Udini Wizara ya Elimu

Udini Wizara ya Elimu

Status
Not open for further replies.
Unajua nitakusaidia kitu kimoja, Soma kitabu cha PEACE AND WAR kilichoandikwa na Prof Abraham Stewart. Utaelewa ni wakati gani mwananchi anashindwa kuvumilia na kuamua kutumia vurugu kama njia pekee yakuelekea katika amani ya kweli. Utafiti wake ulizingatia maendeleo ya kutoka katika Amani, Vita mpaka Amani huko Kosovo.

.

Hii yaani sasa naona unazidi kudhihirisha dementia..he he he..Vurugu si mlitumia pale Mwembechai na 'haki' yenu mkapatiwa ? Mwe!
 
Well, Mkitaka twende hivyo hakuna matatizo kabisa.

Nyie chagueni tu Ngoma na mwimbo, nasi tuko tayari kucheza. Isitoshe sisi hatutapoteza sana.

Kwanini hatutapoteza? Kwa sababuzifuatazo:

1. Wabunge Tanzania bara- 75% wakristo.

2.Ajira serikalini - 85% Wakristo

3.Wanafunzi vyuo vikuu 70% Wakristo.

Sasa hapo sisi tuna nini? Nyie chezeni mchezo, halafu muone. Mna uchaguzi, Amani au vurugu. Mkitaka amani tukae kwenye meza kujadili na kutatua hayo. Hamtaki amani tumieni magazeti, makanisa na nyaraka.

Tumechoshwa na kutishwa tishwa kwa maneno huku mkificha takwimu. Kama nyie ni ma-sinia member wekeni mambo wazi. Ninamaanisha takwimu.

1.wacha kutoa info za upande mmoja
kwa nini ujasema TZ nzima na umechagua bara peke yake au kwa ajili ZNZ wote ni waisilamu.

lazima uwelewe kuwa kwamba bara vijijini kuna wakristu wengi kama ilivyo ZNZ waislamu ni karibu wote.
pia lazima ujue mikoa ya mwambao waislamu ni wengi

2. kuhusu elimu
bara kuna shule nyingi ambazo ziliwachwa na wakoloni wazungu ambao wengi wao ni wakristu, makanisa pia yana shule nyingi
mikoa ya pwani waarabu ambao ni waislamu hawakuacha shule
kutokana na sababu hizi wazee wakristu wengi wameenda shule kuliko wazee wa waislamu, na kwa ajili TZ watu wana rithi dini hii inafanya watoto wakristu wawe wengi kwenye vyuo.
hi trends itabadilika baada ya mda mrefu waislamu wakitilia mkazo elimu na si vinginevyo.
Tatizo ni kubwa sana kwa ajili mpaka sasa hivi waislamu wengi hawatilii mkazo elimu hususan maeneo ya ZNZ na Tanga ambapo mabinti wengi bado wanaolewa mapema na wanaume wanaoa mapema.

Tatizo hili linatakiwa lishuhulikiwe na sheikh mkuu na aweke pingamizi kwamba mtu haruhusiwi kuwa maalimu mpaka amalize form six na masheikh wote lazima wawe na utaalamu wa ziada (udaktari, uwalimu na nk) kama ilivyo kwa wakatoliki.
sasa hivi vijana wengi maeneo ya Tanga wakimaliza darasa la saba wanaanza kwenda madrasa sana na mwishowe kuwa maalimu na hata masheikh baadae.
ukiangalia kwa upande wa wakatoliki mapadri wanasoma mda mrefu sana.
TATTIZO HILI LITKUWA LA MDA MREFU SANA KAMA KUTAENDELEA KUWA NA MASHEIKH AMBAO HAWAJASOMA.

"WATZ TUPENDANE. DINI HAZINA MPANGO WOWOTE. KUENDELEA KUABUDU UISLAMU NA UKRISTU NI KUENDELA KUWATUKUZA WAKOLONI, NA NDIO MAANA WAKRISTU WANAWATUKUZA WAZUNGU NA WAISLAMU WANAWATUKUZA WAARABU"
 
Hii yaani sasa naona unazidi kudhihirisha dementia..he he he..Vurugu si mlitumia pale Mwembechai na 'haki' yenu mkapatiwa ? Mwe!


umeibukia huku????

Unataka uletewe yaliyotokea Mwembechai??? Fungua Thread yake upewe ukweli usidanganye watu hapa .

Angalia thread inasemaje , haisemi yaliyotumiwa Mwembechai.

Jee na hayo yaliyotokea kanisa lako Dodoma jee tuambie ilikuwa nini????

Lete Data ulizoulizwa huko juu....

Endelea na hiyo ignore list yako.....
 
Last edited:
Nashukuru baadhi ya members ambao wametumia upeo na akili kuomba data. Ila ina sikitisha baadhi ya watu kukimbilia kutetea upande mmoja kwa sababu tu dini yao imesemwa. Na hii pia inaenda kwa dini zote. Kama kuna udini kwa nini usisemwe kisa tu ni dini ya mtu fulani? Huu woga wa kujadili mambo haya na mgawanyiko unao tokana na hilo ndiyo inafanya watu wanaofanya vitendo hivi waendelee kutenda wakijua lazima wata tetewa kwa nguvu zote. Tutulize vichwa na tuliangalie swala hili logically.

