababu inayoeleweka kabisa, they, like me, can see right through him. Mimi ni Mkristo na kusema kweli nasita sana kujiingiza kwenye huu mjadala kwa sababu ninao ndugu na marafiki Waislaam na najua wengi wao hawakubaliani na huu upuuzi wa hatari wa Mohamed Said. chama ninatofautiana naye sana kwa msimamo wake kisiasa, lakini nampa a big big thumbs up kwa msimamo wake thabiti dhidi ya wachochezi kama Mohamed Said wanaojaribu kutumia dini kufanikisha malengo yao ya kisiasa. Sifichi dharau yangu kwa Mohamed Said kwa sababu ni mtu ambaye pamoja na kusoma kote huko anakodai, hakuweza kuelimika hata chembe. Ni jukumu la Waislaam wa kweli na wapenda amani kumlaani huyu mchochezi bila kusita.
 
Na hata koran Mwenyezi Mungu anasema 'Hawatakua radhi kwenu mpaka mfuate mila zao' tunajua kinachoendelea..Shehe Muhamedi ujumbe umefika!
 
Lakini pasi hii afisa wa uhamiaji wa Tanzania alipoiingiza kwenye compyuta yake alimwita mwenzake kuja kutazama kisha wakawa wanacheka.

Nimecheka sana kwa maneno haya...yani wanaangalia pasi yako kwenye kompyuta halafu wanacheka? Au una ndevu ndefu kama za Osama?
 
Acha chuki binafsi. Mohammed said amesoma sana kuliko hata wewe . Wewe umepachikwa hapo ulipo kwa sababu ya UKIRISTO WAKO tu na sio kwa uwezo wako. kama uwezo wa kusoma nafasi uliopewa wewe angalipewa mohd said

Safisheni kwanza BAKWATA maana ni taasisi ya chama na sio waislamu.
 
Nilitegemea watu wanaofuata dini inayofundisha amani wafundishe amani na siyo kueneza mbegu ya chuki kwenye jamii. Nina mashaka makubwa whether what their religion requires them to do is what they are doing. Otherwise, "if the theory doesn't fit the practice change the theory."
 
Acha chuki binafsi. Mohammed said amesoma sana kuliko hata wewe . Wewe umepachikwa hapo ulipo kwa sababu ya UKIRISTO WAKO tu na sio kwa uwezo wako. kama uwezo wa kusoma nafasi uliopewa wewe angalipewa mohd said

Inawezekana Mohamed Said amesoma sana. Je, ameelimika pia? Maana kama ameelimika angekuwa mstari wa mbele kuhubiri habari za maendeleo ya kiroho na kimwili na siyo chuki na fitini miongoni mwa waumini wenzake.
 
nadhani huwa mnapandisha munkar sana huko kwenye vijiwe vya kahawa mkisikia stori kama hizi!?

Unalalamika kama Mwislam bhana yakhe? Mbona hamlalamiki la tuhuma zilizozagaa za Jamaa wa Home Shopping Centre kummaliza mfadhili wenu mkubwa Arusha Salim Ally? au kwa vile wote ni jamaa zenu na wana tuhuma flani flani? Ina maana mwislam kumwua mwislam mwenzake ni sawa tu kama huko Iraq, Afghanstan na kwingineko? Hii kitu ni aje watu hawaistukii? au kuna nguvu fulani nyuma yake?
 
Sioni la maana hapo zaidi ya ulalamishi wa hawa ndugu zetu tuliouzoea siku zote. Yani vyombo vyetu vya usalama visifanye kazi zake kisa we muislam? Ndani ya ndege ni wewe tu ulikuwa muislam? wewe ulienda kutafuta umaarufu huko nje unataka uachwe hivi hivi? Shukuru ulikumbuka kumuomba Allah akuepushe na dhahma hilo la sivyo hali ingekuwa ngum sana. Eti ukiwambia vijana wa kariakoo Mudy ni zungu la unga watakushangaa, usalama hawafanyi kazi kwa uvivu wa kufikiri kama huo. USIRUDIE TENA NA UACHE UCHOCHEZI HUMU JF. Ningekuwa Mudy ningekupiga Ban fasta
 
Huu uzi ulinifanya nipigwe ban hata sina hamu nao!!!!! Sitachangia tena mada hizi hakyanani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…