Na baadaye JK ataanzisha war lords kibao kama Somalia si unajua tena serikali za kiislam lazima uwe na war lords ili ufanikiwe. Sijui upande wa kanda ya magharibi atamweka nani.....
Itakuwa ni vizuri sana kama wale walionzisha kuuana kule Kenya, nako si kuna Mahakama ya Kadhi? na ma warlord wa kiIslam ndio walianzisha kuuwana! na wale walioanzisha kuuwana kwa kimbari kule Rwanda na Burundi, si wote walikuwa ni ma warlords wa kiIslam? au sio?
Yaani vile umetokea tu na kikombe chako cha kahawa, picha yako inachukuliwa na kisha kulinganishwa na data base ya wauzuliaji wengine ili kuona kama kuna mapirates toka Somalia au la.
Mapirates wakijulikana tu, yanayofuatia ni historia.
mtoa mada alikua udiniWahenga walisema .... dont argue with a f..., people might not notice the difference.
Wewe weka mambo hadharani.Kulingana na thread, kule UDOM mkuu wa utawala ni Prof Shabaan Mlacha. Matatizo yote yanaamzia hapo mkuu.Dilly dallying wont save the day for ya.
kaka acha kukurupuka kwa mara nyingine tena au labda nabishana na walewale wa vijiwe hilo sina uhakika naloNani amekurupuka? Jamaa (sio mtoa mada) ametoa list ya viongozi wajuu wa UDOM ambao wanahusika na utawala na ajira (tukumbuke amezungumzia mishahara ambayo huyo DVC academic hahusiki) na wote ni waislamu isipokuwa Mkapa , ambae cheo chake si cha kiutendaji.
Wengine mmempinga kwa kusema kuwa anaingiza udini, na kusema mbona vyuo vingine vimejaa wakristu na hakuna anaelalamika. Ili haki itendeke basi bora hivyo vyuo vingine walikojazana wamisheni vingetajwa pamoja na hao wamisheni walio katika hizo nafasi za uongozi. Kigugumizi cha nini?
Mjadala wa ku-compare mliufunga wewe na nani? Mbona hakuna Thread closed hapo chini? Humu ndani tuna uhuru wa kudadisi chochote tunachotaka bila kujali hata mleta mada alikusudia nini. Ndiyo wwww. Ni pori hili. Enter at your peril!
Amandla..........
Yaani kama vile ulikuwepo vile .... kabla hawajalipua ubalozi wa marekani na kuua watanzania na wakenya wasio kuwa na hatia yoyote, walianzia Somalia huko na jihad zao zisizokuwa na mwisho.
Aibu tupu kweli toka kwa war lords. Hivi kanda ya magharibi war lords atakuwa nani?
ambao sio walimu huwa wanalipwa kwa scale ya PGSS kaka ambao wanaitwa administrative staffHii taarifa siyo sahihi, nacho amini mimi mishahara ktk vyuo vikuu vya umma inapangwa na hazina/utumishi. TA anaanza na PUTS12 assistant lecturer PUTS15 lecturer PUTS17 n.k. japo sina details zaidi sijui hapo udini unakujaje.
Kama huyo mtumishi siyo mwalimu basi sijui lakini nao wana scale zao za mishahara kulingana na ngazi yake ktk ajira.
pia vile vile alitoa Magamba sekondary kuwa kuwa Chuo Kikuu cha Tumaini (SEKUCo) sebastia kulowa university collegeMkapa akiwa Raisi alitoa chuo cha Tanesco Morogoro kuwa Chuo Kikiuu cha Kiislam
kati ya rafiki zangu waliokimbia hapo Udom wanadai kuwa hakuna marupu rupu mengine na hii inatokana na chuo kuwa kichanga. Yaani unasubiri mwisho wa mwezi kwa mwisho wa mwezi na hakuna pia nyumba kwa watumishi hasa hawa wa nazi za chini, lbda mtoa mada atuambie kuwa yeye ni lecturer au supportive staff?sijui lakini nawafahamu lecturers na assistant lecturers wengi waliohama na kukimbilia vyuo vingine kama kule Mazengo (nimesahau jina ya chuo) na taasisi ya maendeleo (IRDS). Sijui shida ni nini kwani si kawaida mtu kukimbia chuo kikubwa kama UDOM na kwenda kwenye Institute ya Rural Development Studies.
