Wewe kwa sababu ya upumbavu wako unadhani kila mmoja anatumia scale yako ya kipumbavu kufanya judgement. Hakika mshenzi ni mshenzi tu hata akijua kutumia kompyuta bado ushenzi wake unabaki palepale, tena pengine unaweza kufikia hatua mbaya zaidi.
Hoja yangu huielewi na hutoielewa mpaka utakapokaa kitako na kuukumbatia ustaarabu. Hoja yangu ipo straightforward kuwa uwiano wa dini sio lengo la serikali maana dini sio QUALIFICATION ya AJIRA. Hili hulioni kwa sababu u mpumbavu. Tena wa grade A au first class.
Mpumbavu anaangalia mambo kupumbavu na hivi ndivyo mpumbavu anavyotarajiwa a-behave. ENdelea hivyohivyo kuwa mpumbavu maana ndivyo inavyokufaa.
Unahitaji kujiweka katika Ignore list. Wafahamu Kwanini unakuja na Jazba? Kwasababu umejigundua kuwa mkosefu pamoja na wakristo wenzako kwa kuwa wadini No 1. Sasa ngoja nikufungue akili.
Suala la kuinua wanawake ni ajenda ya kisiasa. Leo hii katika Afrika mashariki kuna uwiano ufuatao katika Bunge:
Uganda 30.7% ya wabunge niwanawake.
Kenya 9.8% ya wabunge ni wanawake.
Tanzania 30.4% ya wabunge ni wanawake.
Kwa maneno yako unataka kusema kuwa wanawake wa Kenya ndio wasio na qualification na akili ya kuwa wabunge kuliko Uganda na Kenya?
Unajua nitakusaidia kitu kimoja, Soma kitabu cha PEACE AND WAR kilichoandikwa na Prof Abraham Stewart. Utaelewa ni wakati gani mwananchi anashindwa kuvumilia na kuamua kutumia vurugu kama njia pekee yakuelekea katika amani ya kweli. Utafiti wake ulizingatia maendeleo ya kutoka katika Amani, Vita mpaka Amani huko Kosovo.
La mwisho soma vile vile Ripoti ya Wamarekani Kuhusu uwiano wa ajira katika serikali ya Tanzania ulioletw hapa JF na # Najua hutasoma, ngoja ninukuu kidogo shemu muhimu. "
Fr. Peter Smith (1992) acknowledges that Muslims lag far behind in education. A similar observation is made by Professor Malekela (1993:26). Malekela (1983) found that 78.5 per cent of secondary students were Christian and only 18.6 per cent Muslim. Likewise the 1994 US Report on Human Rights in Tanzania acknowledges the significant disadvantages facing Muslims in education and employment. It also notes the existence of widespread Muslim resentment in the country. More importantly however, the Report says religious imbalances in Tanzania are a result of historical circumstances rather than deliberate discrimination (US Department of State, 1995).
Available historical evidence, both past and present, would seem to contradict the popular belief that Muslims hate or fear education. It is certainly true that in the past Muslims rejected, as they continue to reject today, the Christian principle of using diakonia (services like education and health) as means of evangelisation. People should enter into Christianity out of conviction and faith in the Word of God, not as a condition of getting food, clothing, medical treatment or education. I believe Christians would have reacted in a similar fashion were they to find themselves in a situation where educational institutions served as instruments of Islamisation. In fact recently Christian Members of Parliament took to task the Minister for National Education and Culture, Professor Juma Kapuya (a Muslim) for enforcing a long-standing government secular which allowed Muslim students to put on head scarfs. He was accused of harbouring a secret agenda of Islamising public schools, although Christian nuns have been doing so since colonial times!"
Ukiona wamarekani wanaanza kuandika hayo ujue wameshaona moshi utokeako. Nyie laleni tu na kutumia kalamu vibaya bila kufahamu ni nani aliyeleta amani hii kwa kuvumilia kuitwa mjinga kwa miaka zaidi ya 40.
Tafadhali isome vizuri hii na uielewe. Usikurupuke!
Kikubwa ninachotaka kukueleza ni kwamba, matakwa ya waislam Tanzania hayangoji eti mpaka aje Rais mwiislam. Yeyote atakaye kuwa Rais madai yetu yapo pale pale. Hivyo wale wenye dhana kuwa eti tuchague Rais mkristo ndio hawatatekelezewa mambo yao, Wanajidanganya.
Kumbuka aliyeionja Demokrasia harudi nyuma kamwe. Demokrasia yetu imewapa tabu sana wakristo waliozoea Unyerere (autocrat regime). Kwanza walifikiri Democrasia itaua uislam kwa kuruhusu picha za Holly wood mchana wa saa5. Hali haikuwa hivyo, na madai mengi ya waislam yamepitia kidemokrasia na kushinda.