Udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola

Udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola

Mkuu alberaps, Mzee Mohamedi said amesoma nondo za Mkuu Nguruvi3, sio tu ameelewa bali ameshindwa kujibu hoja madhubuti za Nguruvi3, akabaki kuchezea maneno ya kiswahili bila hoja! ebu soma jibu lake kwa msomi Nguruvi3;

Bwana Gwalihenzi,

Ingekuwa mie nataka kushindana humu kwa usomi nadhani ni wachache sana wangekuwa na ujasiri wa kusimama na mimi uso kwa uso.

Mimi sishindani na usomi wa Nguruvi3 na nadhani yeye binafsi hilo alishalitambua kwangu siku nyingi sana.
 
thanx 4 your advice mkuu wafahamishe

Umekosea sana.

Nimeandika paper na makala ambazo hata sijui hesabu yake ukitoa zile paper nilizotoa katika Vyuo na Mikutano ya Kimataifa.

Makala na paper zangu zipo tele katika mtandao.

Nimeudhi na kufurahisha wengi.

Kwa ajili hii haya yamenifanya nisiwe sawa na wengine...

Niangalie kwa sura hii.
 
Bwana Gwalihenzi,

Ingekuwa mie nataka kushindana humu kwa usomi nadhani ni wachache sana wangekuwa na ujasiri wa kusimama na mimi uso kwa uso.

Mimi sishindani na usomi wa Nguruvi3 na nadhani yeye binafsi hilo alishalitambua kwangu siku nyingi sana.

Mkuu wangu Mohamed Said, tembo ni mnyama mkubwa sana lakini hapiti akijisifu kwa ukubwa wake, wanaomuona ndio hukiri kuwa kweli tembo ni mkubwa.
 
Dizaini nyinyi ndugu zetu mnaoitwa waislam HAMJIAMINI hata kidogo kwanini mnalalamika nyie kila siku?..sisi hatutaki habri za kukua na kusambaa kwa dini..tunachoamini ni kwa MUNGU wetu mmoja aliye juu kinachofuata ni kumuabudu na kufanya maendeleo hayo mengine mnayoyatafuta sijui ya nini...jamaniiii mnataka tanzania igeuke iran au pakistan nchi za kislaam..kule ndo dini zilipozaliwa ziachen huko sisi tumezipokea tu basiiii..

Babyemma;
Nadhani utafanya makosa makubwa sana kuihusisha kesi ya Bwana Mohamed Saidi na Uislam; mimi binafsi kama Mwislamu najiamini sana; sina tatizo lolote na watu wa imani za dini nyingine; mafundisho yanasema dini ni imani; tatizo la watu kama Mohamed Saidi ni WANASIASA ila kwasababu hana hoja za msingi ndipo wanapokimbilia kwenye DINI; huyu Bwana Mohamed ni sumu kwenye jamii; wewe jiulize kinampeleka kila siku Ulaya na Marekani?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
UDHALILISHWAJI WA WAISLAM NA VYOMBO VYA DOLA VYA TANZANIA

Utangulizi

Sheikh wa kwanza ...
Mohamed Said

“...
Walionikamata walikuwa vijana kama wanne na wote walijitambulisha kwa majina ya Kiislam. Nilijua ni waongo kwa kuwa Muislam anonekana katika uso na katika matumizi ya lugha....

M

Unakoelekea...
Utaja umwa na mbu...
Halafu ulalamike...
Kuwa umeumwa...
Kwa sababu wewe ni muislam...
 
Hans Roger Dibagula, utafiti wako ni dhaifu, kwa sababu umeangalia maeneo machache tu na wala haujaainisha hizo nyadhifa. naomba uainishe, na ulete tafiti kamili, sababu hapo sijaona idara nyingine muhimu. ainisha pia ugawaji wa madaraka kwa ngazi tofauti. otherwise siwezi kuiamini tafiti yako, huenda ulikaa tu, kwa vile una MS Word kwenye desktop yako, basi ukawashwa washa mpaka kuja na pumba hizi.


ndiomaana nchi haiendelei
 
Hii post yako ingelikuwa nzuri kama ungeliondoa hamaki na ukaandika kwa utulivu.
Mathalan kwa kutaka kujua kama mimi ni mwanasiasa au la.

Huwa sipata raha ya kujibu kitu kama vile pana ugomvi.

