Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama


A number of African kings and merchants took part in the trading of enslaved people from 1440 to about 1833. For each captive, the African rulers would receive a variety of goods from Europe. These included guns, ammunition, alcohol, indigo dyed Indian textiles, and other factory-made goods.
 
Hizo chain unyamwezi saaana. Warudi tuzivae
 
Pascal hueleweki, si ni wewe tumekusikia ukimkaribisha na kumfurahia Sultani humu!!
 
Mada inaongelea udhalimu wa Waarabu dhidi ya Babu zetu.

Wachangiaji badala ya kuchangia Mada husika wanakuja na maswala ya Dini, Wazungu na jazba.

Kwani Waarabu ni miungu isiyotenda uovu ?

Mwingine aje na Mada ya Wazungu walivyo tesa babu zetu tutachangia pia juu ya hiyo mada.

Ukienda pale Bagamoyo utakuta ushahidi wa namna Waarabu walivyotesa na kufanya Biashara ya Watumwa weusi na jinsi walivyo watesa.

Watu wanahamishia Mada kwenye Dini.
Mjifunze kuzielewa Mada na kuchangia maudhui za hizo Mada.

Udini unawatoa kwenye ukweli.
Na mnabaki kuonekana kama vichekesho tu.
 
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 

Kwani babu yako yupi alifanyiwa uovu na mwarabu ?? Lete jina lake tupeleke kesi mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…