Chuki zenu dhidi ya waarabu haitawasaidia chochote,,,bali mnajikaanga tu. Hapo ukiombwa ushahidi unajing'atang'ata tu, ndio utambue hizo ni chuki tu. Hivi hujiulizi watu weusi ni wengi sana huko ulaya na marekani, brazil, peru, Colombia, ecuador, na sio nchi za kiarabu!!! Mnakuwa na akili za kitoto sometimes, kila macholetewa na mizungu mikafiri mnakipokea kwa mikono miwili na kukiamini bila hata kukifanyia uchunguzi na kujuwa ukweli halisia.
Acheni chuki, fanyeni kazi mulishe familia zenu, na Allah awajaalie muione haki.