Udhalimu wa viongozi ndio Ajira ya Wanaharakati

Udhalimu wa viongozi ndio Ajira ya Wanaharakati

DustBin

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2021
Posts
609
Reaction score
604
Viongozi na watawala wakijitahidi kufanya haki, uadilifu na usawa, wanaharakati watakosa kazi ya kufanya.

Wanaharakati ajira yao kubwa inayowakalisha mjini ni udhalimu unaofanywa na viongozi au watawala.

Ukiona hali ya hewa ipo kimya na wanaharakati hawana cha kusema, basi ujue viongozi wametekeleza majukumu yao na wanatenda haki, uadilifu na usawa wanafuata misingi ya utawala bora.

Lakini ukiona matamko, maandamano, na chokochoko vimeshamiri kwa wanaharakati hiyo ni ishara kubwa kwamba kuna tatizo kwa upande wa viongozi wao.

Na sio viongozi tu, hata watendaji wa ngazi za kawaida wanaposhindwa kufuata maadili na miongozo ya kazi zao, ikawa kuna mahali hapajakaa sawa huchochea kufufuka kwa wanaharakati.

Lakini pia kuna wanaharakati mimi napenda niwaite wanaharakati uchwara au wanaharakati wa maji taka, ukipenda wewe waite wanaharakati michongo.

Wao kila uchao watasikika hata katika jambo ambalo halina kichwa wala miguu ya kutembelea utaona wakilishupalia.

Hawa hupoteza hadhi na ladha ya uanaharakati. Harakati huleta mabadiliko chanya yanayochochea maendeleo.

Na hasa wengi wa aina hii ya wanaharakati ni hawa wanaojihusisha na mambo ya kisiasa.

Nimemaliza, mapovu ruksa.

DustBin
 
Wanaharakati kwa muda mrefu wamekuwa ndio source ya kuwaalert watawala hasa wasiojali chochote wala lolote na mpaka wakalazimika kubadili mienendo yao against their willings.

Haijalishi ni wa kiraia au kisiasa wamesaidia sana kukemea maovu ila kwa bahati mbaya kuna wanaharakati wanatetea mambo ya ovyo sana lakini hao tuwaache
 
Wanaharakati kwa muda mrefu wamekuwa ndio source ya kuwaalert watawala hasa wasiojali chochote wala lolote na mpaka wakalazimika kubadili mienendo yao against their willings.Haijalishi ni wa kiraia au kisiasa wamesaidia sana kukemea maovu ila kwa bahati mbaya kuna wanaharakati wanatetea mambo ya ovyo sana lakini hao tuwaache
Haaahahah hao ni wanaharakati mchongo
 
Wanaharakati kwa muda mrefu wamekuwa ndio source ya kuwaalert watawala hasa wasiojali chochote wala lolote na mpaka wakalazimika kubadili mienendo yao against their willings.Haijalishi ni wa kiraia au kisiasa wamesaidia sana kukemea maovu ila kwa bahati mbaya kuna wanaharakati wanatetea mambo ya ovyo sana lakini hao tuwaache

Hakuna nusu package. Wanaharakati wa Africa 92% ni opportunists.

Na hao wanaowapa hela wana malengo yao ambayo sio ya wema.

There is nothing free in this world especially Europe.

Ukifanya kazi huku utaelewa kodi za kila kitu.

Mpaka Radio utalipa kwa lazima na mahakamani utapelekwa uwe huna ama unayo.

Msidanganyike sana. Swala Ni unakula kwa mkono mweupe au mweusi.

That’s why package za ushoga na Mambo yote ya utamaduni wao wanakuwekea kama kipengele.
 
Hakuna nusu package. Wanaharakati wa Africa 92% ni opportunists.

Na hao wanaowapa hela wana malengo yao ambayo sio ya wema.

There is nothing free in this world especially Europe.

Ukifanya kazi huku utaelewa kodi za kila kitu.

Mpaka Radio utalipa kwa lazima na mahakamani utapelekwa uwe huna ama unayo.

Msidanganyike sana. Swala Ni unakula kwa mkono mweupe au mweusi.

That’s why package za ushoga na Mambo yote ya utamaduni wao wanakuwekea kama kipengele.
Wale jamaa wale ukiona wanakuunga mkono ujiuliulize.., Uanaharakati isee..!
 
Viongozi na watawala wakijitahidi kufanya haki, uadilifu na usawa, wanaharakati watakosa kazi ya kufanya.

Wanaharakati ajira yao kubwa inayowakalisha mjini ni udhalimu unaofanywa na viongozi au watawala.

Ukiona hali ya hewa ipo kimya na wanaharakati hawana cha kusema, basi ujue viongozi wametekeleza majukumu yao na wanatenda haki, uadilifu na usawa wanafuata misingi ya utawala bora.

Lakini ukiona matamko, maandamano, na chokochoko vimeshamiri kwa wanaharakati hiyo ni ishara kubwa kwamba kuna tatizo kwa upande wa viongozi wao.

Na sio viongozi tu, hata watendaji wa ngazi za kawaida wanaposhindwa kufuata maadili na miongozo ya kazi zao, ikawa kuna mahali hapajakaa sawa huchochea kufufuka kwa wanaharakati.

Lakini pia kuna wanaharakati mimi napenda niwaite wanaharakati uchwara au wanaharakati wa maji taka, ukipenda wewe waite wanaharakati michongo.

Wao kila uchao watasikika hata katika jambo ambalo halina kichwa wala miguu ya kutembelea utaona wakilishupalia.

Hawa hupoteza hadhi na ladha ya uanaharakati. Harakati huleta mabadiliko chanya yanayochochea maendeleo.

Na hasa wengi wa aina hii ya wanaharakati ni hawa wanaojihusisha na mambo ya kisiasa.

Nimemaliza, mapovu ruksa.

DustBin
Ni kweli aisee.
 
Hakuna nusu package. Wanaharakati wa Africa 92% ni opportunists.

Na hao wanaowapa hela wana malengo yao ambayo sio ya wema.

There is nothing free in this world especially Europe.

Ukifanya kazi huku utaelewa kodi za kila kitu.

Mpaka Radio utalipa kwa lazima na mahakamani utapelekwa uwe huna ama unayo.

Msidanganyike sana. Swala Ni unakula kwa mkono mweupe au mweusi.

That’s why package za ushoga na Mambo yote ya utamaduni wao wanakuwekea kama kipengele.
Ni kweli lakini katika Africa kuna viongozi wa ajabu wenye mioyo ya kikatili ambao wako tayari hata kuua ili kusecure vyeo
 
Back
Top Bottom