Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
Kama unayajuwa hayo usinge/asingesema nchi za Kiislaam ndio zenye uhalifu mkubwa.
sioni relevance ya hizi data na mada inayozungumziwa ya 'udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola vya tanzania'Men lie, women lie numbers don't lie
You are missing the point here dude!! Anaefanya uovu na kuhukumiwa ni MTU BINAFSI, si dini yake, ukoo wake au taifa lake. Kuna watu wanaojiita waislamu/wakristo/wahindu/Budha/wapagani na bado wakawa ni waovu. Imani yangu ni YANGU BINAFSI, hata kama ninaabudu ng'ombe bado ni imani yangu. Uhusiano wa mtu na MUNGU wake ni wa HIARI NA BINAFSI. Katika nchi zilizostaraabika, mtu ana hiari ya kufuata dini yake bila kubughudhiwa - ndio maana kuna misikiti USA, UK, Norway, Netherlands, France na kwingineko ambako traditionally hakukuwa na uislamu.
Mzee Said,
Awali ya yote nieleze neno linalotumika katika medani ya vita. Neno hilo ni 'shoot any moving object'.
Kauli hii inatumika majeshi yanapokuwa katika wakati mgumu, ya kwamba mbinu zote zimeisha na hakuna mkakati. Nitafafanua wakati nahitimisha maelezo yangu.
Kwa mtu asiyeielewa Tanzania na utangamano wa wananchi wake wenye imani, makabila na itikadi mbali mbali za kisiasa,pindi anaposikia mihadhara yako ima anatishika sana au anajawa na hasira kama ulivyowajaza WaNigeria.
........"
When there are no rules of engagement, anything is fair!
Dini yoyote inayohalalisha matumizi ya nguvu zidi ya watu wanaoikana ni dini hatari sana. Embu angalia, kwenye dini nyingine na mathalani Ukristo, mtu akiamua kuuacha ukristo na kujiunga na imani nyingine kamwe wakristo hawawezi kumwadhibu zaidi ya kutumia njia za kiungwana kumrejesha. Kama ikishindikana, basi watamwachia Mungu ashughulike naye. Lakini kule Irani na nchi nyingine za kiislamu, mtu akiamua tu kuachana na uislamu na kujiunga na imani nyingine adhabu yake ni kifo. Wako hata wazazi wameua watoto wao wa kuwazaa kwenye nchi za kiislamu kisa ikiwa ni kubadilisha dini. Na hili huwa linabarikiwa na serikali za nchi zao na wanalihita "Killing for honour". Dini ambayo haimpi mtu uhuru wa kujiamulia ni ya kimabavu, kidikteta na haifai. Dini ya iliyostaarabika ni ile inawapata watu na kuwashinda kwa nguvu za Hoja. Ingelikuwa vivyo hivyo hata hapa kwetu kama siyo kuwa na sera za kitaifa zisizofungamana na dini yeyote.Kuna watu malalamiko kwao ni jadi, hasa wale waio na la kufanya. Hata kama kusiwe na la kulalamika watalalamika tu.
Ukitaka kujua kama kweli hao wanaojiita waislamu ni waislamu au la angalia matendo yao. Kuna jamaa mmoja alikuwa anjidai kwa kujiita Alhaji, lakini kila jioni alikuwa anaonekana na machangudoa, alikuwa anavuta sigara, na kuna wakati pia alikuwa anakula nguruwe, lakini ikifika mambo ya "waislamu" alikuwa wa kwanza kujitokeza.
Unajua uislamu unafundisha watu kuwa wenyewe ndio dini pekee ya kuzaliwa nayo, (kitu ambacho ni uongo) na unawataka wao ndio watawale wengine wote wasio waislamu kwa upanga na kuwakata makoo kama hawasikii. Kwa mtindo huu unawa indoctrinate watu wajione kuwa ni victims, wajione inferior na wawe na violent reactions wanapopambana na wanachokiona kutofanikiwa kufikia lengo hilo. Sio coincidence kwamba magaidi wengi wanatoka middle east. Jaribu kuangalia idadi ya wafungwa wa Tanzania angalia kuna waislamu wangapi na wakristo wangapi.
Wakristo utakaokuta gereza utaona wengi ni wezi wa pesa, lakini makosa ya waislamu mpaka unaweza kusikitika, kwa hiyo unaweza kuona kuwa dini ina factor fulani.
Halafu kuna ajabu moja angalia waislamu wa Tanzania wengi wanakwenda wapi, nchi za magharibi au za kikafir, au nchi za kiislam, unaweza kukuta ni wachahce sana wanaoendda nchi za kiislamu, wengi wanaenda kwenye nchi za kikafir, sijui ni kwanini.
Nionyeshe mahali popote niliposema nchi za Kiislamu ndizo zenye uhalifu mkubwa!
Ndugu yangu M. Said unachofanya wewe ndicho ambacho sisi wengine tunakiona kwa Wamarekani weusi. Ndugu zetu hawa hujiona kwa mtazamo wa rangi sana kiasi kwamba lolote linalowakuta reaction yao ya kwanza ni "Because I'm Black". Akisimamishwa na askari mweupe jambo la kwanza wengi huhisi ni kwa sababu wao ni weusi. Matokeo yake ni kuwa akikataliwa kazi anahisi kwa sababu ni mweusi.