Udini ni mtu na siyo dini kwa hiyo ukiona mtu wa dini yako kaitwa mdini usiichukulie kama shambulizi binafsi kwa dini yako au kwako bali jua ni tabia ya mtu binafsi ina jadiliwa.
Hapa umenena, na tungekuwa na utamaduni wa kujadili hoja kwa mtindo huu basi tusingegawanyika hapa JF. JF imeharibika kiasi kwamba hakuna anayetaka kutumia "LOGIC" na kuliangalia suala kwaundani.

Topic hii ni defu na inahistoria ndefu sana. Nilazima iangaliwe kwa mapana na marefu kabla ya kutoa hitimisho za haraka.

Ukweli mimi napata kichefu chefu hasa ninaposoma zile hoja za sinia members. Hicho ni cheo kikubwa, haifai mtu kutoa pumba. Turudi kwenye square 1 kama tunahaja hiyo, kama haakuna tutacheza mpira bila Refa.
 
ni kampeni ndugu zangu,wanayoyasema hawa hayawani shura ya maimaam pia kina maghembe na jk wanayasimamia,wizara imepewa hao watu maksudi ili waweze kuwapandisha waislam kwa maksudi,kama wanampa mtu mwenye sifa sio mabaya,but kama ni kwa kigezo cha dini kwakweli JK mwakani hatumtaki na uwezo huo tunao kwani nia ipo tayari,
 
La mwisho soma vile vile Ripoti ya Wamarekani Kuhusu uwiano wa ajira katika serikali ya Tanzania ulioletw hapa JF na # Najua hutasoma, ngoja ninukuu kidogo shemu muhimu. "Fr. Peter Smith (1992) acknowledges that Muslims lag far behind in education. A similar observation is made by Professor Malekela (1993:26). Malekela (1983) found that 78.5 per cent of secondary students were Christian and only 18.6 per cent Muslim. Likewise the 1994 US Report on Human Rights in Tanzania acknowledges the significant disadvantages facing Muslims in education and employment. It also notes the existence of widespread Muslim resentment in the country. More importantly however, the Report says religious imbalances in Tanzania are a result of historical circumstances rather than deliberate discrimination (US Department of State, 1995).

Ok,

Kwanza sijaona neno ajira kwenye hiki kipisi chako cha COPY & PASTE. Nadhani akili yako imechanganyika na samadi.

Pili, labda utueleze hiki kipisi chako kinarelevance gani na mada tunayoijadili:

Tatu, kama kingereza kinakupiga hapo nilipo-pigia mstari panasomeka hivi: chenga hapa nukuu yako inakupa jibu kuwa religious imbalances (kama zipo au zilikuwepo) zimetokea kihistoria na hazina mahusiano na makusudio ya mtu yeyote.

Hii sentensi umeileta wewe mwenyewe, Miss Stupidity, I doubt kama unaelewa manake..lol

Available historical evidence, both past and present, would seem to contradict the popular belief that Muslims hate or fear education. It is certainly true that in the past Muslims rejected, as they continue to reject today, the Christian principle of using diakonia (services like education and health) as means of evangelisation. People should enter into Christianity out of conviction and faith in the Word of God, not as a condition of getting food, clothing, medical treatment or education. I believe Christians would have reacted in a similar fashion were they to find themselves in a situation where educational institutions served as instruments of Islamisation. In fact recently Christian Members of Parliament took to task the Minister for National Education and Culture, Professor Juma Kapuya (a Muslim) for enforcing a long-standing government secular which allowed Muslim students to put on head scarfs. He was accused of harbouring a secret agenda of Islamising public schools, although Christian nuns have been doing so since colonial times!"

Hii sijui ume- copy kutoka wapi maamuma wewe..Hebu tueleze hii inahusiana vipi na mada tunayoiongelea? lol, makubwa haya! Jamani hebu iteni ambulance ya Mirembe tafadhalini...!

Ukiona wamarekani wanaanza kuandika hayo ujue wameshaona moshi utokeako. Nyie laleni tu na kutumia kalamu vibaya bila kufahamu ni nani aliyeleta amani hii kwa kuvumilia kuitwa mjinga kwa miaka zaidi ya 40.

Mh, kwa hiyo Mmerekani leo amekuwa wa maana? Hizo habari za moshi sijui mvuke unapoteza muda wako na kutumalizia bandwidth maana unaongelea vitu visivyokuwepo.

Tafadhali isome vizuri hii na uielewe. Usikurupuke!

Nasoma vitu ikiwa kuna clear advantage ya kuvisoma, otherwise nawaachia watu wenye akili mdebwedo kama wewe.

Kikubwa ninachotaka kukueleza ni kwamba, matakwa ya waislam Tanzania hayangoji eti mpaka aje Rais mwiislam. Yeyote atakaye kuwa Rais madai yetu yapo pale pale. Hivyo wale wenye dhana kuwa eti tuchague Rais mkristo ndio hawatatekelezewa mambo yao, Wanajidanganya.

