wagaba
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,106
- 605
Ustaadh Moh'd Said. Habari yko hii kuileta hapa JF ni vizuri sana ili wote tupate habari ya kinachojiri TZ na dunia kwa ujumla. Info is power.
Kinachonitatiza hasa ktkt habari yako ni ku asssociate tukio hilo lililokukuta weye na ukandamizwaji wa uislam. Kwanini akili zetu zinatuelekeza huko ktk uonevu wa uislam?
Kuna mchangia mada mmoja ametoa hadi data za uongozi ktk ngazi mbali mbali ikionyesha wakristo wanaongoza kwa wingi. Sasa kweli hiyo ni yard stick ya kuhitimisha kuwa waislam wanakandamizwa? Sitaki kusema kuwa elimu ni mojawapo ya kigezo cha wakristo kushika nyadhifa nyingi manake ndugu zangu mtasema shule nyingi ni za mission na tumebaguliwa.
Nakumbuka miaka ya 1980 shule kubwa ya kiislam iliyokuwa inawika ilikuwa ni 'Kinondoni Muslim' (nilikuwa naishi mitaa hiyo) lakini utashangaa wanafunzi waliokuwa wanaongoza kwa vurugu na mambo mengine ambayo siwezi kuyataja hapa, ni wa K'ndoni muslim. Shule ile hakuna mtu ambaye alikuwa hajui kuwa ilikuwa ni mojawapo ya shule iliyokuwa inafelisha vibaya sana.
Nadhani kuna haja ya kutafakari upya na kuja na takwimu sahihi ku justify hii allegation ya waislam kuonewa. Otherwise tutakuwa tunajirahisisha sana na kuonekana ni watu wa kutaka favour na kupenda malumbano.
Kinachonitatiza hasa ktkt habari yako ni ku asssociate tukio hilo lililokukuta weye na ukandamizwaji wa uislam. Kwanini akili zetu zinatuelekeza huko ktk uonevu wa uislam?
Kuna mchangia mada mmoja ametoa hadi data za uongozi ktk ngazi mbali mbali ikionyesha wakristo wanaongoza kwa wingi. Sasa kweli hiyo ni yard stick ya kuhitimisha kuwa waislam wanakandamizwa? Sitaki kusema kuwa elimu ni mojawapo ya kigezo cha wakristo kushika nyadhifa nyingi manake ndugu zangu mtasema shule nyingi ni za mission na tumebaguliwa.
Nakumbuka miaka ya 1980 shule kubwa ya kiislam iliyokuwa inawika ilikuwa ni 'Kinondoni Muslim' (nilikuwa naishi mitaa hiyo) lakini utashangaa wanafunzi waliokuwa wanaongoza kwa vurugu na mambo mengine ambayo siwezi kuyataja hapa, ni wa K'ndoni muslim. Shule ile hakuna mtu ambaye alikuwa hajui kuwa ilikuwa ni mojawapo ya shule iliyokuwa inafelisha vibaya sana.
Nadhani kuna haja ya kutafakari upya na kuja na takwimu sahihi ku justify hii allegation ya waislam kuonewa. Otherwise tutakuwa tunajirahisisha sana na kuonekana ni watu wa kutaka favour na kupenda malumbano.