Nami nadhani kuna kitu kikubwa tu pale UDOM ila sijui ni nini na sina hakika kama ni udini.
Tatizo linaloendana na hili liliwahikuwepo pale Chuo Cha Ardhi miaka ya 90 ambapokilikuwa kinajulikana kama chuo cha wachaga. Wakaja kusambaratishwa miaka ya 2000 baada ya Prof. Idris Kikula kuwa Principal. Baada ya hapo chuo kinaenda murua kabisa.
Sasa nitashindwa kumwelewa Prof. Kikula kama ataacha mambo ya kibaguzi hapo UDOM. By the way Prof. Kikula ni VC mzuri na ni jamaa mwenye busara sana. Kinachotakiwa mwenye malalamiko ayafikishe, yatashughulikiwa tu. Sidhani kama uongozi umeshindwa, maybe haujang'amua tatizo.
Home of great sinkers! sasa na huyo Mkapa nae muislam? hivi udini ni kuwa na viongozi wa 3 wa juu waislamu? kwa hiyo UDSM nako kuna udini?
Mleta mada ndio mdini kwani inahitaji uwe mdini ili kujua mdini!
du kama hali ipo hivyo hakuna ubishi
Swali zuri.
Hili ndio tatizo la Tanzania sasa hivi na watu wengi tumejaribu kulipigia kelele lakini inaonekana watu wanajifanya hawasikii. Hapo Tanzania kama utaandika peke yako basi unapewa credit moja. Mkiwa watatu hiyo moja inagawanywa kwa tatu kwa hiyo unajikuta unapata one third. To me, I dont see if this is realistic. Research inahitajika sharing of ideas na ndio watu mnatengeza kazi bora zaidi. Kwa Ulaya kinachofanyika ni kwamba, jarida utakalochapisha ndio linaonyesha wewe ni nani. Kama umechapisha kwenye star 4 au vinginevyo. Na wao hasa vyuo vyao vinakuwa ranked kutokana na wapi wanachapisha.
Lakini hapo nyumbani mtu anaweza kuandika kitu cha ajabu na usipokaa sawa anaita publications tena kwenye kijarida anakuwa promoted.
naona hii mada kuna watu wanaiburuza au kutojua namna ya kumsaidia huyu ndugu,UDINI ameuona kwa namna gani?hajasema!Je kuwa na uongozi wa juu waislamu ndo udini?mimi nakataa japo mimi mkristo,kwani udini ni matendo ya UDINI je ni yapi hayo?mishahara hapangi VC wala CACO etc,ni govt scales.Kama watu wanakimbia chuo je yupo aliedai udini ndo umemwondoa?mi nadhani ni udogo na uchanga wa chuo,na location pia,huko lectures hawana madeal meengi ukizingatia watu hawana hela kihivyo,so nani atakuconsult kam njini Dar?na kama hela nyingi zinaelekezwa ktk ujenzi marupurupu mengine lazma yawe down.tusubiri na kumonitor mwelekeo na maendeleo yake,ila udini sina uhakikautaingizwaje hapo.Kama kushutumu ukabila mimi ningeanzia UDSM kwa Mukandala Prof kwani kule ndo kunanuka uendeleo
Kwa nini hii awamu ya nne ya uongozi wa nchi hii imeleta sana mijadala ya dini na ukabila?? Tuanzie bosi wa Board of External Trade, IGP Said Mwema, Hon. Hawa Ghasia, Idrisa Rashidi, Prof.Kapuya, Dr. Asaad wa Accounting Depatment UDSM ni mboard member wa NSSF na Chairman wa NBC, Ramadhani Dau, Dr. Idrisa Kikula wa UDOM (siri nzito), Mustafa Mkulo, na wengine wengi.
Ni vema kuteua kiongozi kukutokana na elimu, ujuzi na uwezo wa kazi. Suala la kuona pengine sisi ni minority, only 20% na hivyo basi akipatikana ana kaelimu kanafanania basi tunatumia kigezo cha elimu na si uwezo. Tunajidanganya!!