Bwana Mohamed
Hapana ugomvi wala jazba; kila siku unapokuwa huna majibu unakimbilia sana kudai eti unaepuka ugomvi; huna haja ya kusema hadharani kama wewe ni mwanasiasa au la; wengi tunafahamu wewe ni mtu mwenye agenda ni mwanasiasa labda kwa ushauri jiweke hadharani; haya madai yako yana walakini mwingi; labda nikuulize kabla ya mapinduzi ya Iran yaliyomuondoa Shah wa Iran; kiongozi wa mapinduzi Ayatollah Khomein(R.I.P) aliishi uhamishoni Paris mbona hakubughudhiwa na wafaransa? Hakukatazwa kuamini dini yake? swahiba wako mtafiti mwenzako anaishi Marekani mbona habughudhiwi? Huu uzushi unaouleta ni hatari kwenye jamii yetu. Hivi katika maisha yako hakuna hata jema moja ambalo mkristo amekutendea?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Bwana Mohamed
Hapana ugomvi wala jazba; kila siku unapokuwa huna majibu unakimbilia sana kudai eti unaepuka ugomvi; huna haja ya kusema hadharani kama wewe ni mwanasiasa au la; wengi tunafahamu wewe ni mtu mwenye agenda ni mwanasiasa labda kwa ushauri jiweke hadharani; haya madai yako yana walakini mwingi; labda nikuulize kabla ya mapinduzi ya Iran yaliyomuondoa Shah wa Iran; kiongozi wa mapinduzi Ayatollah Khomein(R.I.P) aliishi uhamishoni Paris mbona hakubughudhiwa na wafaransa? Hakukatazwa kuamini dini yake? swahiba wako mtafiti mwenzako anaishi Marekani mbona habughudhiwi? Huu uzushi unaouleta ni hatari kwenye jamii yetu. Hivi katika maisha yako hakuna hata jema moja ambalo mkristo amekutendea?

Chama
Gongo la mboto DSM
tatizo lenu wakiristo mkipashwa ukweli mnakurupuka na kuhamaki. Nchi yetu ingalikuwa haina UDINI tz ingalikuwa mbali
 
tatizo lenu wakiristo mkipashwa ukweli mnakurupuka na kuhamaki. Nchi yetu ingalikuwa haina UDINI tz ingalikuwa mbali

Naona umekurupuka mimi ni MUISLAMU kwa imani ya dini yangu; usinibatize kwa hamaki zako za kidini!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Bwana Gwalihenzi,

Ingekuwa mie nataka kushindana humu kwa usomi nadhani ni wachache sana wangekuwa na ujasiri wa kusimama na mimi uso kwa uso.

Mimi sishindani na usomi wa Nguruvi3 na nadhani yeye binafsi hilo alishalitambua kwangu siku nyingi sana.
Mohamed Said, kubali kuwa hadi sasa umechemsha vibaya sana! yaani kama utasoma post ya Nguruvi3 na Mzee
mwanakijiji basi majibu ya malalamiko yako yote yako post hizo. Yaani kama ni ngumi basi wamekupiga za uso. Utaki unaacha.
 
Na mumesahau BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA. Tokea kuanzishwa kwake. makatibu watendaji wake wote ni wakristo. Na manaibu katibu wake wote wakristo.


Tena kibaya zaidi Baraza hili lina Sura ya Muungano na limeongezwa katika mkataba wa makubaliano ya Muungano wenu.

Kibaya zaidi nafasi hizo kubwa kabisa katika baraza hilo zimeshikwa na wa Bara tu.
 
hawa jamaa hata ukimkuta anakuibia mkeo ukampika kelbu ngumi kichwa makofi na fimbo, akitoka pale anaenda kutangaza kuwa nimepigwa kwasababu mimi ni muislam...yaani dini wanaifanya kama kimbilio lao la maovu. kwanini wasiwafanye hivyo wengine wakakufanya wewe tu? mbona kuna waislam wengi tu wanapita bila wasiwasi lakini wewe tu ndo wakungángánie, una nini cha tofauti, jiulize afu ujijibu mwenyewe.....i am sure wewe una maovu unayafanya, si bure...acha kuchukulia dini kama kinga, acha kuwafanya waislam wenzio wakuonee huruma wakati hawajui yaliyoko ndani kwako....mnatia kichefuchefu kuichafua dini ya kiislam nyie wachache.
 
mzee mohamed nimesoma sana maelezo yako lakin nikiri mengi mazuri na mengine ya kipuuzi zaidi?kwanza ni kweli kuwa waislam wanahusishwa sana na ugaidi,pili ni kweli wengi wa magaidi pia ni waislam. umetoa shutuma kwamba marekani inakandamiza uislam lakin hausemi kwanin misikiti inajengwa marekani ila ni marufuku makanisa kujengwa saudi arabia/? hukusema kwanin watu walihukumiwa kifo kwa kukutwa na biblia afghanistan?

kwanin kila nchi vikundi vya kislam inasumbua serikal kama india,laskar e taiba(india sio nchi ya kikristu) china kuna kikundi cha waislam katika jimbo la magharibi URUNQI ambapo lugha kuu ni kituruki indonesia nako waislam wanasumbua filipino kuna abu sayaf
etc kwanin dunia nzima vikundi vya kislam vinasumbua sumbua? na basi kama ni kweli marekani inakandamiza waislam kwanin waislam kwa mamilion wanahamia amerika na ulaya?

mwisho wew umetekwa au umekamatwa na serikali yako rais muislam na makamu muislam ukaenda kulaum bunge au kwa vile spika mkristu? Y uwalaum wakristu WAKATI KINACHOGOMBANIWA NI MATERIAL OF THESE WORLD na sio vifungu vya vitabu vitakatifu??
 