Matakwa ya kisilamu nilidhani ni kuhakikisha wanakuwa wanyenyekevu na kumcha Mungu ili wairithi akhera, lakini kumbe sivyo. Pole najielekezea mwenyewe kwa kuelewa uislamu kuliko waislamu wenyewe!

Kumbuka aliyeionja Demokrasia harudi nyuma kamwe. Demokrasia yetu imewapa tabu sana wakristo waliozoea Unyerere (autocrat regime). Kwanza walifikiri Democrasia itaua uislam kwa kuruhusu picha za Holly wood mchana wa saa5. Hali haikuwa hivyo, na madai mengi ya waislam yamepitia kidemokrasia na kushinda.

As far as I know most of arranged religions are undemocratic let alone allah!
 
1.wacha kutoa info za upande mmoja
kwa nini ujasema TZ nzima na umechagua bara peke yake au kwa ajili ZNZ wote ni waisilamu.

lazima uwelewe kuwa kwamba bara vijijini kuna wakristu wengi kama ilivyo ZNZ waislamu ni karibu wote.
pia lazima ujue mikoa ya mwambao waislamu ni wengi

2. kuhusu elimu
bara kuna shule nyingi ambazo ziliwachwa na wakoloni wazungu ambao wengi wao ni wakristu, makanisa pia yana shule nyingi
mikoa ya pwani waarabu ambao ni waislamu hawakuacha shule
kutokana na sababu hizi wazee wakristu wengi wameenda shule kuliko wazee wa waislamu, na kwa ajili TZ watu wana rithi dini hii inafanya watoto wakristu wawe wengi kwenye vyuo.
hi trends itabadilika baada ya mda mrefu waislamu wakitilia mkazo elimu na si vinginevyo.
Tatizo ni kubwa sana kwa ajili mpaka sasa hivi waislamu wengi hawatilii mkazo elimu hususan maeneo ya ZNZ na Tanga ambapo mabinti wengi bado wanaolewa mapema na wanaume wanaoa mapema.

Tatizo hili linatakiwa lishuhulikiwe na sheikh mkuu na aweke pingamizi kwamba mtu haruhusiwi kuwa maalimu mpaka amalize form six na masheikh wote lazima wawe na utaalamu wa ziada (udaktari, uwalimu na nk) kama ilivyo kwa wakatoliki.
sasa hivi vijana wengi maeneo ya Tanga wakimaliza darasa la saba wanaanza kwenda madrasa sana na mwishowe kuwa maalimu na hata masheikh baadae.
ukiangalia kwa upande wa wakatoliki mapadri wanasoma mda mrefu sana.
TATTIZO HILI LITKUWA LA MDA MREFU SANA KAMA KUTAENDELEA KUWA NA MASHEIKH AMBAO HAWAJASOMA.

"WATZ TUPENDANE. DINI HAZINA MPANGO WOWOTE. KUENDELEA KUABUDU UISLAMU NA UKRISTU NI KUENDELA KUWATUKUZA WAKOLONI, NA NDIO MAANA WAKRISTU WANAWATUKUZA WAZUNGU NA WAISLAMU WANAWATUKUZA WAARABU"
Kwasababu si wizara zote tulizoungana. Kuna baadhi ya wizara huwezi kuajiriwa Bara na ukahamishiwa ZNZ.
 

Tanzania takwimu ni tatizo kubwa sana. kwa hiyo kupata uwiano wa Wakristo na Waislamu serikalini ni vigumu sana. Ila kwa bahati mbaya au nzuri kwa huku kwetu ni rahisi sana kujua dini ya mtu kwa kuangalia jina lake. Hapa chini nitaorodhesha wabunge wa Tanzania na majimbo yao. Naomba upige mahesabu uone kama inafika hiyo 75% uliyo itaja hapo juu.


