Udhihirisho wa roho mtakatifu akaae ndani yetu

Udhihirisho wa roho mtakatifu akaae ndani yetu

Warumi 10:13-14
Kwa kuwa kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini?
Tena wamwinije yeye wasiyemsikia?
Tena wamsikieje pasipo mahubiri??...........hapo tunaona dhahiri kabisa lazima awepo mhubiri ahubiri watu wasikie wakisikia wataamini(warumi 10: 17 "Imani chanzo Chake Ni kusikia ,Na kusikia huja Kwa Neno la Kristo")........nimegundua katika injili nyingi watu wengi huwa wanahubiri sana sana kuhusu Mungu na Yesu lakini hawamhubiri kuhusu roho mtakatifu panakua hapana ukamilifu sababu ukamilifu au utatu mtakatifu yupo(Mungu,Yesu na roho mtakatifu).......Huyu roho mtakatifu ni roho ya Mungu mwenyewe........nakiri Tangu nianze kumu acknowledge au kutambua uwepo wa holly spirit maisha yangu yamebadilika sana
 
Yeremia 20:9

Nami nikisema sitamtaja, Wala sitasema tena Kwa Jina lake, basi, ndipo moyoni mwangu kumekuwamo kama MOTO uwakao, ulilofungwa ndani ya MIFUPA yangu, nami nimechoka Kwa kustahimili, Wala siwezi kujizuia.


Mstari huo unaresemble na experience ulopitia,

Kama Kweli umeokoka na umejazwa Roho mtakatifu na hushuhudii wengine uzuri huo ,Pana walakini.

Inatupasa kushuhudia matendo makuu ya Mungu, maana ni mengi anatutendea,

Nitarejea kushuhudia experience yangu kumhusu Roho mtakatifu.

Yeremia 20:9

Nami nikisema sitamtaja, Wala sitasema tena Kwa Jina lake, basi, ndipo moyoni mwangu kumekuwamo kama MOTO uwakao, ulilofungwa ndani ya MIFUPA yangu, nami nimechoka Kwa kustahimili, Wala siwezi kujizuia.


Mstari huo unaresemble na experience ulopitia,

Kama Kweli umeokoka na umejazwa Roho mtakatifu na hushuhudii wengine uzuri huo ,Pana walakini.

Inatupasa kushuhudia matendo makuu ya Mungu, maana ni mengi anatutendea,

Nitarejea kushuhudia experience yangu kumhusu Roho mtakatifu.

Amen
Ubarikiwe sana
 
Sasa Jana nimeomba Toba na rehema sana, nikaona mvua na mafuriko watu wanapelekwa...

Na wengine wanaokoa ndugu zao wakiwa wanapelekwa na maji...

Na nikaona mpaka gari linaanguka na mtu sababu ya mafuriko...

YESU yupo na Ufalme wake tumtafute kwa bidiii
Hayo yanakuja November 2023!
 
Back
Top Bottom