Na mumesahau BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA. Tokea kuanzishwa kwake. makatibu watendaji wake wote ni wakristo. Na manaibu katibu wake wote wakristo.


Tena kibaya zaidi Baraza hili lina Sura ya Muungano na limeongezwa katika mkataba wa makubaliano ya Muungano wenu.

Kibaya zaidi nafasi hizo kubwa kabisa katika baraza hilo zimeshikwa na wa Bara tu.


Haya yetu tuachie wenyewe!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
mzee mohamed nimesoma sana maelezo yako lakin nikiri mengi mazuri na mengine ya kipuuzi zaidi?kwanza ni kweli kuwa waislam wanahusishwa sana na ugaidi,pili ni kweli wengi wa magaidi pia ni waislam.umetoa shutuma kwamba marekani inakandamiza uislam lakin hausemi kwanin misikiti inajengwa marekani ila ni marufuku makanisa kujengwa saudi arabia/?hukusema kwanin watu walihukumiwa kifo kwa kukutwa na biblia afghanistan?kwanin kila nchi vikundi vya kislam inasumbua serikal kama india,laskar e taiba(india sio nchi ya kikristu)china kuna kikundi cha waislam katika jimbo la magharibi URUNQI ambapo lugha kuu ni kiturukiindonesia nako waislam wanasumbuafilipino kuna abu sayafetc kwanin dunia nzima vikundi vya kislam vinasumbua sumbua? na basi kama ni kweli marekani inakandamiza waislam kwanin waislam kwa mamilion wanahamia amerika na ulaya?mwisho wew umetekwa au umekamatwa na serikali yako rais muislam na makamu muislam ukaenda kulaum bunge au kwa vile spika mkristu? Y uwalaum wakristuWAKATI KINACHOGOMBANIWA NI MATERIAL OF THESE WORLD na sio vifungu vya vitabu vitakatifu??
pia ungemuuliza, kati ya hao wlaiomtesa sijui etc, hakukuwa na muislam hata mmoja? pengine hao maafisa wa uslama walikuwa waislam wenzie sasa kwanini anasema udhalilishaji wa waislam na vyombo vya selikali badala ya kusema udhalilishaji wa raia/watz/wananchi na vyombo vya selikali? si waislam wenzie ndani ambao ni maafisa usalama walimshikilia? malalamiko tuuu kusingizia mnaonewa, .....din zingine bwana...zinachosha kuwa nazo karibu aisee....
 
Bwana Mohamed
Hapana ugomvi wala jazba; kila siku unapokuwa huna majibu unakimbilia sana kudai eti unaepuka ugomvi; huna haja ya kusema hadharani kama wewe ni mwanasiasa au la; wengi tunafahamu wewe ni mtu mwenye agenda ni mwanasiasa labda kwa ushauri jiweke hadharani; haya madai yako yana walakini mwingi; labda nikuulize kabla ya mapinduzi ya Iran yaliyomuondoa Shah wa Iran; kiongozi wa mapinduzi Ayatollah Khomein(R.I.P) aliishi uhamishoni Paris mbona hakubughudhiwa na wafaransa? Hakukatazwa kuamini dini yake? swahiba wako mtafiti mwenzako anaishi Marekani mbona habughudhiwi? Huu uzushi unaouleta ni hatari kwenye jamii yetu. Hivi katika maisha yako hakuna hata jema moja ambalo mkristo amekutendea?

Chama
Gongo la mboto DSM
Maneno mazuri sana haya....kule kwetu tunasema maneno kuntu haya.
Lakini jibu atakalo kupa utamsikia umenitukana au punguza jazba
 
Na mumesahau BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA. Tokea kuanzishwa kwake. makatibu watendaji wake wote ni wakristo. Na manaibu katibu wake wote wakristo.


Tena kibaya zaidi Baraza hili lina Sura ya Muungano na limeongezwa katika mkataba wa makubaliano ya Muungano wenu.

Kibaya zaidi nafasi hizo kubwa kabisa katika baraza hilo zimeshikwa na wa Bara tu.
Barubaru, mbona huwa hupendi kujibu maswali ya msingi na kukimbilia kulialia kama mtoto mdogo?!!! Tuambie wewe binafsi ulipokuwa unafanya kazi wizara ya fedha, uislam wako ulikusaidiaje kuleta ufanisi wa kazi? Mbona hututajii makabila ya hao wanaofanya kazi baraza la mitihani? Wewe na huyo kizee Mohamed Saidi ni watu hatari sana katika nchi yetu. Bora hata wewe uliyeukataa utanzania maana ingekuwa fedheha sana kwa mtanzania mwenye mawazo ya kipuuzi kama yenu!
 
mwenye kuelewa ameelewa ila mjinga ataendelea na ubishi.waislam wamezinduka kuonewa bac.
 
Back
Top Bottom