Tanzanian Members of Parliament, in alphabetical order

Name Constituency Party Cabinet Position (if any)
Anna Margareth Abdallah Special Seat (Women) CCM
Mohamed Rished Abdallah Pangani CCM
Maida Hamad Abdallah Special Seat (Women) CCM
Mohammed Abdi Abdulaziz Lindi Mjini CCM
Bahati Ali Abeid Special Seat (Women) CCM
Khadija Salum Ally Al-Qassmy Special Seat (Women) CUF
Fatma Othman Ali Special Seat (Women) CCM
Ali Haji Ali Zanzibar House of Representatives CCM
Dr. Ali Tarab Ali Konde CUF
Aziza Sleyum Ally Special Seat (Women) CCM
Ame Pandu Ame Nungwi CCM
Kheri Khatib Ameir Matemwe CCM
Ameir Ali Ameir Fuoni CCM
Said Amour Arfi Mpanda Kati CHADEMA
Rostam Abdulrasul Azizi Igunga CCM
Idd Mohamed Azzan Kinondoni CCM
Nuru Awadhi Bafadhili Special Seat (Women) CUF
Faida Mohamed Bakar Special Seat (Women) CCM
Abubakar Khamis Bakary Zanzibar House of Representatives CUF
Prof. Feethan Filipo Banyikwa Ngara CCM
Elizabeth Nkunda Batenga Special Seat (Women) CCM
Joel Nkaya Bendera Korogwe Mashariki CCM Deputy Minister of Information, Culture, and Sports
Gosbert Begumisa Blandes Karagwe CCM
Felister Aloyce Bura Special Seat (Women) CCM
Dr. Batilda Salha Burian Special Seat (Women) CCM Minister of state, environment
Dr. Cyril August Chami Moshi Vijijini CCM Deputy Minister of Trade and Industry
Hazara Pindi Chana Special Seat (Women) CCM
Ania Said Chaurembo Special Seat (Women) CUF
Dr. Raphael Masunga Chegeni Busega CCM
Andrew John Chenge Bariadi Magharibi CCM
Gideon Asimulike Cheyo Ileje CCM
John Momose Cheyo Bariadi Mashariki UDP
Hezekiah Ndahani Chibulenje Chilonwa CCM Deputy Minister of Infustructure
Mathias Meinrad Chikawe Nachingwea CCM Minister of Justice and Constitutional Affairs
Capt. John Zefania Chiligati Manyoni Mashariki CCM Minister of Lands and Human Settlements
Diana Mkumbo Chilolo Special Seat (Women) CCM
Samuel Mchele Chitalilo Buchosa CCM
Christopher Kajoro Chiza Buyungu CCM
Mohammed Amour Chombon Magomeni CCM
Dr. Maua Abeid Daftari Special Seat (Women) CCM Deputy Minister Science technology and communication
Dr. David Mathayo David Same Magharibi CCM Deputy Minister of Agriculture, Food Security, and Cooperatives
Paschal Constantine Degera Kondoa South CCM
Mohammed Gulam Dewji Singida Mjini CCM
Hasnain Gulamabbas Dewji Kilwa Kusini CCM
Anthony Mwandu Diallo Ilemela CCM
Meryce Mussa Emmanuel Special Seat (Women) CUF
Bakari Shamis Faki Ole CUF
Col. Saleh Ali Farrah Raha Leo CCM
Fatma Abdulhabib Fereji Zanzibar House of Representatives CUF
Stephen Jones Galinoma Kalenga CCM
Dr. Zainab Amir Gama Kibaha CCM
Josephine Johnson Genzabuke Special Seat (Women) CCM
Hawa Abdulrahman Ghasia Mtwara Vijijini CCM Minister of Public Service and Management
Dr. Haji Mwita Haji Muyuni CCM
Ali Juma Haji Chaani CCM
Zuleikha Yunus Haji Special Seat (Women) CCM
Hemed Mohammed Hemed Chonga CUF
Maria Ibeshi Hewa Special Seat (Women) CCM
Parmukh Singh Hoogan Kikwajuni CCM
Ambassador Seif Ali Iddi Kitope CCM Deputy Minister of Foreign Affairs and International Relations
Yahya Kassim Issa Chwaka CCM
Issa Kassim Issa Mpendae CCM
Athumani S. Janguo Kisarawe CCM
Asha Mshimba Jecha Special Seat (Women) CCM
Mwadini Abbas Jecha Wete CUF
Shoka Khamis Juma Micheweni CUF
Riziki Omar Juma Special Seat (Women) CUF
Rajab Ahmad Juma Tumbatu CCM
Gaudentia Mugosi Kabaka Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Education
Siraju Juma Kaboyonga Tabora Mjini CCM
Phares Kashemeza Kabuye Biharamulo Magharibi TLP
Mgeni Jadi Kadika Special Seat (Women) CUF
Ambassador Hamis Suedi Kagasheki Bukoba Mjini CCM
Janet Bina Kahama Special Seat (Women) CCM
Charles Muguta Kajege Mwibara CCM
Dr. Diodorus Buberwa Kamala Nkenge CCM Minister of East African Cooperation
Prof. Juma Athuman Kapuya Urambo Magharibi CCM Minister of Labour, Employment and youth development
Nazir Mustafa Karamagi Bukoba Vijijini CCM
Teddy Louise Kasella-Bantu Bukene CCM
Mariam Reuben Kasembe Special Seat (Women) CCM
Eustace Osler Katagira Kyerwa CCM
Dr. Shukuru Jumanne Kawambwa Bagamoyo CCM Minister of Infustructure
Vita Rashid Kawawa Namtumbo CCM
Gaudence Cassian Kayombo Mbinga Mashariki CCM
Charles N. Keenja Ubungo CCM
Yono Stanley Kevela Njombe Magharibi CCM
Salim Abdallah Khalfan Tumbe CUF
Khalifa Suleiman Khalifa Gando CUF
Salim Hemed Khamis Chambani CUF
Vuai Abdallah Khamis Magogni CCM
Mwajuma Hassan Khamis Special Seat (Women) CUF
Abdisalaam Issa Khatib Makunduchi CCM
Hassan Rajab Khatib Amani CCM
Muhammed Seif Khatib Uzini CCM Minister of state, union affairs
Dr. Aisha Omar Kigoda Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Health and Social Welfare
Dr. Abdallah Omar Kigoda Handeni CCM
Hassan Chande Kigwalilo Liwale CCM
Felix Ntibenda Kijiko Muhambwe CCM
Estherina Julio Kilasi Mbarali CCM
Juma Hassan Killimbah Iramba Magharibi CCM
Aloyce Bent Kimaro Vunjo CCM