Msingi wa hisia hizi ni slavery legacy. Ndugu zetu walitambulishwa na kujitambua kwa rangi yao kiasi kwamba hata kama mtu kafanikiwa kiasi gani suala la rangi linajitokeza - rejea kisa cha Prof. Louis Gates Jr wa Harvard na Rais Obama katika kasheshe lililoishia kwenye "Beer Summit". Prof. Gates alijua kabisa kama raia anapohojiwa na polisi anatakiwa kuwapatia taarifa zote muhimu lakini yeye aliamua kuwa kichwa ngumu na akaona kuwa alikuwa anabanwa na maafisa wale (weupe) kwa sababu yeye ni mweusi - japo nyumba ilikuwa yake.
......." .
Soma vizuri post yangu, "usinge/asinge" kama hujasema wewe ina maana hukuufatilia mjadala, rejea posts utanielewa.
Why encouraging the enlargement of the circle of concerns instead of enlarging the circle of influence? Kila siku ni kulia lia tu na kutafuta mtu wa kuwaonea huruma watu wachache wasio na agenda nyingine yoyote zaidi ya Nyerere. Nyerere is gone and we cant change that fact. Kizazi hiki kianze kushughulika na mambo yasiyotuhusu ili iweje? Tukumbuke wa mbili havai moja! Tupigane kutoka hapa tulipokwamba.
Wangapi wanatiwa hatiani nchi hii kwa tuhuma za kuunda? Wote wanaofanyiwa hivyo ni waislamu? Nguza kafungwa yeye na wanawe kwa tuhuma ambazo hata kwa mtoto mdogo zitatiliwa shaka (ni nani hata akiwa kichaa atashirikiana na wanawe kufanya ngono wakati mmoja? Na kwa nini shahidi mkuu wa serikali ambae "ushahidi" wake ni sawa na kukiri kosa asiadhibiwe?). Mbona waislamu wanazikimbia nchi zao (kama Pakistan na Yemen - achilia mbali Iran na Syria) na kuhamia Marekani na Ulaya? Hata zuzu anajua kuwa si tatizo mtu kujenga msikiti USA na Ulaya lakini ni kujitafutia kifo mtu kukutwa na biblia Indonesia, Pakistan, Saudi Arabia etc? Acheni unafiki nyie watu! Mbona hamuhaimii nchi za kiislamu kama mnavyohamia nchi zisizokuwa za kiislamu?
Why encouraging the enlargement of the circle of concerns instead of enlarging the circle of influence? Kila siku ni kulia lia tu na kutafuta mtu wa kuwaonea huruma watu wachache wasio na agenda nyingine yoyote zaidi ya Nyerere. Nyerere is gone and we cant change that fact. Kizazi hiki kianze kushughulika na mambo yasiyotuhusu ili iweje? Tukumbuke wa mbili havai moja! Tupigane kutoka hapa tulipokwamba.
Bwana Mohamed
Acha kuficha hoja zako za kisiasa kwenye mgongo wa Uislamu, unatutia aibu na kutufedhehesha; wewe kama ulipekuliwa ni kwa misingi ya kisiasa na sio ya Kiislamu; Waislamu wanagapi wanapita kwenye viwanja vya ndege duniani na hawabughudhiwi itakuwa wewe tu kila siku? Jitangangaze wewe ni mwanasiasa tukujibu kisiasa ni makruhu makubwa kwa waislamu kukashifiana ila ukija kama mwanasiasa tutakuhabarisha; hata leo hii kama pasi yangu ya kusafiria ina muhuri wa Cuba, Korea ya Kaskazini wamerekani watanihoji nini kilinipeleka katika nchi hizo si kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya kisiasa. Ikiwa kama wewe ulikwenda Tehran na wote tunajua fika Iran ni mahisimu wakubwa wa Marekani na Jumuiya ya Ulaya, walikuwa na sababu ya kukusumbua ina tu nataka uelewe usumbufu ulioupata ulikuwa ni kwa malengo ya kisiasa.
Chama
Gongo la mboto DSM
Pole sana kaka. Nakushauri ufanye in depth study ya unachoamini. Duniani kote kwenye matatizo kuna waislam ambao mara zote mmekuwa mkilalamika mnaonewa. Kwa nini tangu kuumbwa kwa dunia nyinyi hamonei wengine? We dont fight against flesh and blood but against spirits. Things they manifest in spirits before they manifest in physical. Dont west your time fighting in physical .
Mkuu alberaps, Mzee Mohamedi said amesoma nondo za Mkuu Nguruvi3, sio tu ameelewa bali ameshindwa kujibu hoja madhubuti za Nguruvi3, akabaki kuchezea maneno ya kiswahili bila hoja! ebu soma jibu lake kwa msomi Nguruvi3;Mkuu nguruvi wewe ni mkali mpaka basi: umepiga msumari wa utosi. kama hajaelewa tena basi atakuwa mgumu sana kuelewa au ni gilba tuz.
Nguruvi3,
Umesema maneno mazuri sana.
Ila ukiyatazama mambo kwa juu juu hutoweza kuona kile kilichojificha.
Nadhani kwa sasa tushafahamiana pakubwa kiasi cha kufanya mjadala mzuri wa kustarehesha.
Hali unayodhani ilivyo sivyo kabisa.
thanx 4 your advice mkuu wafahamishe