zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Na baadaye JK ataanzisha war lords kibao kama Somalia si unajua tena serikali za kiislam lazima uwe na war lords ili ufanikiwe. Sijui upande wa kanda ya magharibi atamweka nani.....
Itakuwa ni vizuri sana kama wale walionzisha kuuana kule Kenya, nako si kuna Mahakama ya Kadhi? na ma warlord wa kiIslam ndio walianzisha kuuwana! na wale walioanzisha kuuwana kwa kimbari kule Rwanda na Burundi, si wote walikuwa ni ma warlords wa kiIslam? au sio?