Halima Omar Kimbau Special Seat (Women) CCM
Fuya Godwin Kimbita Hai CCM
Paul Peter Kimiti Sumbawanga Mjini CCM
Mkiwa Adam Kimwanga Special Seat (Women) CUF
Rosemary Kasimbi Kirigini Special Seat (Women) CCM
Grace Sindato Kiwelu Special Seat (Women) CHADEMA
Capt. John Damiano Komba Mbinga Magharibi CCM
Celina Ompeshi Kombani Ulanga Mashariki CCM Minister of Regional Administration and Local Government
Anna Maulidah Komu Special Seat (Women) CHADEMA
Suleiman Omar Kumchaya Lulindi CCM
William Jonathan Kusila Bahi CCM
Omar Shabani Kwaangw' Babati Mashariki CCM
Michael Lekule Laizer Longido CCM
James Daudi Lembeli Kahama CCM
Castor Raphael Ligallama Kilombero CCM
Devota Mkuwa Likokola Special Seat (Women) CCM
Dr. Festus Bulugu Limbu Magu CCM
Benedict Kiroya Losurutia Kiteto CCM
Sameer Ismail Lotto Morogoro Kusini-Mashariki CCM
Edward Ngoyai Lowassa Monduli CCM
George Malima Lubeleje Mpwapwa CCM
Emmanuel Jumanne Luhahula Bukombe CCM
William Vangimembe Lukuvi Ismani CCM
Riziki Said Lulida Special Seat (Women) CCM
Anna Richard Lupembe Special Seat (Women) CCM
John Paul Lwanji Manyoni Magharibi CCM
Clemence Beatus Lyamba Mikumi CCM
Susan Anselm Jerome Lyimo Special Seat (Women) CHADEMA
Ernest Gakeya Mabina Geita CCM
Joyce Nhamanilo Machimu Special Seat (Women) CCM
Ephraim Nehemia Madeje Dodoma Mjini CCM
Prof. Jumanne Abdallah Maghembe Mwanga CCM Minister of Education
Fatma Mussa Maghimbi Chake Chake CUF
John Pombe Joseph Magufuli Biharamulo Mashariki CCM Minister of livestock and fisheries
Dr. Milton Makongoro Mahanga Ukonga CCM Deputy Minister of Labour
Dr. Binilith Satano Mahenge Makete CCM
Mwanatumu Bakari Mahiza Special Seat (Women) CCM Deputy Minister of Education
Ezekiel Magolyo Maige Msalala CCM
Anne Semamba Makinda Njombe Kusini CCM
Jackson Muvangila Makwetta Njombe Kaskazini CCM
Benito William Malangalila Mufindi Kusini CCM
John Samwel Malecela Mtera CCM
Anne Kilango Malecela Same Mashariki CCM
Adam Kighoma Ali Malima Mkuranga CCM
Halima Mohammed Mamuya Special Seat (Women) CCM
Ramadhani Athumani Maneno Chalinze CCM
Stella Martin Manyanya Special Seat (Women) CCM
Vedastusi Mathayo Manyinyi Musoma Mjini CCM
Philip Sang'ka Marmo Mbulu CCM Minister of state, parliamentary affairs
Abdul Jabiri Marombwa Kibiti CCM
Lawrence Kego Masha Nyamagana CCM Minister of home Affairs
Wilson Mutagaywa Masilingi Muleba South CCM
Masolwa Cosmas Masolwa Bububu CCM
Haroub Said Masoud Koani CCM
Janeth Mourice Massaburi Special Seat (Women) CCM
Joyce Martin Masunga Special Seat (Women) CCM
Zubeir Ali Maulid Kwamtipura CCM
Lucy Thomas Mayenga Special Seat (Women) CCM
Kiumbwa Makame Mbaraka Special Seat (Women) CCM
Salome Joseph Mbatia Special Seat (Women) CCM Deceased
Monica Ngezi Mbega Iringa Mjini CCM
Mwanne Ismaily Mchemba Special Seat (Women) CCM
Halima James Mdee Special Seat (Women) CHADEMA
Zakia Hamdani Meghji Nominated by the President CCM
Bernard Kamillius Membe Mtama CCM Minister of foreign affairs
Mariam Salum Mfaki Special Seat (Women) CCM
Feteh Saad Mgeni Bumbwini CCM
Jenista Joakim Mhagama Peramiho CCM
Laus Omar Mhina Korogwe Vijijini CCM
Zabein Muhaji Mhita Kondoa Kaskazini CCM
Fatma Abdallah Mikidadi Special Seat (Women) CCM
Mohamed Hamisi Missanga Singida Kusini CCM
Margreth Agness Mkanga Special Seat (Women) CCM
Dunstan Daniel Mkapa Nanyumbu CCM
Nimrod Elirehema Mkono Musoma Vijijini CCM
Capt. George Huruma Mkuchika Newala CCM
Mustafa Haidi Mkulo Kilosa CCM Minister of Finance
Rita Louise Mlaki Kawe CCM
Martha Mosses Mlata Special Seat (Women) CCM
Dr. Charles Ogessa Mlingwa Shinyanga Mjini CCM
Lediana Mafuru Mng'ong'o Special Seat (Women) CCM
Mohamed Habib Juma Mnyaa Mkanyageni CUF
Ali Ameir Mohamed Donge CCM
Hamad Rashid Mohamed Wawi CUF
Mohamed Aboud Mohamed Nominated by the President CCM Deputy Minister of Public Security and Safety
Salim Yussuf Mohamed Kojani CUF
Elisa David Mollel Arumeru Magharibi CCM
Ambassador Gertrude Ibengwe Mongella Ukerewe CCM
Amina Chifupa Mpakanjia Special Seat (Women) CCM (Deceased)
Dr. Samson Ferdinand Mpanda Kilwa Kaskazini CCM
Benson Mwailugula Mpesya Mbeya Mjini CCM
Luhaga Joelson Mpina Kisesa CCM
Kilontsi Muhama Mporogomyi Kasulu Magharibi CCM
Basil Pesambili Mramba Rombo CCM
Felix Christopher Mrema Arusha CCM
Raynald Alfons Mrope Masasi CCM
Dr. Ibrahim Said Msabaha Kibaha Vijijini CCM
Ruth Blasio Msafiri Muleba Kaskazini CCM
Manju Salum Omar Msambya Kigoma South CCM
Dr. James Alex Msekela Tabora Kaskazini CCM
Ambassador Abdi Hassan Mshangama Lushoto CCM
Mgana Izumbe Msindai Iramba Mashariki CCM
Prof. Peter Mahamudu Msolla Kilolo CCM Minister of Communication, Science and Technology
Mwinchoum Abdulrahman Msomi Kigamboni CCM
Herbert James Mtangi Muheza CCM
Abbas Zuberi Mtemvu Temeke CCM
Prof. Idris Ali Mtulia Rufiji CCM
Mudhihir Mohamed Mudhihir Mchinga CCM
Joseph James Mungai Mufindi Kaskazini CCM
James Philipo Musalika Nyang'hwale CCM
Bernadeta Kasabago Mushashu Special Seat (Women) CCM
Dorah Herial Mushi Special Seat (Women) CCM
Mossy Suleiman Mussa Mfenesini CCM
Omar Sheha Mussa Chumbuni CCM
Dr. Harrison George Mwakyembe Kyela CCM
Prof. David Homeli Mwakyusa Rungwe Magharibi CCM Minister of Health and Social Welfare
Prof. Raphael Benedict Mwalyosi Ludewa CCM
Victor Kilasile Mwambalaswa Lupa CCM
Ludovick John Mwananzila Kalambo CCM
Mbaruk Kassim Mwandoro Mkinga CCM
Prof. Mark James Mwandosya Rungwe Mashariki CCM Minister water and irrigation
Thomas Abson Mwang'onda Nominated by the President CCM
Shamsa Selengia Mwangunga Special Seat (Women) CCM Minister of Natural Resources
Aggrey Deaisile Joshua Mwanri Siha CCM
Johnson Paulo Mathias Mwanyika Attorney General CCM Attorney General
Harith Bakari Mwapachu Tanga CCM Minister of Public Security and Safety
Hamza Abdallah Mwenegoha Morogoro Kusini CCM
Savelina Silvanus Mwijage Special Seat (Women) CUF
Dr. Hussein Ali Mwinyi Kwahani CCM Minister of Defence
Omar Ali Mzee Kiwani CUF
Omar Yussuf Mzee Kiembesamaki CCM Deputy Minister of Finance
Dr. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya Kwela CCM
Juma Suleiman N'hunga Dole CCM
Dr. Mary Michael Nagu Hanang CCM Minister of Industries, Trade, and Marketing
Damas Pascal Babati Magharibi CCM
Dr. Emmanuel John Nchimbi Songea Mjini CCM Deputy Minister of Defence
Richard Mganga Ndassa Sumve CCM
Philemon Ndesamburo Moshi Mjini CHADEMA
Job Yustino Ndugai Kongwa CCM
Sigifrid Seleman Ng'itu Ruangwa CCM
Dr. Juma Alifa Ngasongwa Ulanga Magharibi CCM Minister of Planning, Economy and Empowerment
William Mganga Ngeleja Sengerema CCM
Kingunge Ngombale-Mwiru Nominated by the President CCM
Cynthia Hilda Ngoye Special Seat (Women) CCM
Hadija Saleh Ngozi Nominated by the President CCM
Brg. Gen. Hassan Athumani Ngwilizi Mlalo CCM
Dr. Omari Mzeru Nibuka Morogoro Mjini CCM
Juma Abdallah Njwayo Tandahimba CCM
Sijapata Fadhili Nkayamba Special Seat (Women) CCM
Said Juma Nkumba Sikonge CCM
Dr. Lucy Sawere Nkya Special Seat (Women) CCM
Daniel Nicodem Nsanzugwanko Kasulu Mashariki CCM
Tatu Musa Ntimizi Igalula CCM
Lazaro Samuel Nyalandu Singida North CCM
Ponsiano Damiano Nyami Nkasi CCM
Richard Said Nyaulawa Mbeya Vijijini CCM
Esther Kabadi Nyawazwa Special Seat (Women) CCM
Christopher Olonyokie Ole-Sendeka Simanjiro CCM
Juma Omar Said Mtambwe CUF
Lucy Fidelis Owenya Special Seat (Women) CHADEMA
Ussi Ame Pandu Mtoni CCM
Mizengo Kayanza Peter Pinda Mpanda Mashariki CCM PRIME MINISTER
Mwaka Abdulrahaman Ramadhan Special Seat (Women) CCM
Shally Josepha Raymond Special Seat (Women) CCM
Mhonga Said Ruhwanya Special Seat (Women) CHADEMA
Kabuzi Faustine Rwilomba Busanda CCM
Suleiman Ahmed Saddiq Mvomero CCM
Mwanakhamis Kassim Said Special Seat (Women) CCM
Mohamed Ali Said Mgogoni CUF
Magdalena Hamis Sakaya No Constituency CUF
Bujiku Philip Sakila Kwimba CCM
Kidawa Hamid Salehe Special Seat (Women) CCM
Masoud Abdallah Salim Mtambile CUF
Ali Said Salim Ziwani CUF
Salum Khamis Salum Meatu CCM
Ahmed Ally Salum Solwa CCM
Ibrahim Mohamed Sanya Mji Mkongwe CUF
Prof. Philemon Mikol Sarungi Rorya CCM
Ali Khamis Seif Mkoani CUF
Lucas Lumambo Selelii Nzega CCM
Haji Juma Sereweji Mwanakwerekwe CCM
Peter Joseph Serukamba Kigoma Mjini CCM
Ahmed Mabkhut Shabiby Gairo CCM
Abdulkarim Esmail Hassan Shah Mafia CCM
William Hezekia Shellukindo Bumbuli CCM
Beatrice Matumbo Shellukindo Kilindi CCM
Jacob Dalali Shibiliti Misungwi CCM
John Magale Shibuda Maswa CCM
Dr. Guido Gorogolio Sigonda Songwe CCM
Sophia Mattayo Simba Nominated by the President CCM Minister of State, good governance
George Boniface Simbachawene Kibakwe CCM
Mohamed Said Sinani Mtwara Mjini CCM
Margaret Simwanza Sitta Special Seat (Women) CCM Minister of gender, women and children affairs
Samuel John Sitta Urambo Mashariki CCM
Dr. Luka Jelas Siyame Mbozi Magharibi CCM
Dr. Wilbrod Peter Slaa Karatu CHADEMA
Mohammed Rajab Soud Jang'ombe CCM
Ali Haroon Suleiman Zanzibar House of Representatives CCM
Jeremiah Solomon Sumari Arumeru Mashariki CCM Deputy Minister of Finance
Abdallah Salum Sumry Mpanda Magharibi CCM
Eliatta Nandumpe Switi Special Seat (Women) CCM
Hafidh Ali Tahir Dimani CCM
Fatma Abdalla Tamim Zanzibar House of Representatives CCM
Kaika Saning'o Telele Ngorongoro CCM
Fred Mpendazoe Tungu Kishapu CCM
Martha Jachi Umbulla Special Seat (Women) CCM
Zaynab Matitu Vulu Special Seat (Women) CCM
Anastazia James Wambura Special Seat (Women) CCM
Chacha Zakayo Wangwe Tarime CHADEMA
Dr. James Mnanka Wanyancha Serengeti CCM
Stephen Masato Wasira Bunda CCM Minister of Agriculture
Godfrey Weston Zambi Mbozi Mashariki CCM
Mwanawetu Said Zarafi Special Seat (Women) CUF
Kabwe Zuberi Zitto Kigoma Kaskazini CHADEMA
Mzee Ngwali Zubeir Mkwajuni CCM
Mussa Azan Zungu Ilala CCM

By the way naomba msaada ya wapi umepata takwimu za ajira serikalini na wanafunzi wa vyuo vikuu.

Zawadi Ngoda
Naomba ujibu hili swali la Mwanafalsafa, maana naona umeliruka kama hujaliona!
 
Mambo ya dini huwa hayanisumbui sana ila naamini pia kuwa toka Kikwete aingia madarakani waislamu wamepewa nafasi nyingi za juu kuliko wakristu....yaani appointments nyingi zilizofanywa kwa kipindi cha hivi karibuni ni za waislamu.

Ila haina tatizo sana kwa kuwa si rahisi kushindana na Kristu...
 
Hebu wasomaji wa JF, angalieni maana sioni point ya kujibu zaidi ya matusi. Mimi sikulelewa hivyo, isitoshe nimetoka kwenye Ramadhani hivi juzi tu.

Tafadhali andika tena point, yako nikujibu vinginevyo unapoteza wakati tu.

Muone dakatari wa akili kwanza akupatie tiba ndipo utanielewa.
 
Wana Jf mbona hawo akina nani sasa wanaona uchungu eti wizara ya elimu ina bagua dini, walikuwa wapi enzi za akina Bwana mgonja na wengine shule nyingi zilijengwa kwa akina wakiristo, scholoarship kwa akian hao tu hata wizara ya fedha ilitawaliwa na akina hao infact wizara na tasisi zote za serikali zilikuwa chini yao, hata leo temeblea wizara zote ana tasisi zote hususan TRA wenye cheo na nafisi nyeti ni wakina hao, kama muislamu ana nafisa hapo bisi yeye ni mesaja au cleaner.Haya wanajamii je huu ni haki?


Sijakuelewa bro,lengo lako ni nini hasa katika hii post?
 
Byasel,

Spot on! I hate such sweeping statements. Mfano mtu anakuja na majina ya watu asiowajua na kuclaim kwamba ni waislam au wakristo based on the names! Tuna watu wengi sana wana majina ya kienyeji huko bongo, unawaweka kundi gani hawa? Pia wapo wenye majina ya kizungu na kiarabu ambao hawafuati hizo dini mbili, lakini sweeping statistc itakwambia kwamba kina Mohammed ni Waislam na kina John ni Wakristo (others are so dumb even to qualify them as Catholics!). Kwa logic hii yule Askofu Ramadhan kwanini asiwe muislam? Au kwanini isiwe Alhaj Tariq Aziz?

Watu wanadhani dini ni jina. Wanasahau kuwa dini ni imani. Kuna watu tumesoma nao wana majina ya kusomea, wengine walibadili dini na wakabaki na majina yao. Kuna mmoja nakumbuka alikuwa anaitwa NTASHIMIKILO NYANGATA......... Unaweza ukabuni dini yake??? Kwa taarifa yanu alikuwa mkristu. Jamani dini si JINA bali IMANI ya mtu binafsi. Generali Ulimwengu ni wa dini gani..???? Asipokueleza yeye mwenyewe utajuwa..????? ACHENI JAZBA, JADILINI KWA HOJA NA SI MAJINA
 
wenzangu wenye dini na msio na dini,jambo muhimu hapa ni kuenda shule na kujizatiti kufight kiproffesionally,hapa tujione kama watanzania tunaojenga nchi yetu, anyway Sheikh sherriff amechange hope wengi pia watachange!!
 
umesahau kuwa naibu mwingine wa wizara hii anaitwa Gaudensia Kabaka

nafikiri mawazo yako yanaweza kuwa yana ukweli lakini yanaonyesha yanatoka kwa mtu mwenye element za udini,laiti nafasi nyingi za kiserikali katika taasisi zake zote kuanzia wizara mbalimbali,kurugenzi na mamlaka mbalimbali chini ya wizara hizo zingeangaliwa kwa jicho lako hilohilo ulilotumia kuangalia wizara ya elimu ningekuwa miongoni mwa watu ambao wangekupa hongera kwa kufanya utafiti wa mwaka 2009.

toa boriti kwenye jicho lako ndipo utoe kibanzi kwenye jicho la mwenzio the so called biblia takatifu luka 6:41-42 and mathayo 7:15-23
 
Safari ya Jk kuisilimisha nchi itaishia pabaya, it is just a matter of time! Learn from Somalia, Nigeria and elsewere! Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja. Kila mara watu wanamtahadharisha kupitia vyombo vya habari kuhusu udini ambao aliuanzisha mwenyewe kupitia Ilani ya Uchaguzi, 2005 hasa alipodai kuwa "atatafuta ufumbuzi wa Mahakama za Kadhi" na baadaye kuuendeleza udini huo kwa kuwapika akina Membe (ambaye sio mbaya kama akianza kuvaa kibaraghashia) wachomekee hoja za OIC bungeni ili kutimiza ndoto yake hiyo ya usilimishaji! Kama angekuwa smart basi angetafuta "kufumbua na kuanzisha Mahakama za Kikatoliki, Kiprotestanti, Kihindu, n.k." Yeye alifikiri kuwa amani ya Tanzania imekuwepo kwa sababu, kama alivyowahi kuropoka Prof. Lipumba, eti "watanzania ni watu wa amani!" Mungu ampe maisha marefu ili aje ashuhudie ubaya wa matunda ya juhudi zake!"
 
Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga

Jamaa yangu wa karibu wizarani kanitonya kuwa jamaa wana mkakati wa kusomesha vijana wao wengi iwezekanavyo eti wameonewa sana na sasa ni zamu yao.

Kimsingi hakuna tatizo waislamu kupata nafasi hizo, lakini hata kama kuna mkristo kazidi sifa bado anakatwa ili nafasi apewe muislamu hapo ndio tatizo langu lilipo.

Jamani hili taifa lnakwenda wapi sasa haya mambo kwa si ya kuya zarau kuna njama za kuisilimisha nchi hii.

Mimi namshangaa JK iweje wizara moja aweke waislamu watupu? kuna kitu kinapikwa hapa tuwe macho

Gongagonga na Zawadi, mnajua tofauti ya dini ya mtu na udini?
maelezo yenu ni sumu mbaya sana katika jamii yetu. huku mitaani wakristu na waislamu tunaishi vizuri sana sijui kwa nini mnaandika upupu usio na utafiti wowote ACHENI JAMANI, UDINI TANZANIA HII HAUPO!!!!!
 
mbona mmechelewa sana kujua kuwa serikali inayoongozwa na jk ni ya kidini..mi nlishagundua zamani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom